Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa gazeti la mwanahalisi limevamiwa muda huu na polisi huku wanaendelea na upekuzi ila hatujui wanataka nini .
Waliwakuta ofisini ndugu Kubenea Said na Ndimara Tegambwagwe pamoja na mlizi ndugu Mayunga.
nitawapa news zaidi.
Waliwakuta ofisini ndugu Kubenea Said na Ndimara Tegambwagwe pamoja na mlizi ndugu Mayunga.
nitawapa news zaidi.
Last edited by a moderator: