Makomando na askari wa karne hii ni watu wenye nguvu za mwili au wanapaswa kuwa watu wenye upeo mkubwa wa kufahamu mambo(IQ kubwa)?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Wakati tunapita JKT miaka 80+ kigezo Cha uaskari kilipimwa Kwa mambo yafuatayo;
1. Urefu
2. Mwonekano wa umbo
3. Uwezo wa kupiga paredi
4. Smartness Kwa maana ya unadhifu wa mavazi.
5. Unoko

Watu wenye sifa zilizoelezwa hapo juu bila kujali uwezo wao wa kufikiri,kupambanua mambo na kufanya maamuzi sahihi ambavyo ni vigezo visivyoonekana Kwa macho walipata Nafasi ya kujiunga kwenye Jeshi,polisi na vyombo vingine

Kwa mazingira ya kipindi kile walikuwa sahihi lakini miaka ilivyokwenda mbele watu wakaanza kujiuliza maswali yaliyopelekea reform isiyo rasmi. Swali la kwanza likawa, Ni ipi Nafasi ya mtu mfupi kwenye Nafasi ya kijeshi?

Ikabainika kumnyima mtu Nafasi ya kujiunga Jeshi lolote Kwa sababu ya ufupi nikuwanyanyapaa watu wafupi ambao vimo vyao ni chini ya vimo vilivyowekwa. Lakini pia ikabaini kigezo Cha urefu kiliwekwa na wazungu na wakati huo wazungu wakoloni awakutaka watu wenye akili maana wao walikuwa na akili,walitaka watu wenye nguvu na maumbo ya kutisha. Wadadisi walihoji endapo Jeshi linakitengo Cha ukachero,je makachero lazima wawe warefu na walioshiba?

Je, urefu na mwili uliojaa haviwezi kuwa vigezo vyakukwamisha ukachero? Wakazidi kuhoji mafundi cherehani na mafundi wengine lazima wawe warefu na wenye nguvu? Madaktari lazima wawe warefu na wenye misuli?

Waimbaji wa bendi lazima wawe warefu? Maswali haya na mengine yakawafanya watoa ajira hasa kwenye majeshi ya Nchi nyingi Afrika wakaondoa kigezo cha urefu nakutruhusu wafupi nao kupata nafasi japo sijui Tanzania kama mifumo yetu inaruhusu wafupi jeshini.Matangazo yetu Bado yameandikwa awe ana urefu 5.7ft Kwa wanaume wanawake nadhani 5. Najiuliza tunaajiri vimo au tunaajiri akili na maarifa yaliyopo kwenye vimo tofauti?

Dhana ya unoko nayo ikawa inatumika kupata maafisa inteligensia, yaani mkiwa JKt watu wanoko na wambea wakawa Wana nafasi kubwa yakupata kazi ya ushushu. Watu wasio na makoromeo wakapita mlango wa unoko wakaajiriwa.Tukumbuke dhana hii ilirithiwa kutoka Kwa wakoloni, wao walitaka watu wambea wawe viongozi Ili waweze kuwaletea majungu. Walitaka watu waoga wawe sehemu ya Jeshi Ili wakitishwa basi wajitokeze kusema "Afande Mimi sijashiriki walioshiriki ni flani n flani" .

Mifumo yetu ikaacha kuchukua IQ Kwa maana ya intelligent wakakusanya wanoko na wambea , watu intelligent wakaachwa Kwa sababu TU hakuna wanaposikika. Hawa watu walipopata ajira wakaingiza jeshini umbea wakakosesha majeshi mengi ubunifu na hivyo kukazaliwa mafarakano na kutoelewana, kukazaliwa ushirikana kwenye Kambi na kukazaliwa chuki na kutokuaminia.

Finally kota za majeshi mengi Zika sehemu yakuzalisha watu maskini na wasioelewa maana ya maendeleo. Kama mnakumbuka wakati wa mwalimu na Mzee Mwinyi mashushu walikuwa na kazi yakuhesabu umekunywa bia ngapi na kulinganisha salary Yako. Wakatoka makambini wakaingia mtaani nakuanza Kuanza kuangalia Nani amejenga wakiona nyumba nzuri ya mtu mweusi wakawa wanawapelekea taarifa wakubwa na bila analysis yoyote na kuhojiwa watu wakawa wanaishia mikononi mwa manjagu kwa visingizio kadhaa. Mashushu wa aina hii wakawafanya watumishi wa umma wawe walisha tumbo, wazinzi, watapanyaji wa Fedha wakiogopa kufanya maendeleo Kwa sababu wataulizwa umepataje Fedha


Hali hii yakuajiri wambea na wanoko ikazalisha wanasiasa wanaoiba Fedha Afrika na kwenda kuzificha nje bara la Afrika. Fedha zikajaa Uswiz bila kazi Kwa sababu wanasiasa hao hao ndio mashushu walioajiriwa kwa unoko na umbea. Wakazaliwa Waze ambao wanalipwa mishahara mikubwa lakini awawezi kujenga Wala kuishi maisha ya thamani au hafhi zao, wanatembelea gari zimechakaa kuaminisha wananchi kwamba wao ni wazalendo bila kujiuliza wana maawara wangapi na wanaonga kiasi gani? Wananchi nao wakawa wanasifia watu maskini kuwa ni wazalendo. Hii mentality imekwenda mbali Hadi Leo hii 2022 wapo watu nimeona Jana wanasema Bashingwa ni mtu humble na may be mzalendo kisa amepanda mwendokasi huko Dsm kutoka point Moja na nyingine. Inshort ushushu ukawa chanzo Cha umasikini na kudumaza fikra za viongozi wengi. Viongozi wanaotumia pesa kwenye anasa wakashindwa kufanya maendeleo wakawa wanaaminika wao ni wazalendo.

Hali hii yakuajiri watu kwenye vyombo nyeti wakiwa na uwezo mdogo nikaamini iliisha may be miaka ya tisini huko lakini Leo Mahakamani unamsikia kijana mdogo less than 45yrs kutoka kwenye chombo nyeti hajui maana sober, aelewi chochote kuhusu inteligensia, anashindwa kufanya analysis lakini kimwonekano na matamshi yake unabaini kama siyo mnoko basi ni mbea. Anatamka adharani mbele ya wanaume Kwa "NILISHINDWA KUKAA NALO ROHONI". Na mtu wa aina hii Yupo eneo nyeti na inlongrun anaweza akakabidhiwa watu awaongoze njia. What do you expect such kind of people.

Mazingira haya na muundo wa Jeshi la kikoloni ndio umenifanya nijiulize endapo Kuna uhusiano wowote baina ya wanaoteuliwa kwenye Nafasi ya ukomando na uwezo mkubwa wa IQ? Au Bado makomando wanatokana na sifa Tano zilizotajwa hapo juu?

