Kuwa mfanyabiashara mkubwa Tanzania bila ndumba au ulinzi wa wataalam inawezekana?

Mfumo uliokuwepo utajiri ulikuwa unamilikiwa na waovu ndo maana shetani kwenye luka 4:5-8 anamtambia Yesu kila kitu ni mali yake na Yesu hakubisha.

Ndomaana watu ili wapate madini ilikuwa lazima watoe kafara,wasanii wa kubwa wa kidunia walikuwa wanaingia maagano na kerubi (shetani) maana ndo alipewa kiti cha sifa zikageuzwa nyimbo za kidunia ili wapate fame, Nakadhalika.

Hushangai 1% ya watu kumiliki 90% ya utajiri ndo mfumo uliokuwepo ila sasa muumba amekuja ameleta mfumo wake wa haki
2Petro 3:13
Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.



Ndo mfumo wa dunia na ulimwengu ulivyokuwepo na ukiwa mwenye haki (usiyetegemea nguvu za giza) wanasimama na andiko Yesu alisema bora ngamia apenye kweny tundu la sindano kuliko tajiri kuingia kwenye ufalme so ndo mana unaona wenye haki wengi ilikuwa maumivu tu.

Wengine walikuwa vuguvugu anajifanya mtu wa ibada ila anategemea hirizi zaidi au mganga au mizimu nakadhalika.

Ila Muumba amekuja na ametimiza aliyosema katika
Isaya 45:2
nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni Bwana, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa kweli.


Ametutoa kwenye ibada za kulia na kuomboleza na sasa ibada ya kweli ni kuzalisha kwa halali na haki.
 
Kama wewe ni Mtu wa Imani sana nakushauri usifanye Biashara.
Ni vigumu mfanyabiashara Kuiona Pepo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ndo mfumo wa dunia ulivyoaminisha wengi hasa wenye haki, ikawa badala ya kufanya kazi halali kwa bidii ni kushinda kwenye nyumba za ibada kulia na kuomboleza na kuangalia mawinguni.

Ibada ya kweli ni kuzalisha kwa halali na haki.kwenye kusanyiko unaenda tu kushukuru kwa yote aliyokuwezesha kwenye kazi yako,familia etc
 
Naomba unifafanulie
Mali zilizofichwa gizani ilikuwa ni mwenye haki na utajiri aliokusudiwa kuwa nao.Mwenye haki alikandamizwa akawa mbolea ya waovu yaani kutolewa kafara au msukule au kuibiwa vitu vyako bila kujua. Walikuwa wanasimama na andiko alilosema kayafa

Yohana 11:50
wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa zima.



Hujiulizi kwanini muovu alikuwa anaweza kukuangalia akajua unanyota kali ila hata wewe hujijui (ilikuwa ni kitu cha hovyo sana), na ndo hapo wengi wakawa wanaibiwa vitu vyao bila hata kujijua kabla hawajazaliwa na wakati mwengine wakiwa kwenye matumbo ya mama zao.

Maarifa yalikuwa yanamilikiwa na waganga, wakuu wa giza, wakuu wa anga etc sababu ndo mfumo uliokuwepo.

Ndo maana mjini wakasema chema hakidumu ikimaanisha mwenye haki, yaani mfumo wa dunia ulikuwa ni hovyo bila muumba mwenyewe hakuna ambae angetoka hapo.
 
Mali zilizofichwa gizani ilikuwa ni mwenye haki na utajiri aliokusudiwa kuwa nao.Mwenye haki alikandamizwa akawa mbolea ya waovu yaani kutolewa kafara au msukule au kuibiwa vitu vyako bila kujua. Walikuwa wanasimama na andiko alilosema kayafa

Yohana 11:50
wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa zima.



Hujiulizi kwanini muovu alikuwa anaweza kukuangalia akajua unanyota kali ila hata wewe hujijui (ilikuwa ni kitu cha hovyo sana), na ndo hapo wengi wakawa wanaibiwa vitu vyao bila hata kujijua kabla hawajazaliwa na wakati mwengine wakiwa kwenye matumbo ya mama zao.

Maarifa yalikuwa yanamilikiwa na waganga, wakuu wa giza, wakuu wa anga etc sababu ndo mfumo uliokuwepo.

Ndo maana mjini wakasema chema hakidumu ikimaanisha mwenye haki, yaani mfumo wa dunia ulikuwa ni hovyo bila muumba mwenyewe hakuna ambae angetoka hapo.
Asante nimeelewa
 
Hapa duniani ukishajua maisha ni mchezo utaishi vizuri sana. Walituletea dini ili kutupumbaza tusijue huo mchezo. Eti tufikirie maisha ya mbinguni, kungekuwa na maisha kweli ya mbinguni hawangetuambia ila wangeeda wao wenyewe kimya kimya.
 
Hapa duniani ukishajua maisha ni mchezo utaishi vizuri sana. Walituletea dini ili kutupumbaza tusijue huo mchezo. Eti tufikirie maisha ya mbinguni, kungekuwa na maisha kweli ya mbinguni hawangetuambia ila wangeeda wao wenyewe kimya kimya.
Mbinguni au mbingu sio kama wengi wanavyodhani au walivyopokea kwenye mapokeo mbalimbali.

Mpaka Muumba anasema ataumba mbingu mpya na nchi mpya ambamo haki yakaa ndani yake (2petro 3:13,isaya 65:17, isaya 66:22)mana yake iliyokuwepo hakukuwa na haki na ni dhahiri hata yeye hakuwa mbinguni bali mahali pake (mika 1:2-6) hakuna apajuae
 
1710944394516.png
 
Nayaongea haya kwa siku ya leo kwasababu nimestuka sana hata ndugu yangu ambae si haba kafanikiwa kibiashara akiwa rika la early 40s nimegundua kwamba kawekewa kinga na mganga,

Ndugu huyu ana haiba ya kuwa mcha Mungu, ni mtu mstaarabu sana, ni mtu anaesaidia wengi, ni mtu peace sana.

Noja ya watoto wake tumezoeana sana, yupo huru sana kunieleza matatizo yake na secrets, sasa siku ya jumamosi katika maongezi yetu akagusia kwamba "hata baba anaenda kwa mganga" nilijifanya kuchukulia poa ili nichimbe info awe huru kujieleza ndio akanisimulia baadhi ya mambo mazito sana lakini aliniasa iwe secrt yetu.

Kwa utajiri wake nyumba yake anayoishi ina thamani ya takribani milioni 400 kwa miaka ya 2014, Ana lodge 3, nyumba alizojenga kupangisha zipo 10 kodi kuanzia laki 4 hadi milioni kwa mwezi, ana maduka mawili makubwa ya jumla, ana scania aliinunua mpya kabisa ya kubebea mizigo, watoto wake wanasoma shule expensive, simu kali, n.k.
Kuwa mfanya biashara Tanzania ni sawa na kuwa mwana siasa, yaani lazima uroge tu ili utoboe.
 
Back
Top Bottom