Kikwete huwa anatoa matamko yanayoonyesha kama ana tolerate tolerate vyombo vya habari. Mpaka akatoa executive order kwa vyombo vyake vifuatilie ishu ya mwandishi kumwagiwa tindikali. Na ni yeye ndie aliamuru vijana wa Jamboforums waachiwe, inasemekena.
Sasa inakuwaje hapa henchmen wake wanafanya vingine?
Nini kinaendelea hapa, huwa ni mnafiki au mapolisi wake hawapati directives za Raisi?
Kwenye hili la ku tolerate vyombo vya habari kuandika watakavyo, Kikwete ana sound kama yuko honest. Sasa nini kinaendelea hapa?
Zipo taarifa za ukweli kuhusu sababu kubwa iliyomfanya RA amvae Mtikila. Katika sababu hizo zilizotolewa na msemaji mmoja ambaye labda angenukuliwa na Mwanahalisi ni kuwa Mch. mtikila ameanzisha mchakato wa kuwabana altimately mafisadi. Zimeorodheshwa kashfa zote kuanzia za IPTL hadi Richmond. Kwa kifupi hakuna atakayenusurika kutajwa. Ni moto mkubwa ambao labda unaelekea sasa kutoa dalili za kuchoma na kuteketeza kabisa kichaka cha mafisadi.
Kikwete huwa anatoa matamko yanayoonyesha kama ana tolerate tolerate vyombo vya habari. Mpaka akatoa executive order kwa vyombo vyake vifuatilie ishu ya mwandishi kumwagiwa tindikali. Na ni yeye ndie aliamuru vijana wa Jamboforums waachiwe, inasemekena.
Sasa inakuwaje hapa henchmen wake wanafanya vingine?
Nini kinaendelea hapa, huwa ni mnafiki au mapolisi wake hawapati directives za Raisi?
Kwenye hili la ku tolerate vyombo vya habari kuandika watakavyo, Kikwete ana sound kama yuko honest. Sasa nini kinaendelea hapa?
Polisi na SISIEMU yao ndo wanazidi kujidhalilisha. Halafu watoke hapo waseme Mugabe si Rais halali wa Zimbabwe?? Sasa kuna tofauti gani kati yao na Mugabe? Hawa ni MANYANG'AU tu, vita ndo inaanza hata haijafika 1/8. FISADIZ wanadunda tu lakini wanaoibua uchafu ndo wanakuwa targeted.
source:
http://www.bw.co.zw/index.php?option...039&Itemid=149
Tanzania eager to adopt Zim's mining laws
An industry body in Tanzania says it wishes to take a leaf from Zimbabwe's mining laws as concern deepens about retaining the benefits of mining ventures.
An official at the Confederation of Tanzanian Industries (CTI) says a quota system in the extraction industry akin to one proposed by Zimbabwe would be ideal for the mineral-rich country.
Zimbabwe is in the process of amending the Mines and Mineral Act to warehouse 51 percent shareholding for indigenous black extractors as part of its black economic empowerment strategy.
Tanzania, with rich diamond, gold and gemstone endowments, has rapidly grown to become the country's leading growth sector in the past five years.
However, CTI claims that growth has not led to the development of the country as the government only retains 2 % of export earnings in royalty with 98 % being repatriated by foreign-owned mining conglomerates.
Tanzania has recently introduced a free and 100 percent profit repatriation by foreign corporations to pull investors to the country.
Mining in the country is dominated by South African and British mining companies.
Although President Jakaya Kikwete's government promised to review mining contracts in 2005 following pressure from CTI, the Tanzania Chamber of Commerce and other industry bodies, no concrete action has so far taken place.
BO
Kikwete huwa anatoa matamko yanayoonyesha kama ana tolerate tolerate vyombo vya habari. Mpaka akatoa executive order kwa vyombo vyake vifuatilie ishu ya mwandishi kumwagiwa tindikali. Na ni yeye ndie aliamuru vijana wa Jamboforums waachiwe, inasemekena.
