Kuunganisha Nguvu kwa wenye matching aidea

Dah mkui hii thread nisha isahau kabisa, shukurani kwa kuileta, ni kweli mkuu kuunganisha nguvu kwa huku ni ishu ngumu sana na kila mtu anaona afe kivyake.

nguvu ya pamoja ni suluhisho. Kama tunashindwa kuwa pamoja, japo tuweke "common goal" kisha lipigwe gombania goli, kwa mtindo wa win-win. Hii inamaanisha kwa mfano kushare info, au networking baina ya mtoa pembejeo, mzalishaji, mwongeza thamani na mchuuzi wa jumla. Hapo tutashinda.
 
Dah mkui hii thread nisha isahau kabisa, shukurani kwa kuileta, ni kweli mkuu kuunganisha nguvu kwa huku ni ishu ngumu sana na kila mtu anaona afe kivyake.

Mkuu huu uzi umetulia sana kwa watu wenye malengo ya kutaka kupiga hatua hawawezi kupinga ulicho kiandika kwenye hii thread tatizo la uwoga ni mtaji mkubwa wa umaskini kuachive ukiwa alone inakua ngumu sana na sio rahisi that is why unakuta mtu anaanzisha biashara baada ya mda chaliii...tukubali waungwana kuunganisha nguvu mi naamini kabisa tutatoboa tu...."together we can"
 
Mkuu huu uzi umetulia sana kwa watu wenye malengo ya kutaka kupiga hatua hawawezi kupinga ulicho kiandika kwenye hii thread tatizo la uwoga ni mtaji mkubwa wa umaskini kuachive ukiwa alone inakua ngumu sana na sio rahisi that is why unakuta mtu anaanzisha biashara baada ya mda chaliii...tukubali waungwana kuunganisha nguvu mi naamini kabisa tutatoboa tu...."together we can"

Mkuu Kuunganisha Nguvu kwa Bongo ni ishu ngumu sana, Huo utamaduni uko kwa wengine, huku kila mtu anataka aonekane yeye kama yeye, ingawa ukweli unabakia kwamba ni vigumu kuweza kucompete na makampuni makubwa hasa yenye mitaji mikubwa kabisa hasa ya nje ya nchi..

Nguvu ndo suluhisho la mitaji midogo ila tatizo utamaduni, Chukulia mfano Mabasi yaendayo kasi huu muradi tangu unaimbwa hadi leo hii Watanzania wenye Daladala wangekuwa wameisha jipanga kushindana kibiashara na hayo Mabasi ila nina uhakika hakuna hata mmoja wemye wazo hilo matokeo yake kila mtu anaongeza basi lake kila mtu,

Hatutaweza shindana na Makaburu au hata baadhi ya kampuni za Kenya zenye mitaji mikubwa Mfano hawa jamaa wa NAKUMAT jamaa wana mtandao mkubwa sana na kwa hivi vi mini supermarket ambavyo kila mtu anafungua huwezi hata siku moja,

ILA BADO TUNAWEZA STRIGLE KUUNGANISHA MITAJI KWA WALE WANAO JUANA VIZURI NA WENYE WAZO MOJA.
 
KWA WAFANYABIASHARA YA BAA
Naam ndugu ninataka kushirikiana na mtu ambaye anapenda kufanya biashara ya baa eneo lipo Dar essalaam ilala barabara ya kawawa linavutia sana kwa kufanya biashara hiyo ambapo sisi wenye eneo tunafanya biashara ya mgahawa kwa mda mrefu tangu mwaka 2000 mpaka sasa .Mimi nataka kufungua biashara ya internet café na stationary ila umeme ndo hakuna .Kuna jamaa alilipa pesa ya umeme ila alishindwa kugharamia gharama za kuweka luku na kuvuta umeme hivyo kama unapenda njoo tushirikiane sisi tunakuachia biashara ya baa ila ya chakula unatuachia sisi kwani sitakudai kodi ila utagharamia gharama za kuweka luku alafu wote tunakuwa tunachangia kulipa bili ya umeme itakapokuwa inakwisha.Eneo lipo kibiashara zaidi kwani lipo barabarani na kuna tax zinapaki masaa 24 pia kuna mtu ameweka pooltable mbili anachezesha kuanzia asubuhi mpaka saa 5 usiku na mng'arisha viatu yupo pamoja na waosha magari na eneo kubwa la parking lipo .
Kwa taarifa zaidi tuwasiliane kwa kunitumia meseji kupitia namba hizi(usipige)=0719879608
 
Mkuu Malila wengine bado 2nasubiri Info za KIDUGALO! Binafsi nataka kujua khs Nguvu kz! TRECTOR zinapatikana?
 
Hiyo ni SACCOS na si Benki make mtaji wa kuanzisha Benk kwa sasa ni More than one Bilioni kwa mujibu wa BOT, na kuna SACCOS zinamitaji ya kuwa Benki lakini still ni SACCOS,
Na hao 50 wote ni share holders. make kama ni share holders basi wanaelekea kwenye PUBLIC COMPANY, ila ni kazi nzuri

Kuanzisha benki sio chini ya 5B na kila siku inaongezeka waki review , siajabu mwakani itakuwa 10B
 
Back
Top Bottom