Kuunganisha Nguvu kwa wenye matching aidea

Ahsante sana mie nimeongezea tu ila aliyetoa wazo hili anastahili pongezi, nimeishakaribishwa na Malila na hata kwenda kwenye baadhi ya project zake, ila mie ukulima wa mazao niseme kweli sipo huko. Lakini ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa...
Nadhani kuna haja ya kufanyia kazi haya mawazo, ninaikumbuka hiyo hoja yako, tena samahani kama tulikukatisha tamaa maana ilikuja wakati usio mzuri. Ilikuwa kuna mdau anaulizia soko la mayai, nawe ulishauri watu waingie contract na wanunuzi kabla ya kuzalisha sasa kwa wakati ule isingekuwa muafaka kwake maana mayai yatamharibikia...
Lakini nadhani twende taratibu hadi na sie wafugaji zaidi ya kupeana ujuzi pia tuweze kutengeneza network hatimaye umoja ktk kuzalisha hadi kumiliki soko.

Ya wakina Malila wako mbali, ila mimi napenda wawe mbali zaidi ya hopo ili waweze kushindana hata na External Investaors, lazima tufiikilie kwenda External zaidi,

Hata ufugaji mnao fanya lazima ufikilie kwenda mbali zaidi ya hapo, na utafika vipi hapo ni through Mikopo au kuunganisha nguvu, Imegine South Africa wanaweza kuuza kuku Tanzania wakati sisi hata Kenya hatuna Ubavu wa kuuza why this?

Ni lazima ufikie mahali unauuza kuku nchi nzima na hata nchi za jilani, je utafika vipi hapo ndo swali muhimu kuliko yote, na kweli bila kuunganisha nguvu hatuwezi fulukuta, kule kenya kuna kampuni unakuta zina kuku mpaka unaogopa, kampuni ndogo tu lakini unkuta wameunganisha mitaji na wana kuku 35,000 hadi 100,000 wakati sisi huku mtu akiwa na kuku 4000 ndo wengi sana

UTAKAUTA BAADHI YA MAENEO KUNA WAFUGAJI KUMI NA TANO MTAA MMOJA
- Huyu ana kuku 200
- Huyu ana kuku 400
- Huyu ana kuku 100
- Juyu kadhaa

Kila mtu yuko bize na hakuna aliye tiyali kuunganisha nguvu na kuja na Mradi wa pamoja, kwa hiyo idadi
 
Unaongea point mkuu inabidi tutoke nje ya box, wengi tunawaza hand to mouth business. na pia tuache ubinafsi, nina uzoefu na hili... mtaani kwetu nilianza mie kufuga, baada ya muda wakawepo wastaafu na wamama wanyumbani kama wanne hivi wanataka kufuga. Niliwaelekeza vizuri tu na wakaanza kufuga kwa mikopo mikubwa. Tatizo wote walifuga kuku wa nyama, halafu ikifikia kuuza wanakuwa na ushindani na haraka ya kuuza, hivyo wateja wakija mtaani wanawauzia bei ndogo sana mradi watoke... nikawauliza mnapata faida? kwanini tusikatae hii bei na wakija kwa mmoja tukazanie wote bei moja ili wakubali, wapi wakawa wanauza tu. waliweza kuwekeza sio zaidi ya mwaka mitaji ilikufa, pili si unajua kinamama... waliochangia mabanda wakagombana ili mradi wameacha wote... hii ni faida ya kutoungana. Sasa hivi ninaanza network ya wengine taratibu, tayari mmoja ametukaribisha kununua chakula kwake kwa mkataba au hata mkopo. Ila mie nataka kwenda mbali zaidi ninunue nafaka na nisage ndio faida zaidi, pia nipate soko zuri kwa kuunganisha na wafugaji wengine, ninapata ofa mara nyingi kuwa lete hotel hii au ile kwa tenda ila kiasi nifugacho kwa sasa na hata nifanyeje kwa peke yangu hakitaweza kumiliki hayo masoko. Tusiishie kulalamika Kenya wanapoleta fuso za mayai, tuungane jamani!
 