Duniani Kwa Sasa let say America, watu wanaopewa nafasi yakwenda mafunzo ya ukomando asilimia kubwa ni wale wenye IQ kubwa si ya darasani TU Bali yakuchanganua mambo. Technologia na mbinu za kupambana na adui Dunian Kwa Sasa hazihitaji watu warefu na wenye nguvu zinahitaji uwezo wakutumia vifaa vya kisasa kupambana. Maisha yamebadilika Sana, mapigano mengi si ya silaha Bali mapigano mengi ni ya matumizi ya akili. Economic war.

Niwaombe Watanzania tutumie baraka iliyopo mbele yetu kuwakazania watoto wetu wenye akili kubwa waingie jeshini na kwenye vyombo vya dola wakaondoe gap lililopo. Tuamke, tulazimishe watoto wenye first class waende jeshini, watoto wenye vipaji waende jeshini naamini wingi wao utaondoa mashushu wenye vigezo vya umbea na uchonganishi na kuzalisha mashushu wanaowekeza kuzima majaribio ya wageni kujinufaisha na rasilimali zetu na kuwafungulia fursa hata kwakuwalinda watanzania wanaotaka kukua kiuchumi. Machinga wanapopigwa mabomu na kuibuka shushushu anayesema mateja wamewasha mishumaa nimatokeo yakukosekana Kwa watu wanaongalia changamoto ya machinga na kupush wanasiasa watengeneze solution kabla moto kuwaka na kutegemea watu ambao kwao wanapambana na janga linapotokea.

Tusipokubali kupeleka watoto wetu wenye uwezo mkubwa kwenda kutulinda tukategemea watoto wetu wenye sifa Tano nilizozitaja hapo juu huko tuendako Hawa watoto wenye maumbo makubwa, warefu na wanoko watashindwa kutulinda sisi na viongozi wetu na matokeo yake watageuka kuwalinda mabeberu kama walivyokuwa wanafanya babu zetu enzi za ukoloni.

Nadhani hata Sasa mnaweza mkaona Kati ya watu weusi na watu wenye rangi nyingine ni wapi walikaa mahabusu kwa wingi kipindi Cha uhujumu uchumi! Ni mabeberu wangapi walikamatwa na kupitia magumu kipindi Cha awamu ya Tano? Wenye rangi walitupia pesa Kwa DPP wakaondoka kwenda nje, vijana wetu wakabaki nasisi magerezani na kwenye surveillance huku tukiumizwa Sana. Sidhani kama kuna beberu aliyepotezwa na watu wasiojulikana, tulikuwa sisi weusi.

Na kizuri zaidi walipotumwa kuadhibu na kukamata walikamata wa CCM na wasio wa CCM. Means Hawa watu tunaoruhusu wakakae kwenye dola nakuacha vijana wetu wenye IQ nzuri IPO Siku watatukamata sisi wazazi wao Kwa maelekezo ya mabeberu.

Nimeandika maneno haya kuwafikirisha wanasiasa, wafanyabiashara, watumishi wa umma, wakulima na wafugaji kwamba kipindi cha kusema mwanangu amefaulu vizuri asiende jeshi kimepitwa na wakati. Kama tunahitaji walinzi wazuri kwetu na kwa Mali zetu tunahitaji tukubali watoto wetu wakalitumikie Taifa kupitia vyombo vya ulinzi na usalama waweze kutulinda kesho tutakapotajirika au Taifa litakapotaka kusimama bila wahisani.

Mwisho, ni fedhea kubwa Sana Kwa kiongozi aliyetengeneza Carrie yake for more than 30yrs, au mfanyabiashara aliyetengeneza utajiri wake for years, au mwanadiasa aliyejiimatrisha for years anashindwa kusherekea mafanikio yake Kwa sababu TU alishindwa kuandaa structure nzuri ya yeye kuishi Kwa heshima na haki mbeleni. Furaha ya maisha inaanzia kwenye usalama wa afya, Mali na Nchi unayokaa. Tuwasaidie waajiri kuondoa mfumo wa mabavu kwa kuajiri wenye uwezo wa kufanya analysis juu ya tafsiri ya ulinzi wa raia na Mali zake au ulinzi wa mipaka.
 
Nchi ya Kalukalanje iliyopo barani Kilometa inachagua wanafunzi waliofeli, mazuzu, wasiokuwa na akili, ambao ni rahisi ya kutenda unyama pasipo kuhoji ili kuwa walinzi wa usalama na mipaka ya Taifa hilo.

Nchi nyingine zinaamini kwenye human intelligence na artificial intelligence.
Askari wa nchi hizo wako vizuri kiakili, wanaenda kozi mara kwa mara na pia ugunduzi mkubwa wa kisayansi na kiteknolojia huanzia kwenye taasisi za ulinzi .

Nchini Kalukalanje askari wake wanabambikia watu silaha, unga, wanatesa na kuua raia wasio na hatia ili wawapore pesa zao.

Juzi kati polisi wa nchi hiyo wamemuua mfanyabiashara wa kuku kwa kumchoka sindano ya simu ili tu Wampore pesa zake kiulaini.

Wanahitaji mabadiliko, watafute vijana wenye akili na ubunifu watakaoweza kuipeleka nchi yao mbele huku wakilinda na kutetea haki za raia na sio vibaraka wa watawala au chama fulani cha siasa.
 
Salute kwa mtoa hoja umeongea ukweli mchungu,nchi hii wakati ina heshima na adabu walinzi wetu walikua tofauti kabisa na hawa wa sasa,commandos wetu walipimwa kwa operations zenye mafanikio makubwa,40yrs diwn the line eti tuna commando Lt.

Urio ambaye hata kufanya informations gathering ni kazi ngumu kwake,wanachezea vyeo visivyowahusu,Operation Thunderbolt ilifanywa na makomandoo wenye vyeo vya chini na kwa mafanikio makubwa,Operations Safisha pale msumbiji iliongozwa na makamondoo waliotuka wa kitanzania na buru alipelekewa moto mpaka aka surrender,eti leo nina Lt.

Urio ndio commando wangu.....huyu kipindi changu cha ujana na hasa baada ya kumaliza jkt yangu pale 837kj mkono mmoja asingeamka,nilikua fit mno baada ya kukimbizana na nyati na kuchimba mitaro ya kuzuia nyati wasishambulie mashamba ya mpunga,salute my CO na NCOs wote nilitoka nimewiva.
 
Wakati tunapita JKT miaka 80+ kigezo Cha uaskari kilipimwa Kwa mambo yafuatayo;
1. Urefu
2. Mwonekano wa umbo
3. Uwezo wa kupiga paredi
4. Smartness Kwa maana ya unadhifu wa mavazi.
5. Unoko

Watu wenye sifa zilizoelezwa hapo juu bila kujali uwezo wao wa kufikiri,kupambanua mambo na kufanya maamuzi sahihi ambavyo ni vigezo visivyoonekana Kwa macho walipata Nafasi ya kujiunga kwenye Jeshi,polisi na vyombo vingine

Kwa mazingira ya kipindi kile walikuwa sahihi lakini miaka ilivyokwenda mbele watu wakaanza kujiuliza maswali yaliyopelekea reform isiyo rasmi. Swali la kwanza likawa, Ni ipi Nafasi ya mtu mfupi kwenye Nafasi ya kijeshi?

