Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
17,099
Reaction score
55,026
Sometimes akili inahitaji utulivu relaxation ya hali ya juu ili kuji restart

mijini kilele zimekuwa nyingi sana.

mtu January to Dec uko kwenye kelele lazima uwe mental tu.


Screenshot_20260908-095526~2.jpg
 
Ndiyo maana njiani ukipishana na mtu na kwa bahati mbaya ukamgusa mkono aisee anakulipukia au kwenye dadadala bahati mbaya umemkanyaga mguuni au umesogeza kioo cha dirisha kikamgusa aiseee analipuka!

Mental illness is real.
kama hao wakiendelea hivyo after 3yrs lazima wapelekwe hospital ya vichaa
 
Ndiyo maana njiani ukipishana na mtu na kwa bahati mbaya ukamgusa mkono aisee anakulipukia au kwenye dadadala bahati mbaya umemkanyaga mguuni au umesogeza kioo cha dirisha kikamgusa aiseee analipuka!

Mental illness is real.
Aisee kuna kupigana na konda au dereva unabaki unajiuliza umebeba matatizo ya ulimwengu au vipi!🤔
 
Back
Top Bottom