Watanzania tunapenda sana kuonekana kwamba tunafanya biashara, wabongo kila mtu anataka afanye biashara yeye mwenyewe, wacha wachina waje na wakenya wafanye make sisi si fani yetu kabisa
 
For anyone interested in Joint venture forces ......

mimi nina eneo lipo dar ambapo tayari kuna Factory building iliyo tayari .... inafaa kabisa kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti au karanga ..... factory building ina floor area ya 98sqm ....

any experienced in this field or fresh to start can contact
 
For anyone interested in Joint venture forces ......

mimi nina eneo lipo dar ambapo tayari kuna Factory building iliyo tayari .... inafaa kabisa kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti au karanga ..... factory building ina floor area ya 98sqm ....

any experienced in this field or fresh to start can contact

Ndo vitu kama hivi vinatakiwa, mkuu vizuri sana ni imani yangu kwamba watajitokza wadau humu,
 
Am interested though no experience in this....
do you know the total cost involved to start production? when are you ready to start, plse pm if you can.

For anyone interested in Joint venture forces ......

mimi nina eneo lipo dar ambapo tayari kuna Factory building iliyo tayari .... inafaa kabisa kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti au karanga ..... factory building ina floor area ya 98sqm ....

any experienced in this field or fresh to start can contact
 
safi sana komandoo, MamaEE, Mama Joe na LAT. Mimi interest yangu ipo kwenye kilimo na ufugaji wa kisasa. Ktk swala la ufugaji malengo yangu ni kuja kuwa na ranch kubwa ya wanyama, nimepanga kufuga ng'ombe bora wa maziwa na nyama, kiti, kuku, mbuzi, sungura, bata, kanga etc. Kwasasa naendelea na kilimo na ufugaji wa kisasa japo sina wanyama wengi.

Kuhusu maswala ya ufugaji na kilimo nimezaliwa kwenye familia mix kilimo/ufugaji, nimeanza kuchunga ndama nikiwa na miaka 7. Kilimo nadhani sisi ni wale watoto ambao tulikuwa tukilazwa chini ya kivuli cha mkungugu huku mama akiendelea kulima umbali wa mita 100 toka nilipolazwa.

Back to topic, Sasa hivi nipo kwenye research zaidi that is nafuga aina tofauti za ng'ombe wa maziwa, kiti & poultry. Muda si mrefu nitaanza kufuga ng'ombe wa kisasa wa nyama (best breeds), by 2015/16 nitakuwa nimepata majibu ya jinsi game linavyokwenda kisasa & confidence ya kipi bora cha kufuga, same technique applies to crop, horticulture & fruit production.

After practical research findings kitakachofuata ni kuungana na serious person/people ili kuendeleza game. Safari moja huanzisha nyingine: Ili kwenda kisasa na kupata faida kubwa itahitajika kuwa na high quality packaging of our products, continual supply, best sales & marketing management.. mambo haya yote huwezi kufanya peke yako hata siku moja no matter how much millions you have. Production ikiwa kubwa tunaweza kuleta ushindani sokoni na kumaximize profit kwa kuuza bidhaa zenye ubora kwa bei ya chini ambayo wafugaji/wakulima wadogo hawataweza kuuza kwa bei zetu (itakuwa ni bei ya hasara kwao)
 
Na mimi naungana na mtoa mada kwa asilimia 100%. Kwa kweli fursa za masoko tulizonayo, ni vigumu sana kuwa competitive kwa individual efforts. Njia pekee kukabiliana na hili nikuunganisha mitaji na kuanzisha kampuni zenye muelekeo mmoja.
LET US WALK THE TALK INSTEAD OF UTTERING EMPTY WORDS.
 