Sasa inakuwaje hapa henchmen wake wanafanya vingine?
Nini kinaendelea hapa, huwa ni mnafiki au mapolisi wake hawapati directives za Raisi?
Kwenye hili la ku tolerate vyombo vya habari kuandika watakavyo, Kikwete ana sound kama yuko honest. Sasa nini kinaendelea hapa?
mpaka kieleweke hawa mafisadi mwaka huu wataipata freshi........sasa tunataka akina Mwanahalisi kama 10 hivi.....WAke up!
Bob anatuambia....
You can fool some people sometimes,
But you cant fool all the people all the time
So now we see the light
We gonna stand up for our rights
Zife fikra za mafisadi
Kikwete huwa anatoa matamko yanayoonyesha kama ana tolerate tolerate vyombo vya habari. Mpaka akatoa executive order kwa vyombo vyake vifuatilie ishu ya mwandishi kumwagiwa tindikali. Na ni yeye ndie aliamuru vijana wa Jamboforums waachiwe, inasemekena.
Sasa inakuwaje hapa henchmen wake wanafanya vingine?
Nini kinaendelea hapa, huwa ni mnafiki au mapolisi wake hawapati directives za Raisi?
Kwenye hili la ku tolerate vyombo vya habari kuandika watakavyo, Kikwete ana sound kama yuko honest. Sasa nini kinaendelea hapa?
Wakuu Heshima mbele, hapa naomba kuuliza kwanza kuna sababu zozote ambazo zimethibitishwa na reliable source as of why polisi wamewavamia hawa Mwanahalisi?
Kwa sababu kama ni Rais ndiye aliyeamuru kama inavyodaiwa na wajumbe wengi hapa, basi wangekuwa ni watu wa usalama, sio polisi kama kuna mwenye facts zaidi ya hizi ziwekwe hapa tuchambue ukweli ulipo, polisi huhusika na ishus za jinai kwa hiyo kama ni wao basi kuna jinai hapo, lakini kama ni nyraka za serikali, hiyo ni ishu ya usalama wa taifa, au?
Otherwise, Mkulu wangu Ndimara pole sana unakumbuka tulipokutana mara ya mwisho kule DC nilikuambia kuwa inabidi uwe macho sana mkuu, na pia Mzee wa dataz Kubenea, pole sana ndugu yangu naona sasa hivi ni pilika nyingi sana, nitakutwangia tena badaye Mkulu, lakini pole sana!
Ndio maana huwa tunawaambia kina Mama Kilango wawe waangalifu! Ngoja niingie post kutafuta dataz za hii ishu!
Wakuu Heshima mbele, hapa naomba kuuliza kwanza kuna sababu zozote ambazo zimethibitishwa na reliable source as of why polisi wamewavamia hawa Mwanahalisi?
Kwa sababu kama ni Rais ndiye aliyeamuru kama inavyodaiwa na wajumbe wengi hapa, basi wangekuwa ni watu wa usalama, sio polisi kama kuna mwenye facts zaidi ya hizi ziwekwe hapa tuchambue ukweli ulipo, polisi huhusika na ishus za jinai kwa hiyo kama ni wao basi kuna jinai hapo, lakini kama ni nyraka za serikali, hiyo ni ishu ya usalama wa taifa, au?
Otherwise, Mkulu wangu Ndimara pole sana unakumbuka tulipokutana mara ya mwisho kule DC nilikuambia kuwa inabidi uwe macho sana mkuu, na pia Mzee wa dataz Kubenea, pole sana ndugu yangu naona sasa hivi ni pilika nyingi sana, nitakutwangia tena badaye Mkulu, lakini pole sana!
Ndio maana huwa tunawaambia kina Mama Kilango wawe waangalifu! Ngoja niingie post kutafuta dataz za hii ishu!