Ikabainika kumnyima mtu Nafasi ya kujiunga Jeshi lolote Kwa sababu ya ufupi nikuwanyanyapaa watu wafupi ambao vimo vyao ni chini ya vimo vilivyowekwa. Lakini pia ikabaini kigezo Cha urefu kiliwekwa na wazungu na wakati huo wazungu wakoloni awakutaka watu wenye akili maana wao walikuwa na akili,walitaka watu wenye nguvu na maumbo ya kutisha. Wadadisi walihoji endapo Jeshi linakitengo Cha ukachero,je makachero lazima wawe warefu na walioshiba?

Je, urefu na mwili uliojaa haviwezi kuwa vigezo vyakukwamisha ukachero? Wakazidi kuhoji mafundi cherehani na mafundi wengine lazima wawe warefu na wenye nguvu? Madaktari lazima wawe warefu na wenye misuli?

Waimbaji wa bendi lazima wawe warefu? Maswali haya na mengine yakawafanya watoa ajira hasa kwenye majeshi ya Nchi nyingi Afrika wakaondoa kigezo cha urefu nakutruhusu wafupi nao kupata nafasi japo sijui Tanzania kama mifumo yetu inaruhusu wafupi jeshini.Matangazo yetu Bado yameandikwa awe ana urefu 5.7ft Kwa wanaume wanawake nadhani 5. Najiuliza tunaajiri vimo au tunaajiri akili na maarifa yaliyopo kwenye vimo tofauti?

Dhana ya unoko nayo ikawa inatumika kupata maafisa inteligensia, yaani mkiwa JKt watu wanoko na wambea wakawa Wana nafasi kubwa yakupata kazi ya ushushu. Watu wasio na makoromeo wakapita mlango wa unoko wakaajiriwa.Tukumbuke dhana hii ilirithiwa kutoka Kwa wakoloni, wao walitaka watu wambea wawe viongozi Ili waweze kuwaletea majungu. Walitaka watu waoga wawe sehemu ya Jeshi Ili wakitishwa basi wajitokeze kusema "Afande Mimi sijashiriki walioshiriki ni flani n flani" .

Mifumo yetu ikaacha kuchukua IQ Kwa maana ya intelligent wakakusanya wanoko na wambea , watu intelligent wakaachwa Kwa sababu TU hakuna wanaposikika. Hawa watu walipopata ajira wakaingiza jeshini umbea wakakosesha majeshi mengi ubunifu na hivyo kukazaliwa mafarakano na kutoelewana, kukazaliwa ushirikana kwenye Kambi na kukazaliwa chuki na kutokuaminia.

Finally kota za majeshi mengi Zika sehemu yakuzalisha watu maskini na wasioelewa maana ya maendeleo. Kama mnakumbuka wakati wa mwalimu na Mzee Mwinyi mashushu walikuwa na kazi yakuhesabu umekunywa bia ngapi na kulinganisha salary Yako. Wakatoka makambini wakaingia mtaani nakuanza Kuanza kuangalia Nani amejenga wakiona nyumba nzuri ya mtu mweusi wakawa wanawapelekea taarifa wakubwa na bila analysis yoyote na kuhojiwa watu wakawa wanaishia mikononi mwa manjagu kwa visingizio kadhaa. Mashushu wa aina hii wakawafanya watumishi wa umma wawe walisha tumbo, wazinzi, watapanyaji wa Fedha wakiogopa kufanya maendeleo Kwa sababu wataulizwa umepataje Fedha


Hali hii yakuajiri wambea na wanoko ikazalisha wanasiasa wanaoiba Fedha Afrika na kwenda kuzificha nje bara la Afrika. Fedha zikajaa Uswiz bila kazi Kwa sababu wanasiasa hao hao ndio mashushu walioajiriwa kwa unoko na umbea. Wakazaliwa Waze ambao wanalipwa mishahara mikubwa lakini awawezi kujenga Wala kuishi maisha ya thamani au hafhi zao, wanatembelea gari zimechakaa kuaminisha wananchi kwamba wao ni wazalendo bila kujiuliza wana maawara wangapi na wanaonga kiasi gani? Wananchi nao wakawa wanasifia watu maskini kuwa ni wazalendo. Hii mentality imekwenda mbali Hadi Leo hii 2022 wapo watu nimeona Jana wanasema Bashingwa ni mtu humble na may be mzalendo kisa amepanda mwendokasi huko Dsm kutoka point Moja na nyingine. Inshort ushushu ukawa chanzo Cha umasikini na kudumaza fikra za viongozi wengi. Viongozi wanaotumia pesa kwenye anasa wakashindwa kufanya maendeleo wakawa wanaaminika wao ni wazalendo.

Hali hii yakuajiri watu kwenye vyombo nyeti wakiwa na uwezo mdogo nikaamini iliisha may be miaka ya tisini huko lakini Leo Mahakamani unamsikia kijana mdogo less than 45yrs kutoka kwenye chombo nyeti hajui maana sober, aelewi chochote kuhusu inteligensia, anashindwa kufanya analysis lakini kimwonekano na matamshi yake unabaini kama siyo mnoko basi ni mbea. Anatamka adharani mbele ya wanaume Kwa "NILISHINDWA KUKAA NALO ROHONI". Na mtu wa aina hii Yupo eneo nyeti na inlongrun anaweza akakabidhiwa watu awaongoze njia. What do you expect such kind of people.

Mazingira haya na muundo wa Jeshi la kikoloni ndio umenifanya nijiulize endapo Kuna uhusiano wowote baina ya wanaoteuliwa kwenye Nafasi ya ukomando na uwezo mkubwa wa IQ? Au Bado makomando wanatokana na sifa Tano zilizotajwa hapo juu?

Duniani Kwa Sasa let say America, watu wanaopewa nafasi yakwenda mafunzo ya ukomando asilimia kubwa ni wale wenye IQ kubwa si ya darasani TU Bali yakuchanganua mambo. Technologia na mbinu za kupambana na adui Dunian Kwa Sasa hazihitaji watu warefu na wenye nguvu zinahitaji uwezo wakutumia vifaa vya kisasa kupambana. Maisha yamebadilika Sana, mapigano mengi si ya silaha Bali mapigano mengi ni ya matumizi ya akili. Economic war.

Niwaombe Watanzania tutumie baraka iliyopo mbele yetu kuwakazania watoto wetu wenye akili kubwa waingie jeshini na kwenye vyombo vya dola wakaondoe gap lililopo. Tuamke, tulazimishe watoto wenye first class waende jeshini, watoto wenye vipaji waende jeshini naamini wingi wao utaondoa mashushu wenye vigezo vya umbea na uchonganishi na kuzalisha mashushu wanaowekeza kuzima majaribio ya wageni kujinufaisha na rasilimali zetu na kuwafungulia fursa hata kwakuwalinda watanzania wanaotaka kukua kiuchumi. Machinga wanapopigwa mabomu na kuibuka shushushu anayesema mateja wamewasha mishumaa nimatokeo yakukosekana Kwa watu wanaongalia changamoto ya machinga na kupush wanasiasa watengeneze solution kabla moto kuwaka na kutegemea watu ambao kwao wanapambana na janga linapotokea.

