Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Kuwa na cabin ni muhimu sana.

Kuna jamaa aligoma kushuka kwenye daladala akataka kupigana na kondakta kisa konda alimwambia hana 100 ya chenji ,jamaa akagoma akakaa kama dakika 5 hivi konda atafute chenji.
HUWEZI JUA
Konda nao ukikosa mia anakujazia nzi ,asa inaonekana mwamba yashawahi mkuta akaona Kama mbwai iwe mbwai tuu!?
 
HUWEZI JUA
Konda nao ukikosa mia anakujazia nzi ,asa inaonekana mwamba yashawahi mkuta akaona Kama mbwai iwe mbwai tuu!?
Ndiyo maana nasema ni matatizo ya afya ya akili kwa wote hao konda na jamaa....Kwani Konda akimpa 200 kuna shida au jamaa naye akasamehe 100 kuna shida? Kama hiyo 100 labda ingesaidia nauli kwa safari nyingine kwanini asitembee kwa miguu ili asave nauli nzima?
 
Norway lazima almost kila familia iwe nacho kama hiki.

Mimi angalau weekend moja ya mwezi lazima nitoke mjini kusafiri kwenda mbali kubadiklsha mazingira.
Hii inafaida nyingi sana kwa afya ya akili
 
Ila maeneo mengi tulivu ni bei che inawezekana: Rungwe Mbeya, Tanga(Lushoto), Morogoro(Milima ya uluguru), Moshi(Siha, Marangu), Arusha(Meru, Monduli) sehemu zipo zimetulia sana.
Namaanisha ya kuwa inabidi uwe na side hustle zitakazo kufanya uishi lavishingly namna hiyo...

Sasa kwa kawaida average human kwa Africa akisema ateme anacho kifanya tu anapotea
 
Norway lazima almost kila familia iwe nacho kama hiki.

Mimi angalau weekend moja ya mwezi lazima nitoke mjini kusafiri kwenda mbali kubadiklsha mazingira.


Kwa wenzetu maisha off-grid ni kitu cha kawaida sana. Huku kwetu watu waliopo off-grid wanapaona pa kishamba wanakimbilia mjini.
 
Namaanisha ya kuwa inabidi uwe na side hustle zitakazo kufanya uishi lavishingly namna hiyo...

Sasa kwa kawaida average human kwa Africa akisema ateme anacho kifanya tu anapotea


That's true mkuu, huwezi kuishi completely off-grid. Nadhani kwa mtu anayefanya remote job inapendeza zaidi kuishi such life.
 
Menta
Ndiyo maana nasema ni matatizo ya afya ya akili kwa wote hao konda na jamaa....Kwani Konda akimpa 200 kuna shida au jamaa naye akasamehe 100 kuna shida? Kama hiyo 100 labda ingesaidia nauli kwa safari nyingine kwanini asitembee kwa miguu ili asave nauli nzima?
Inaweza kua ni mental health+undavaundava
 
Uko sahihi mkuu, ni muhimu kuwa na Land offgrid, jenga cabin yako nzuri unaweza jikuta kila mwezi unaenda huko mara moja moja kupumzika
 
Zipo mkuu content creators hao ambao wanatengeneza faceless video. Kuna jamaa mmoja mshakaji wangu sana, anampunga mzuri tu kwa kufanya YouTube na video zake ni full faceless.
Are you serious?
Acha kudanganya mkuu, faceless content? Na anapata wapi mapato? Kama ni platform kumlipa hawezi afford hayo maisja
 
We shangaa tu, watu wanahamia bush. Kama unataka peace of mind, bush ndio mahali pa kukaa. Almost every resource ni free, imagine watu wa mjini hadi maji mnauziwa looh 😁
Wakati nyie mna visima vya bure sio😅
 
Kwa wenzetu maisha off-grid ni kitu cha kawaida sana. Huku kwetu watu waliopo off-grid wanapaona pa kishamba wanakimbilia mjini.
Wa Jamaica wana msemo katika Jamaican Patois.

"Want it, want it, caan't get it. And get it, get it, dem no want it".

Wanaokitaka hawakipati, na wanaokipata hawakitaki.

Wakazi wa mijini kama huko Norway wengi wanapenda kukaa sehemu hizo off grid, sehemu ambazo hazina light pollution usiku unaona nyota vizuri, sehemu zenye hewa safi, nk.

Na huku kwetu watu wa vijijini ambao wana sehemu hizo, hawazitaki, wanataka kuja mijini na hata kwenda Ulaya.
 
Back
Top Bottom