Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Mimi siwezi, ila kuna siku nimetoka dukani sijauza hata mia na home sina kila kitu, oyaaa afu konda ananiletea madharau, nilipigana na konda mpk leo najilaumu! Si na dereva kaniambia nimekopwa nilimpiga na kichupa changu cha maji🫢

Sema nashukuru nimekuwa sikuhizi!


Seran
 
Back
Top Bottom