Tusipokubali kupeleka watoto wetu wenye uwezo mkubwa kwenda kutulinda tukategemea watoto wetu wenye sifa Tano nilizozitaja hapo juu huko tuendako Hawa watoto wenye maumbo makubwa, warefu na wanoko watashindwa kutulinda sisi na viongozi wetu na matokeo yake watageuka kuwalinda mabeberu kama walivyokuwa wanafanya babu zetu enzi za ukoloni.

Nadhani hata Sasa mnaweza mkaona Kati ya watu weusi na watu wenye rangi nyingine ni wapi walikaa mahabusu kwa wingi kipindi Cha uhujumu uchumi! Ni mabeberu wangapi walikamatwa na kupitia magumu kipindi Cha awamu ya Tano? Wenye rangi walitupia pesa Kwa DPP wakaondoka kwenda nje, vijana wetu wakabaki nasisi magerezani na kwenye surveillance huku tukiumizwa Sana. Sidhani kama kuna beberu aliyepotezwa na watu wasiojulikana, tulikuwa sisi weusi.

Na kizuri zaidi walipotumwa kuadhibu na kukamata walikamata wa CCM na wasio wa CCM. Means Hawa watu tunaoruhusu wakakae kwenye dola nakuacha vijana wetu wenye IQ nzuri IPO Siku watatukamata sisi wazazi wao Kwa maelekezo ya mabeberu.

Nimeandika maneno haya kuwafikirisha wanasiasa, wafanyabiashara, watumishi wa umma, wakulima na wafugaji kwamba kipindi cha kusema mwanangu amefaulu vizuri asiende jeshi kimepitwa na wakati. Kama tunahitaji walinzi wazuri kwetu na kwa Mali zetu tunahitaji tukubali watoto wetu wakalitumikie Taifa kupitia vyombo vya ulinzi na usalama waweze kutulinda kesho tutakapotajirika au Taifa litakapotaka kusimama bila wahisani.

Mwisho, ni fedhea kubwa Sana Kwa kiongozi aliyetengeneza Carrie yake for more than 30yrs, au mfanyabiashara aliyetengeneza utajiri wake for years, au mwanadiasa aliyejiimatrisha for years anashindwa kusherekea mafanikio yake Kwa sababu TU alishindwa kuandaa structure nzuri ya yeye kuishi Kwa heshima na haki mbeleni. Furaha ya maisha inaanzia kwenye usalama wa afya, Mali na Nchi unayokaa. Tuwasaidie waajiri kuondoa mfumo wa mabavu kwa kuajiri wenye uwezo wa kufanya analysis juu ya tafsiri ya ulinzi wa raia na Mali zake au ulinzi wa mipaka.
Na hii ndio moja ya sababu 1000 kwanini nchi yetu ni maskini.

Nilisha andika humu pia...
 
Wakati tunapita JKT miaka 80+ kigezo Cha uaskari kilipimwa Kwa mambo yafuatayo;
1. Urefu
2. Mwonekano wa umbo
3. Uwezo wa kupiga paredi
4. Smartness Kwa maana ya unadhifu wa mavazi.
5. Unoko

Watu wenye sifa zilizoelezwa hapo juu bila kujali uwezo wao wa kufikiri,kupambanua mambo na kufanya maamuzi sahihi ambavyo ni vigezo visivyoonekana Kwa macho walipata Nafasi ya kujiunga kwenye Jeshi,polisi na vyombo vingine

Kwa mazingira ya kipindi kile walikuwa sahihi lakini miaka ilivyokwenda mbele watu wakaanza kujiuliza maswali yaliyopelekea reform isiyo rasmi. Swali la kwanza likawa, Ni ipi Nafasi ya mtu mfupi kwenye Nafasi ya kijeshi?

Ikabainika kumnyima mtu Nafasi ya kujiunga Jeshi lolote Kwa sababu ya ufupi nikuwanyanyapaa watu wafupi ambao vimo vyao ni chini ya vimo vilivyowekwa. Lakini pia ikabaini kigezo Cha urefu kiliwekwa na wazungu na wakati huo wazungu wakoloni awakutaka watu wenye akili maana wao walikuwa na akili,walitaka watu wenye nguvu na maumbo ya kutisha. Wadadisi walihoji endapo Jeshi linakitengo Cha ukachero,je makachero lazima wawe warefu na walioshiba?

Je, urefu na mwili uliojaa haviwezi kuwa vigezo vyakukwamisha ukachero? Wakazidi kuhoji mafundi cherehani na mafundi wengine lazima wawe warefu na wenye nguvu? Madaktari lazima wawe warefu na wenye misuli?

Waimbaji wa bendi lazima wawe warefu? Maswali haya na mengine yakawafanya watoa ajira hasa kwenye majeshi ya Nchi nyingi Afrika wakaondoa kigezo cha urefu nakutruhusu wafupi nao kupata nafasi japo sijui Tanzania kama mifumo yetu inaruhusu wafupi jeshini.Matangazo yetu Bado yameandikwa awe ana urefu 5.7ft Kwa wanaume wanawake nadhani 5. Najiuliza tunaajiri vimo au tunaajiri akili na maarifa yaliyopo kwenye vimo tofauti?

Dhana ya unoko nayo ikawa inatumika kupata maafisa inteligensia, yaani mkiwa JKt watu wanoko na wambea wakawa Wana nafasi kubwa yakupata kazi ya ushushu. Watu wasio na makoromeo wakapita mlango wa unoko wakaajiriwa.Tukumbuke dhana hii ilirithiwa kutoka Kwa wakoloni, wao walitaka watu wambea wawe viongozi Ili waweze kuwaletea majungu. Walitaka watu waoga wawe sehemu ya Jeshi Ili wakitishwa basi wajitokeze kusema "Afande Mimi sijashiriki walioshiriki ni flani n flani" .

Mifumo yetu ikaacha kuchukua IQ Kwa maana ya intelligent wakakusanya wanoko na wambea , watu intelligent wakaachwa Kwa sababu TU hakuna wanaposikika. Hawa watu walipopata ajira wakaingiza jeshini umbea wakakosesha majeshi mengi ubunifu na hivyo kukazaliwa mafarakano na kutoelewana, kukazaliwa ushirikana kwenye Kambi na kukazaliwa chuki na kutokuaminia.

