Mlioko Dar, kuna pande zuri lenye maji ya kudumu ktk mito miwili halina mwenyewe, njooni tugawane tufanye ufugaji.
Hiyo ni SACCOS na si Benki make mtaji wa kuanzisha Benk kwa sasa ni More than one Bilioni kwa mujibu wa BOT, na kuna SACCOS zinamitaji ya kuwa Benki lakini still ni SACCOS,
Na hao 50 wote ni share holders. make kama ni share holders basi wanaelekea kwenye PUBLIC COMPANY, ila ni kazi nzuri
Mi napenda sana kufuga kuku na mbuzi,ni kweli mtaji kikwazo lakini tukiunganisha nguvu tutaweza.
Yeyote naomba anishirikishe au aliye tayari tuunganishe nguvu anitumie pm kwa mawasiliano zaidi
Nipo Dar,na pia nina eneo dogo mapinga ambalo linafaa kwa ufugaji wa kukuuko mkoa/mji gani?
mmmm sounds good to me, Malila nakuaminia,
naona umeniconvince tayari kwa hapo Kidugalo maana kuna mahindi yanalimwa kumbe!
Basi tuwasiliane, nitakutumia email
Mkuu logistic ziko vipi kwa yule mwenye interest?
Ndugu nimekupata. Naomba tutafutane
Poa, nitumie tu. Kabla hujaamua kupiga kambi Kidugalo, subiri taarifa za Kidunda na Negero/Gwata.
Asante kwa info Malila ila sijakuelewa ukisema mabasi unapandia mbagala, Kidugalo iko wapi sio umesema Chalinze, hebu naomba be specific, wilaya na mkoa. Naona mwingine yuko interested hapa basi tutajipanga tukaone uko na kufikia bei....
wasiliana na Malila tukakuone huko....