Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,917
- 5,939
Mimi siwezi, ila kuna siku nimetoka dukani sijauza hata mia na home sina kila kitu, oyaaa afu konda ananiletea madharau, nilipigana na konda mpk leo najilaumu! Si na dereva kaniambia nimekopwa nilimpiga na kichupa changu cha maji🫢
Sema nashukuru nimekuwa sikuhizi!
Seran