Finally kota za majeshi mengi Zika sehemu yakuzalisha watu maskini na wasioelewa maana ya maendeleo. Kama mnakumbuka wakati wa mwalimu na Mzee Mwinyi mashushu walikuwa na kazi yakuhesabu umekunywa bia ngapi na kulinganisha salary Yako. Wakatoka makambini wakaingia mtaani nakuanza Kuanza kuangalia Nani amejenga wakiona nyumba nzuri ya mtu mweusi wakawa wanawapelekea taarifa wakubwa na bila analysis yoyote na kuhojiwa watu wakawa wanaishia mikononi mwa manjagu kwa visingizio kadhaa. Mashushu wa aina hii wakawafanya watumishi wa umma wawe walisha tumbo, wazinzi, watapanyaji wa Fedha wakiogopa kufanya maendeleo Kwa sababu wataulizwa umepataje Fedha


Hali hii yakuajiri wambea na wanoko ikazalisha wanasiasa wanaoiba Fedha Afrika na kwenda kuzificha nje bara la Afrika. Fedha zikajaa Uswiz bila kazi Kwa sababu wanasiasa hao hao ndio mashushu walioajiriwa kwa unoko na umbea. Wakazaliwa Waze ambao wanalipwa mishahara mikubwa lakini awawezi kujenga Wala kuishi maisha ya thamani au hafhi zao, wanatembelea gari zimechakaa kuaminisha wananchi kwamba wao ni wazalendo bila kujiuliza wana maawara wangapi na wanaonga kiasi gani? Wananchi nao wakawa wanasifia watu maskini kuwa ni wazalendo. Hii mentality imekwenda mbali Hadi Leo hii 2022 wapo watu nimeona Jana wanasema Bashingwa ni mtu humble na may be mzalendo kisa amepanda mwendokasi huko Dsm kutoka point Moja na nyingine. Inshort ushushu ukawa chanzo Cha umasikini na kudumaza fikra za viongozi wengi. Viongozi wanaotumia pesa kwenye anasa wakashindwa kufanya maendeleo wakawa wanaaminika wao ni wazalendo.

Hali hii yakuajiri watu kwenye vyombo nyeti wakiwa na uwezo mdogo nikaamini iliisha may be miaka ya tisini huko lakini Leo Mahakamani unamsikia kijana mdogo less than 45yrs kutoka kwenye chombo nyeti hajui maana sober, aelewi chochote kuhusu inteligensia, anashindwa kufanya analysis lakini kimwonekano na matamshi yake unabaini kama siyo mnoko basi ni mbea. Anatamka adharani mbele ya wanaume Kwa "NILISHINDWA KUKAA NALO ROHONI". Na mtu wa aina hii Yupo eneo nyeti na inlongrun anaweza akakabidhiwa watu awaongoze njia. What do you expect such kind of people.

Mazingira haya na muundo wa Jeshi la kikoloni ndio umenifanya nijiulize endapo Kuna uhusiano wowote baina ya wanaoteuliwa kwenye Nafasi ya ukomando na uwezo mkubwa wa IQ? Au Bado makomando wanatokana na sifa Tano zilizotajwa hapo juu?

Duniani Kwa Sasa let say America, watu wanaopewa nafasi yakwenda mafunzo ya ukomando asilimia kubwa ni wale wenye IQ kubwa si ya darasani TU Bali yakuchanganua mambo. Technologia na mbinu za kupambana na adui Dunian Kwa Sasa hazihitaji watu warefu na wenye nguvu zinahitaji uwezo wakutumia vifaa vya kisasa kupambana. Maisha yamebadilika Sana, mapigano mengi si ya silaha Bali mapigano mengi ni ya matumizi ya akili. Economic war.

Niwaombe Watanzania tutumie baraka iliyopo mbele yetu kuwakazania watoto wetu wenye akili kubwa waingie jeshini na kwenye vyombo vya dola wakaondoe gap lililopo. Tuamke, tulazimishe watoto wenye first class waende jeshini, watoto wenye vipaji waende jeshini naamini wingi wao utaondoa mashushu wenye vigezo vya umbea na uchonganishi na kuzalisha mashushu wanaowekeza kuzima majaribio ya wageni kujinufaisha na rasilimali zetu na kuwafungulia fursa hata kwakuwalinda watanzania wanaotaka kukua kiuchumi. Machinga wanapopigwa mabomu na kuibuka shushushu anayesema mateja wamewasha mishumaa nimatokeo yakukosekana Kwa watu wanaongalia changamoto ya machinga na kupush wanasiasa watengeneze solution kabla moto kuwaka na kutegemea watu ambao kwao wanapambana na janga linapotokea.

Tusipokubali kupeleka watoto wetu wenye uwezo mkubwa kwenda kutulinda tukategemea watoto wetu wenye sifa Tano nilizozitaja hapo juu huko tuendako Hawa watoto wenye maumbo makubwa, warefu na wanoko watashindwa kutulinda sisi na viongozi wetu na matokeo yake watageuka kuwalinda mabeberu kama walivyokuwa wanafanya babu zetu enzi za ukoloni.

Nadhani hata Sasa mnaweza mkaona Kati ya watu weusi na watu wenye rangi nyingine ni wapi walikaa mahabusu kwa wingi kipindi Cha uhujumu uchumi! Ni mabeberu wangapi walikamatwa na kupitia magumu kipindi Cha awamu ya Tano? Wenye rangi walitupia pesa Kwa DPP wakaondoka kwenda nje, vijana wetu wakabaki nasisi magerezani na kwenye surveillance huku tukiumizwa Sana. Sidhani kama kuna beberu aliyepotezwa na watu wasiojulikana, tulikuwa sisi weusi.

Na kizuri zaidi walipotumwa kuadhibu na kukamata walikamata wa CCM na wasio wa CCM. Means Hawa watu tunaoruhusu wakakae kwenye dola nakuacha vijana wetu wenye IQ nzuri IPO Siku watatukamata sisi wazazi wao Kwa maelekezo ya mabeberu.

Nimeandika maneno haya kuwafikirisha wanasiasa, wafanyabiashara, watumishi wa umma, wakulima na wafugaji kwamba kipindi cha kusema mwanangu amefaulu vizuri asiende jeshi kimepitwa na wakati. Kama tunahitaji walinzi wazuri kwetu na kwa Mali zetu tunahitaji tukubali watoto wetu wakalitumikie Taifa kupitia vyombo vya ulinzi na usalama waweze kutulinda kesho tutakapotajirika au Taifa litakapotaka kusimama bila wahisani.