Now thats the spirit. Hiki kitu nimekisubiri muda mrefu Tanzania sikioni... Anyone interested kujoin force timu watu kama kumi wenye uwezo wa programming kuna idea ya kutengeneza software ya smartphones Android pamoja na iOS na kuziweka kwenye market.. Hii software iKiwa vile navoiimagine bac itauza kinoma.. Anyone expert in this field anakaribishwa.. Ten or less people needed..
Tukikaa kila mtu bongo anataka kuwrite programs kivyake ndo maana zinatoka na low quality.. Hakuna software kali iliyoandikwa na mtu moja, Instagram yenyewe imechukua many ppo, we una ndoto za kuwrite software ka Adobe Photoshop mwenyewe huku walikaa watu ka mia wakaumiza vichwa... Tanzania ni muda wa kuamka sa hvi.. Two is better than one ili mradi mnaaminiama na heshima iwepo, ndo maana wengi wapo wana ideas kibao ila wapo mtaani tu, when they do something hakionekani coz kasoro nyingi
 
Ni kweli hii spirit inatia moyo, ila kwa vitu technical kama hii yako, nakushauri uiweke kwenye jukwa la technology pia, maana wengi wao huwa hawaji sana jukwaa la biashara. Ni ushauri wangu tu.

Now thats the spirit. Hiki kitu nimekisubiri muda mrefu Tanzania sikioni... Anyone interested kujoin force timu watu kama kumi wenye uwezo wa programming kuna idea ya kutengeneza software ya smartphones Android pamoja na iOS na kuziweka kwenye market.. Hii software iKiwa vile navoiimagine bac itauza kinoma.. Anyone expert in this field anakaribishwa.. Ten or less people needed..
Tukikaa kila mtu bongo anataka kuwrite programs kivyake ndo maana zinatoka na low quality.. Hakuna software kali iliyoandikwa na mtu moja, Instagram yenyewe imechukua many ppo, we una ndoto za kuwrite software ka Adobe Photoshop mwenyewe huku walikaa watu ka mia wakaumiza vichwa... Tanzania ni muda wa kuamka sa hvi.. Two is better than one ili mradi mnaaminiama na heshima iwepo, ndo maana wengi wapo wana ideas kibao ila wapo mtaani tu, when they do something hakionekani coz kasoro nyingi
 
Asante Narubongo
naona umezaliwa na kilimo kwenye damu yako kabisa....
hongera maana siye wengine tunajifunza kwenu...
Naona bado uko research stage kama unavyosema ila ukianza project na kuwa na uhakika mkoa upi utaiweka wadau tutajitokeza tu... mimi nimeishaamua ni kuku...., nikitanuka ni kuingia kuku wa kienyeji....
Kikubwa tuanze taratibu kutengeneza network ya nani anafuga hiki na yuko wapi, then itakuwa rahisi kuunga soko kisha mitaji na kufungua kampuni
Kila la heri
safi sana komandoo, MamaEE, Mama Joe na LAT. Mimi interest yangu ipo kwenye kilimo na ufugaji wa kisasa. Ktk swala la ufugaji malengo yangu ni kuja kuwa na ranch kubwa ya wanyama, nimepanga kufuga ng'ombe bora wa maziwa na nyama, kiti, kuku, mbuzi, sungura, bata, kanga etc. Kwasasa naendelea na kilimo na ufugaji wa kisasa japo sina wanyama wengi.

Kuhusu maswala ya ufugaji na kilimo nimezaliwa kwenye familia mix kilimo/ufugaji, nimeanza kuchunga ndama nikiwa na miaka 7. Kilimo nadhani sisi ni wale watoto ambao tulikuwa tukilazwa chini ya kivuli cha mkungugu huku mama akiendelea kulima umbali wa mita 100 toka nilipolazwa.

Back to topic, Sasa hivi nipo kwenye research zaidi that is nafuga aina tofauti za ng'ombe wa maziwa, kiti & poultry. Muda si mrefu nitaanza kufuga ng'ombe wa kisasa wa nyama (best breeds), by 2015/16 nitakuwa nimepata majibu ya jinsi game linavyokwenda kisasa & confidence ya kipi bora cha kufuga, same technique applies to crop, horticulture & fruit production.

