marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 967
- 1,693
Bibi Harusi alienda stationary aliomba achapiwe 1 Yohana 4:18 kwenye CARD YA HARUSI lakini mchapaji alifanya kosa kwa kutoweka "1" kabla ya Yohana hivyo akachapisha Yohana 4:18_
1 Yohana 4:18 inasema "Katika pendo hamna woga, bali pendo lililo kamili hufukuza hofu zote"_
Lakini Yohana 4:18 inasema "Kwa maana umekuwa na waume watano hapo awali, na huyu uliye naye sasa si mume wako"
Bado tuko mahali hapa kusuluhisha, bado tunamsihi Bwana Harusi kuwa kosa ni la mchapaji wa stationary siyo Bibi Haru
1 Yohana 4:18 inasema "Katika pendo hamna woga, bali pendo lililo kamili hufukuza hofu zote"_
Lakini Yohana 4:18 inasema "Kwa maana umekuwa na waume watano hapo awali, na huyu uliye naye sasa si mume wako"
Bado tuko mahali hapa kusuluhisha, bado tunamsihi Bwana Harusi kuwa kosa ni la mchapaji wa stationary siyo Bibi Haru