Mwisho, ni fedhea kubwa Sana Kwa kiongozi aliyetengeneza Carrie yake for more than 30yrs, au mfanyabiashara aliyetengeneza utajiri wake for years, au mwanadiasa aliyejiimatrisha for years anashindwa kusherekea mafanikio yake Kwa sababu TU alishindwa kuandaa structure nzuri ya yeye kuishi Kwa heshima na haki mbeleni. Furaha ya maisha inaanzia kwenye usalama wa afya, Mali na Nchi unayokaa. Tuwasaidie waajiri kuondoa mfumo wa mabavu kwa kuajiri wenye uwezo wa kufanya analysis juu ya tafsiri ya ulinzi wa raia na Mali zake au ulinzi wa mipaka.
Unauwenzo Mkubwa wa kuona mambo na kufikiri mkuu hili tatizo haliko kwenye majeshi tu ni kwenye. taasisi nyingi ,jalibu kufikiria mkurugenzi au mkuu wa wilaya anaeteuliwa kwa kigezo cha kada mtiifu akifika tu kituo cha.kazi anawagawa watumishi wakuu wa idara hawapani na wachini yao ofisi zinajaa majjungu hakuna ubunifu watumishi. wanabaki kuangalia mtu mmoja , na hali hii ndio ipo Africa
 
Duniani Kwa Sasa let say America, watu wanaopewa nafasi yakwenda mafunzo ya ukomando asilimia kubwa ni wale wenye IQ kubwa si ya darasani TU Bali yakuchanganua mambo. Technologia na mbinu za kupambana na adui Dunian Kwa Sasa hazihitaji watu warefu na wenye nguvu zinahitaji uwezo wakutumia vifaa vya kisasa kupambana. Maisha yamebadilika Sana, mapigano mengi si ya silaha Bali mapigano mengi ni ya matumizi ya akili. Economic war.
Chanzo cha hii habari yako ni kipi?

Sometimes ni lazima ukubali kwamba hauwezi kupingana na nature, hizi propaganda za equality haziapply jeshini.
Mwanajeshi mstaafu wa United States Navy SEALs, anasema mazoezi yake pekee yanahitaji mtu strong na mwenye durability na body frame kubwa kiasi ili kuhimili uzito wa kutosha.

Anasema Navy SEAL gear pekee ina uzito wa kilo 60 mpaka 80 kuna chakula, maji, silaha nzito na medicines.
Hapo'hapo kuna mazoezi ya kubeba mwenzako ambaye roughly ana kilo 100 mpaka 120 jumlisha na gears maana yake mtu mmoja anatakiwa awe na uwezo wa kubeba kilo 160 mpaka 200 na kutembea kwa umbali mrefu.
Hiyo ni kwa ajili ya kubeba au kuburuza mwenzako aliyeumia au kufa vitani na ni marufuku kumuacha nyuma.
Wewe roughly unaweza kubeba hata kilo 20 na kutembea kwa foot 100 pekee?.

Ni moja ya jeshi lenye mazoezi makali na magumu sababu wengine walikuwa wanapusuka mifupa ya miguu na kuwa na kilema mwisho wa siku kutembea upande upande sababu body frames haziruhusu na hazina uwezo wa kuhimili hayo mazoezi, ndio maana wanaume pekee ndio wanaruhusiwa sababu wanawake wangekufa hata kabla ya operation au mission kuanza. na technically urefu unajumuisha big body frames, mifupa mikubwa, migumu na mizito, misuli yenye nguvu ukilinganisha na mtu mfupi, that's a fact. hivyo jeshi sio wajinga kuweka vigezo hivyo.
Huyu mwanajeshi anayesema hivi ana foot 6.4 na kilo 120 maana yake ni kipande cha mtu, au asingepita mnaenda 100 wanatoka 10 tu.

Sio mimi niliyesema hayo bali ni mwanajeshi mwenyewe kutoka United States Navy Seals. sasa sijui wewe unasema hiyvo kama nani.
Au unataka kuniambia mwanaume mfupi foot 5 au mwanamke foot 4 anaweza kuhimili mzigo wa kilo 160?
Wakati mostly watu wenye urefu huo huwa na kilo 60 mpaka 70 akifika 100 basi ni kibonge tayari hata kupandisha ngazi hawezi anahishia kuhema kwa tabu. je ataweza kubeba mara mbili au tatu ya uzito wake.

Na kuna mwingine ni wa jeshi la zimamoto marekani ni mwanamke na kawaida naturally wanawake wana miili midogo na ni dhaifu kuliko wanaume, sasa huyu alikuwa anashindwa kuvaa survival gear za zimamoto sababu ni kafupi na kadogo na uzito ulimuelemea hivyo kazi ikamshinda. na hii ni kutoka kwa mwanajeshi wa zimamoto marekani.

Sasa nirudi kwenye hoja yako kwamba jeshi linahitaji watu smart, wenye IQ kubwa na uwezo wa kutumia silaha na technology.

Technically jeshi halihitaji watu smart na intelligent kwenye kitengo cha maswala ya mapambano, combat na special warfare hicho sio kigezo, sababu pale unakwenda kufuata orders tu kutoka kwa wakubwa zako na si vinginevyo na hizo orders zinahitaji watu wenye nguvu kuzitekeleza.
Na je unajua nini kinatokea pale mwanajeshi anapokataa kufuata order? hiyo inaitwa mutiny na kuna court martial utaendwa kuhukumiwa huko, so kuwa smart sio kigezo jeshini kwenye kitengo cha warfare na combat sababu mwajeshi hafanyi maamuzi yake mwenyewe na hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi yake mwenyewe, yeye ni kufuata amri au orders kutoka kwa juu au kwa wakubwa zake.
Labda kama haujui unachokiongea.

Na kuprove hilo ni kwamba jeshi lina vitengo tofauti na kila kitengo kina kazi yake na vitengo vyote ni lazima kufuata orders kutoka kwa wakubwa na narudia hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi binafsi haijalishi wewe ni intelligent au smart kiasi gani.
Na sio kwamba jeshi lote kazi yake ni kutwangana risasi vitani, wewe unaandika kana kwamba jeshi kazi yake ni moja tu. kupigana vitani na kutumia nguvu.
Ni hivi, wenye nguvu wataenda vitani na sehemu zinazohitaji nguvu na wasio na nguvu wataenda kwenye hivyo vitengo vingine vinavyohitaji watu intelligent na smart I.e Intelligence, forensics, technology, mission control, strategy and reconnaissance na maswala ya medicine kwa wanawake. means jeshi linahitaji watu wa aina yote.

Lakini jeshi milele ni lazima litahitaji watu warefu wenye nguvu na imara na milele itakuwa hivyo au bila hao watu basi hivyo vitengo vingine vitakuwa useless, that's an unbreakable universal fact.
 
Chanzo cha hii habari yako ni kipi?

Sometimes ni lazima ukubali kwamba hauwezi kupingana na nature, hizi propaganda za equality haziapply jeshini.
Mwanajeshi mstaafu wa United States Navy SEALs, anasema mazoezi yake pekee yanahitaji mtu strong na mwenye durability na body frame kubwa kiasi ili kuhimili uzito wa kutosha.

Anasema Navy SEAL gear pekee ina uzito wa kilo 60 mpaka 80 kuna chakula, maji, silaha nzito na medicines.
Hapo'hapo kuna mazoezi ya kubeba mwenzako ambaye roughly ana kilo 100 mpaka 120 jumlisha na gears maana yake mtu mmoja anatakiwa awe na uwezo wa kubeba kilo 160 mpaka 200 na kutembea kwa umbali mrefu.
Hiyo ni kwa ajili ya kubeba au kuburuza mwenzako aliyeumia au kufa vitani na ni marufuku kumuacha nyuma.
Wewe roughly unaweza kubeba hata kilo 20 na kutembea kwa foot 100 pekee?.