After practical research findings kitakachofuata ni kuungana na serious person/people ili kuendeleza game. Safari moja huanzisha nyingine: Ili kwenda kisasa na kupata faida kubwa itahitajika kuwa na high quality packaging of our products, continual supply, best sales & marketing management.. mambo haya yote huwezi kufanya peke yako hata siku moja no matter how much millions you have. Production ikiwa kubwa tunaweza kuleta ushindani sokoni na kumaximize profit kwa kuuza bidhaa zenye ubora kwa bei ya chini ambayo wafugaji/wakulima wadogo hawataweza kuuza kwa bei zetu (itakuwa ni bei ya hasara kwao)
 
safi sana komandoo, MamaEE, Mama Joe na LAT. Mimi interest yangu ipo kwenye kilimo na ufugaji wa kisasa. Ktk swala la ufugaji malengo yangu ni kuja kuwa na ranch kubwa ya wanyama, nimepanga kufuga ng'ombe bora wa maziwa na nyama, kiti, kuku, mbuzi, sungura, bata, kanga etc. Kwasasa naendelea na kilimo na ufugaji wa kisasa japo sina wanyama wengi.

Kuhusu maswala ya ufugaji na kilimo nimezaliwa kwenye familia mix kilimo/ufugaji, nimeanza kuchunga ndama nikiwa na miaka 7. Kilimo nadhani sisi ni wale watoto ambao tulikuwa tukilazwa chini ya kivuli cha mkungugu huku mama akiendelea kulima umbali wa mita 100 toka nilipolazwa.

Back to topic, Sasa hivi nipo kwenye research zaidi that is nafuga aina tofauti za ng'ombe wa maziwa, kiti & poultry. Muda si mrefu nitaanza kufuga ng'ombe wa kisasa wa nyama (best breeds), by 2015/16 nitakuwa nimepata majibu ya jinsi game linavyokwenda kisasa & confidence ya kipi bora cha kufuga, same technique applies to crop, horticulture & fruit production.

After practical research findings kitakachofuata ni kuungana na serious person/people ili kuendeleza game. Safari moja huanzisha nyingine: Ili kwenda kisasa na kupata faida kubwa itahitajika kuwa na high quality packaging of our products, continual supply, best sales & marketing management.. mambo haya yote huwezi kufanya peke yako hata siku moja no matter how much millions you have. Production ikiwa kubwa tunaweza kuleta ushindani sokoni na kumaximize profit kwa kuuza bidhaa zenye ubora kwa bei ya chini ambayo wafugaji/wakulima wadogo hawataweza kuuza kwa bei zetu (itakuwa ni bei ya hasara kwao)

Halafu mimi najenga kiwanda cha kusindika maziwa ya ng`ombe wako teheeeeeeeeee.

Mkuu, nimepanga mwaka huu kutembelea maeneo mapya ili nipate pande la kufa mtu la kufugia wanyama, ni lazima niwe settler au nibobee ktk kilimo. Tukianzisha zone moja kubwa ya kufugia wadau wachache tunaomaanisha lazima kieleweke. Nikupongeze kwa kuanza pilot yako.Siku ukitaka kuanza sungura niambie nikuunganishe na mjuba mmoja anayefuga sungura kibiashara.
 
