Kuwa mfanyabiashara mkubwa Tanzania bila ndumba au ulinzi wa wataalam inawezekana?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Nayaongea haya kwa siku ya leo kwasababu nimestuka sana hata ndugu yangu ambae si haba kafanikiwa kibiashara akiwa rika la early 40s nimegundua kwamba kawekewa kinga na mganga,

Ndugu huyu ana haiba ya kuwa mcha Mungu, ni mtu mstaarabu sana, ni mtu anaesaidia wengi, ni mtu peace sana.

Noja ya watoto wake tumezoeana sana, yupo huru sana kunieleza matatizo yake na secrets, sasa siku ya jumamosi katika maongezi yetu akagusia kwamba "hata baba anaenda kwa mganga" nilijifanya kuchukulia poa ili nichimbe info awe huru kujieleza ndio akanisimulia baadhi ya mambo mazito sana lakini aliniasa iwe secrt yetu.

Kwa utajiri wake nyumba yake anayoishi ina thamani ya takribani milioni 400 kwa miaka ya 2014, Ana lodge 3, nyumba alizojenga kupangisha zipo 10 kodi kuanzia laki 4 hadi milioni kwa mwezi, ana maduka mawili makubwa ya jumla, ana scania aliinunua mpya kabisa ya kubebea mizigo, watoto wake wanasoma shule expensive, simu kali, n.k.
 
Kwenda kwa mganga/kusali hakuleti utajiri,

Unaweza kwenda ukapata, unaweza usiende ukapata, utajiri hauhusiani na imani.

Ingekua hivyo, matajiri wangekua wengi mno

Sasa hii ni ngumu kuelewa kwa watu wenye imani, kwahiyo wewe fanya unachoona sawa

Bora ujifunze kwa experience
 
Kwenda kwa mganga/kusali hakuleti utajiri,

Unaweza kwenda ukapata, unaweza usiende ukapata, utajiri hauhusiani na imani...
Nadhani matajiri huwa wanaenda kwa waganga kwajili ya ulinzi maana biashara ni "dog eat dog" ukiwa juu kwenye biashara hasa sisi watu weusi jua kwamba kuna watu wapo tayari kukushusha by any means, including njia pendwa ya watu weusi kurogana
 
Nayaongea haya kwa siku ya leo kwasababu nimestuka sana hata ndugu yangu ambae si haba kafanikiwa kibiashara akiwa rika la early 40s nimegundua kwamba kawekewa kinga na mganga,

Ndugu huyu ana haiba ya kuwa mcha Mungu, ni mtu mstaarabu sana, ni mtu anaesaidia wengi, ni mtu peace sana.

Noja ya watoto wake tumezoeana sana, yupo huru sana kunieleza matatizo yake na secrets, sasa siku ya jumamosi katika maongezi yetu akagusia kwamba "hata baba anaenda kwa mganga" nilijifanya kuchukulia poa ili nichimbe info awe huru kujieleza ndio akanisimulia baadhi ya mambo mazito sana lakini aliniasa iwe secrt yetu.

Kwa utajiri wake nyumba yake anayoishi ina thamani ya takribani milioni 400 kwa miaka ya 2014, Ana lodge 3, nyumba alizojenga kupangisha zipo 10 kodi kuanzia laki 4 hadi milioni kwa mwezi, ana maduka mawili makubwa ya jumla, ana scania aliinunua mpya kabisa ya kubebea mizigo, watoto wake wanasoma shule expensive, simu kali, n.k.
Kwa kukusaidia huyo ni mfanyabiashara wa kawaida...bado hajafikia kiwango cha kuitwa mfanyabiashara mkubwa Tanzania 🇹🇿.
 
Jibu ni haiwezekani na ni siri sana kwa wenye hela hawezi kukuambia unless uwe mmoja wao.
anaweza akawa amedulumu hela ya yatima ama kamdhulumu/kumuua mtu ndio akaanza kunyanyukia hapo hela ni chafu we waone wenye hela ila nyuma ya pazia kuna mazito.
Mungu hakuwa mjinga kusema ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia kwenye ufalme wake. ITAWEZEKANA Kama utataka hizi hela za kubadilishia nguo na kula milo miwili
 
Jibu ni haiwezekani na ni siri sana kwa wenye hela hawezi kukuambia unless uwe mmoja wao.
anaweza akawa amedulumu hela ya yatima ama kamdhulumu/kumuua mtu ndio akaanza kunyanyukia hapo hela ni chafu we waone wenye hela ila nyuma ya pazia kuna mazito.
Mungu hakuwa mjinga kusema ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia kwenye ufalme wake. ITAWEZEKANA Kama utataka hizi hela za kubadilishia nguo na kula milo miwili
Maneno ya kimasikin haya...tafta pesa mkuu
 
Kwenda kwa mganga/kusali hakuleti utajiri,

Unaweza kwenda ukapata, unaweza usiende ukapata, utajiri hauhusiani na imani.

Ingekua hivyo, matajiri wangekua wengi mno

Sasa hii ni ngumu kuelewa kwa watu wenye imani, kwahiyo wewe fanya unachoona sawa

Bora ujifunze kwa experience
"Utajiri hauhusiani na Imani" Kwa mentality hii utajiri utausikia tu.
 
Back
Top Bottom