Ni moja ya jeshi lenye mazoezi makali na magumu sababu wengine walikuwa wanapusuka mifupa ya miguu na kuwa na kilema mwisho wa siku kutembea upande upande sababu body frames haziruhusu na hazina uwezo wa kuhimili hayo mazoezi, ndio maana wanaume pekee ndio wanaruhusiwa sababu wanawake wangekufa hata kabla ya operation au mission kuanza. na technically urefu unajumuisha big body frames, mifupa mikubwa, migumu na mizito, misuli yenye nguvu ukilinganisha na mtu mfupi, that's a fact. hivyo jeshi sio wajinga kuweka vigezo hivyo.
Huyu mwanajeshi anayesema hivi ana foot 6.4 na kilo 120 maana yake ni kipande cha mtu, au asingepita mnaenda 100 wanatoka 10 tu.

Sio mimi niliyesema hayo bali ni mwanajeshi mwenyewe kutoka United States Navy Seals. sasa sijui wewe unasema hiyvo kama nani.
Au unataka kuniambia mwanaume mfupi foot 5 au mwanamke foot 4 anaweza kuhimili mzigo wa kilo 160?
Wakati mostly watu wenye urefu huo huwa na kilo 60 mpaka 70 akifika 100 basi ni kibonge tayari hata kupandisha ngazi hawezi anahishia kuhema kwa tabu. je ataweza kubeba mara mbili au tatu ya uzito wake.

Na kuna mwingine ni wa jeshi la zimamoto marekani ni mwanamke na kawaida naturally wanawake wana miili midogo na ni dhaifu kuliko wanaume, sasa huyu alikuwa anashindwa kuvaa survival gear za zimamoto sababu ni kafupi na kadogo na uzito ulimuelemea hivyo kazi ikamshinda. na hii ni kutoka kwa mwanajeshi wa zimamoto marekani.

Sasa nirudi kwenye hoja yako kwamba jeshi linahitaji watu smart, wenye IQ kubwa na uwezo wa kutumia silaha na technology.

Technically jeshi halihitaji watu smart na intelligent kwenye kitengo cha maswala ya mapambano, combat na special warfare hicho sio kigezo, sababu pale unakwenda kufuata orders tu kutoka kwa wakubwa zako na si vinginevyo na hizo orders zinahitaji watu wenye nguvu kuzitekeleza.
Na je unajua nini kinatokea pale mwanajeshi anapokataa kufuata order? hiyo inaitwa mutiny na kuna court martial utaendwa kuhukumiwa huko, so kuwa smart sio kigezo jeshini kwenye kitengo cha warfare na combat sababu mwajeshi hafanyi maamuzi yake mwenyewe na hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi yake mwenyewe, yeye ni kufuata amri au orders kutoka kwa juu au kwa wakubwa zake.
Labda kama haujui unachokiongea.

Na kuprove hilo ni kwamba jeshi lina vitengo tofauti na kila kitengo kina kazi yake na vitengo vyote ni lazima kufuata orders kutoka kwa wakubwa na narudia hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi binafsi haijalishi wewe ni intelligent au smart kiasi gani.
Na sio kwamba jeshi lote kazi yake ni kutwangana risasi vitani, wewe unaandika kana kwamba jeshi kazi yake ni moja tu. kupigana vitani na kutumia nguvu.
Ni hivi, wenye nguvu wataenda vitani na sehemu zinazohitaji nguvu na wasio na nguvu wataenda kwenye hivyo vitengo vingine vinavyohitaji watu intelligent na smart I.e Intelligence, forensics, technology, mission control, strategy and reconnaissance na maswala ya medicine kwa wanawake. means jeshi linahitaji watu wa aina yote.

Lakini jeshi milele ni lazima litahitaji watu warefu wenye nguvu na imara na milele itakuwa hivyo au bila hao watu basi hivyo vitengo vingine vitakuwa useless, that's an unbreakable universal fact.
Uzi ufungwe.
 
Chanzo cha hii habari yako ni kipi?

Sometimes ni lazima ukubali kwamba hauwezi kupingana na nature, hizi propaganda za equality haziapply jeshini.
Mwanajeshi mstaafu wa United States Navy SEALs, anasema mazoezi yake pekee yanahitaji mtu strong na mwenye durability na body frame kubwa kiasi ili kuhimili uzito wa kutosha.

Anasema Navy SEAL gear pekee ina uzito wa kilo 60 mpaka 80 kuna chakula, maji, silaha nzito na medicines.
Hapo'hapo kuna mazoezi ya kubeba mwenzako ambaye roughly ana kilo 100 mpaka 120 jumlisha na gears maana yake mtu mmoja anatakiwa awe na uwezo wa kubeba kilo 160 mpaka 200 na kutembea kwa umbali mrefu.
Hiyo ni kwa ajili ya kubeba au kuburuza mwenzako aliyeumia au kufa vitani na ni marufuku kumuacha nyuma.
Wewe roughly unaweza kubeba hata kilo 20 na kutembea kwa foot 100 pekee?.

Ni moja ya jeshi lenye mazoezi makali na magumu sababu wengine walikuwa wanapusuka mifupa ya miguu na kuwa na kilema mwisho wa siku kutembea upande upande sababu body frames haziruhusu na hazina uwezo wa kuhimili hayo mazoezi, ndio maana wanaume pekee ndio wanaruhusiwa sababu wanawake wangekufa hata kabla ya operation au mission kuanza. na technically urefu unajumuisha big body frames, mifupa mikubwa, migumu na mizito, misuli yenye nguvu ukilinganisha na mtu mfupi, that's a fact. hivyo jeshi sio wajinga kuweka vigezo hivyo.
Huyu mwanajeshi anayesema hivi ana foot 6.4 na kilo 120 maana yake ni kipande cha mtu, au asingepita mnaenda 100 wanatoka 10 tu.

Sio mimi niliyesema hayo bali ni mwanajeshi mwenyewe kutoka United States Navy Seals. sasa sijui wewe unasema hiyvo kama nani.
Au unataka kuniambia mwanaume mfupi foot 5 au mwanamke foot 4 anaweza kuhimili mzigo wa kilo 160?
Wakati mostly watu wenye urefu huo huwa na kilo 60 mpaka 70 akifika 100 basi ni kibonge tayari hata kupandisha ngazi hawezi anahishia kuhema kwa tabu. je ataweza kubeba mara mbili au tatu ya uzito wake.

Na kuna mwingine ni wa jeshi la zimamoto marekani ni mwanamke na kawaida naturally wanawake wana miili midogo na ni dhaifu kuliko wanaume, sasa huyu alikuwa anashindwa kuvaa survival gear za zimamoto sababu ni kafupi na kadogo na uzito ulimuelemea hivyo kazi ikamshinda. na hii ni kutoka kwa mwanajeshi wa zimamoto marekani.

Sasa nirudi kwenye hoja yako kwamba jeshi linahitaji watu smart, wenye IQ kubwa na uwezo wa kutumia silaha na technology.

