William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu ni mahakama ndio uliyotoa search warant, na hao waliofanya hiyo kazi wamesema wanarudisha mahakamani... huko ndiko... Kubenea and Team, wataambiwa kwa nini wamesearchiwa...
Mkuu Kasheshe,
Heshima mbele, hapa nimekusikia sasa naomba tena kukuuliza one more question, una maana kuwa haya unayosema yamefanyika je ni within sheria na katiba ya Jamhuri yetu?
Meaning mahakama kumauru wananchi wapekulwe majumbani mwao au kwenye makazi yao, kwa amri ya mahakama bila kujua sababu na kwamba sababu wataambiwa baadye huko mahakamani kwenyewe, unasema hii ni within sheria na katiba ya Jamhuri yetu?
Na hakuna kosa la kisheria lililofanyika hapa? au?