Huyu mzushi tu anajua kabisa hawezi kwenda kumkamata Dr. Siraa kwani alishawambia wampeleke mahakamani na ndo anachosubiri wafanye hila wanatumia mjama za kutaka kubenea aacha kuandika habari anazopewa na Dr. Siraa.
Kumkamata mtu ambaye hana habari kosa ila ametumika kupitishia habari ni kitu cha kushangaza na kikwete amekaa kimya tu akiona jinsi wanavyo muaribia, Dr. siraa alishasema yeye anazo anawasubiri wampeleke mahakamani wanasubiri nini kwanini wanamyamyasa kubenea.
Hii inanikumbusha USA, Iraq na North Korea, Iraq alisema hana siraha ya nyukilia na North Korea alisema yeye anazo lakini aliachwa aliyesema anazo na akapigwa aliyesema hana na mpaka leo hawajazipata lakini aliyesema anazo wamenegotite nae vizuri na kumaliza mgogoro.
kwahiyo kwa ulimwengu huu inabidi usema unacho kitu hata kama huna ili uogopwe kama wanavyomwogopa Dr. Siraa.
Kumkamata mtu ambaye hana habari kosa ila ametumika kupitishia habari ni kitu cha kushangaza na kikwete amekaa kimya tu akiona jinsi wanavyo muaribia, Dr. siraa alishasema yeye anazo anawasubiri wampeleke mahakamani wanasubiri nini kwanini wanamyamyasa kubenea.
Hii inanikumbusha USA, Iraq na North Korea, Iraq alisema hana siraha ya nyukilia na North Korea alisema yeye anazo lakini aliachwa aliyesema anazo na akapigwa aliyesema hana na mpaka leo hawajazipata lakini aliyesema anazo wamenegotite nae vizuri na kumaliza mgogoro.
kwahiyo kwa ulimwengu huu inabidi usema unacho kitu hata kama huna ili uogopwe kama wanavyomwogopa Dr. Siraa.