Technically jeshi halihitaji watu smart na intelligent kwenye kitengo cha maswala ya mapambano, combat na special warfare hicho sio kigezo, sababu pale unakwenda kufuata orders tu kutoka kwa wakubwa zako na si vinginevyo na hizo orders zinahitaji watu wenye nguvu kuzitekeleza.
Na je unajua nini kinatokea pale mwanajeshi anapokataa kufuata order? hiyo inaitwa mutiny na kuna court martial utaendwa kuhukumiwa huko, so kuwa smart sio kigezo jeshini kwenye kitengo cha warfare na combat sababu mwajeshi hafanyi maamuzi yake mwenyewe na hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi yake mwenyewe, yeye ni kufuata amri au orders kutoka kwa juu au kwa wakubwa zake.
Labda kama haujui unachokiongea.

Na kuprove hilo ni kwamba jeshi lina vitengo tofauti na kila kitengo kina kazi yake na vitengo vyote ni lazima kufuata orders kutoka kwa wakubwa na narudia hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi binafsi haijalishi wewe ni intelligent au smart kiasi gani.
Na sio kwamba jeshi lote kazi yake ni kutwangana risasi vitani, wewe unaandika kana kwamba jeshi kazi yake ni moja tu. kupigana vitani na kutumia nguvu.
Ni hivi, wenye nguvu wataenda vitani na sehemu zinazohitaji nguvu na wasio na nguvu wataenda kwenye hivyo vitengo vingine vinavyohitaji watu intelligent na smart I.e Intelligence, forensics, technology, mission control, strategy and reconnaissance na maswala ya medicine kwa wanawake. means jeshi linahitaji watu wa aina yote.

Lakini jeshi milele ni lazima litahitaji watu warefu wenye nguvu na imara na milele itakuwa hivyo au bila hao watu basi hivyo vitengo vingine vitakuwa useless, that's an unbreakable universal fact.
What analysis huu ndio ukweli
 
Chanzo cha hii habari yako ni kipi?

Sometimes ni lazima ukubali kwamba hauwezi kupingana na nature, hizi propaganda za equality haziapply jeshini.
Mwanajeshi mstaafu wa United States Navy SEALs, anasema mazoezi yake pekee yanahitaji mtu strong na mwenye durability na body frame kubwa kiasi ili kuhimili uzito wa kutosha.

Anasema Navy SEAL gear pekee ina uzito wa kilo 60 mpaka 80 kuna chakula, maji, silaha nzito na medicines.
Hapo'hapo kuna mazoezi ya kubeba mwenzako ambaye roughly ana kilo 100 mpaka 120 jumlisha na gears maana yake mtu mmoja anatakiwa awe na uwezo wa kubeba kilo 160 mpaka 200 na kutembea kwa umbali mrefu.
Hiyo ni kwa ajili ya kubeba au kuburuza mwenzako aliyeumia au kufa vitani na ni marufuku kumuacha nyuma.
Wewe roughly unaweza kubeba hata kilo 20 na kutembea kwa foot 100 pekee?.

Ni moja ya jeshi lenye mazoezi makali na magumu sababu wengine walikuwa wanapusuka mifupa ya miguu na kuwa na kilema mwisho wa siku kutembea upande upande sababu body frames haziruhusu na hazina uwezo wa kuhimili hayo mazoezi, ndio maana wanaume pekee ndio wanaruhusiwa sababu wanawake wangekufa hata kabla ya operation au mission kuanza. na technically urefu unajumuisha big body frames, mifupa mikubwa, migumu na mizito, misuli yenye nguvu ukilinganisha na mtu mfupi, that's a fact. hivyo jeshi sio wajinga kuweka vigezo hivyo.
Huyu mwanajeshi anayesema hivi ana foot 6.4 na kilo 120 maana yake ni kipande cha mtu, au asingepita mnaenda 100 wanatoka 10 tu.

Sio mimi niliyesema hayo bali ni mwanajeshi mwenyewe kutoka United States Navy Seals. sasa sijui wewe unasema hiyvo kama nani.
Au unataka kuniambia mwanaume mfupi foot 5 au mwanamke foot 4 anaweza kuhimili mzigo wa kilo 160?
Wakati mostly watu wenye urefu huo huwa na kilo 60 mpaka 70 akifika 100 basi ni kibonge tayari hata kupandisha ngazi hawezi anahishia kuhema kwa tabu. je ataweza kubeba mara mbili au tatu ya uzito wake.

Na kuna mwingine ni wa jeshi la zimamoto marekani ni mwanamke na kawaida naturally wanawake wana miili midogo na ni dhaifu kuliko wanaume, sasa huyu alikuwa anashindwa kuvaa survival gear za zimamoto sababu ni kafupi na kadogo na uzito ulimuelemea hivyo kazi ikamshinda. na hii ni kutoka kwa mwanajeshi wa zimamoto marekani.

Sasa nirudi kwenye hoja yako kwamba jeshi linahitaji watu smart, wenye IQ kubwa na uwezo wa kutumia silaha na technology.

Technically jeshi halihitaji watu smart na intelligent kwenye kitengo cha maswala ya mapambano, combat na special warfare hicho sio kigezo, sababu pale unakwenda kufuata orders tu kutoka kwa wakubwa zako na si vinginevyo na hizo orders zinahitaji watu wenye nguvu kuzitekeleza.
Na je unajua nini kinatokea pale mwanajeshi anapokataa kufuata order? hiyo inaitwa mutiny na kuna court martial utaendwa kuhukumiwa huko, so kuwa smart sio kigezo jeshini kwenye kitengo cha warfare na combat sababu mwajeshi hafanyi maamuzi yake mwenyewe na hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi yake mwenyewe, yeye ni kufuata amri au orders kutoka kwa juu au kwa wakubwa zake.
Labda kama haujui unachokiongea.

Na kuprove hilo ni kwamba jeshi lina vitengo tofauti na kila kitengo kina kazi yake na vitengo vyote ni lazima kufuata orders kutoka kwa wakubwa na narudia hakuna mwanajeshi anayefanya maamuzi binafsi haijalishi wewe ni intelligent au smart kiasi gani.
Na sio kwamba jeshi lote kazi yake ni kutwangana risasi vitani, wewe unaandika kana kwamba jeshi kazi yake ni moja tu. kupigana vitani na kutumia nguvu.
Ni hivi, wenye nguvu wataenda vitani na sehemu zinazohitaji nguvu na wasio na nguvu wataenda kwenye hivyo vitengo vingine vinavyohitaji watu intelligent na smart I.e Intelligence, forensics, technology, mission control, strategy and reconnaissance na maswala ya medicine kwa wanawake. means jeshi linahitaji watu wa aina yote.

Lakini jeshi milele ni lazima litahitaji watu warefu wenye nguvu na imara na milele itakuwa hivyo au bila hao watu basi hivyo vitengo vingine vitakuwa useless, that's an unbreakable universal fact.
Huu uzi umeshapata majibu naunga mkono ufungwe
 
Back
Top Bottom