Asante Narubongo
naona umezaliwa na kilimo kwenye damu yako kabisa....
hongera maana siye wengine tunajifunza kwenu...
Naona bado uko research stage kama unavyosema ila ukianza project na kuwa na uhakika mkoa upi utaiweka wadau tutajitokeza tu... mimi nimeishaamua ni kuku...., nikitanuka ni kuingia kuku wa kienyeji....
Kikubwa tuanze taratibu kutengeneza network ya nani anafuga hiki na yuko wapi, then itakuwa rahisi kuunga soko kisha mitaji na kufungua kampuni
Kila la heri

sasa hivi shughuli zinaendelea na zinaingiza mapato mazuri sana, vimilioni havikosekani kwa kweli! Kuhusu research ni kutokana na uzoefu wangu wa mifugo, ngoja nikupe nilichojifunza

- unaweza kununua ng'ombe wa maziwa mwenye mimba (hajawahi kuzaa) kutoka ranch bora kabisa ya wanyama, huko utapewa sifa zake zote mfano aina yake anatoa lita 22 asubuhi na 15-18 jioni, jumla lita 40 kwa siku. Unamfuga kisasa kabisa pamoja na kufuata masharti yote.. baada ya miezi 2 anazaa akiwa na afya nzuri lakini maziwa anakupa lita 5 tu kwa mkamuo mmoja i.e jumla lita 10 kwa siku.

- ng'ombe wa nyama, unamnunua ng'ombe bora kabisa kutoka mashamba ya mifugo, unapewa sifa zake na kuambiwa ukimuhasi anakua haraka & within 1 year anafikia kg 600-900. Unamfuga kisasa lakini ktk huo mwaka mmoja waliokwambia unakuta bado ni kandama kabisa tena kana uzito wa kg 80!
Haya maswala nimeshakutana nayo sana.. na si mimi tu ni zaidi ya 70%

- kuhusu networking ni wazo zuri sana c'se faida ya wanyama inategemea na eneo unalowafugia. Mfano ng'ombe wa kisasa kumfuga dar itakubidi ununue majani, pumba, mashudu kwa bei kubwa lakini nje ya mji huwezi kununua majani.. kiti nae faida yake inategemea sana na eneo utalomfugia.. akiwa dar pumba, damu bei ipo juu sana lkn mavyakula ya mahotelini ni mengi. Tumfuge wapi? well, mfuge karibu na shule au vyuo vya bweni.
Kuku nao pia wanaingia humu maana kwa dar hawataruhusu ufugaji mkubwa miaka michache ijayo.. na wewe malengo yako ni kutanua zaidi mradi wako. Haya ni mambo ya kujiandaa mapema
 
Halafu mimi najenga kiwanda cha kusindika maziwa ya ng`ombe wako teheeeeeeeeee.

Mkuu, nimepanga mwaka huu kutembelea maeneo mapya ili nipate pande la kufa mtu la kufugia wanyama, ni lazima niwe settler au nibobee ktk kilimo. Tukianzisha zone moja kubwa ya kufugia wadau wachache tunaomaanisha lazima kieleweke. Nikupongeze kwa kuanza pilot yako.Siku ukitaka kuanza sungura niambie nikuunganishe na mjuba mmoja anayefuga sungura kibiashara.

sawa kabisa, muwekezaji si lazima awe mzungu.. sisi ndio wawekezaji wazawa bana.. Sasa hivi mambo yamenibana sana kwa miezi hii 6 lkn kuna source yangu moja itanibidi nionane nayo face to face mwaka huu ili inieleze ni jinsi gani mtu wa nje anakuja na milioni 200 halafu anapewa hekari 1000. Tuombe mungu tunaweza kupata jibu zuri la kitendawili hiki. Sungura nitakutafuta muda ukifika
 
sawa kabisa, muwekezaji si lazima awe mzungu.. sisi ndio wawekezaji wazawa bana.. Sasa hivi mambo yamenibana sana kwa miezi hii 6 lkn kuna source yangu moja itanibidi nionane nayo face to face mwaka huu ili inieleze ni jinsi gani mtu wa nje anakuja na milioni 200 halafu anapewa hekari 1000. Tuombe mungu tunaweza kupata jibu zuri la kitendawili hiki. Sungura nitakutafuta muda ukifika

Kwa nini ununue eneo wakati kuna mapande ya kujikatia bure kabisa,nguvu yako tu.
 
Back
Top Bottom