TV JAMII: Mbunge Rweikiza Aliwaza Nini kwenye hili?

KwetuKwanza

Member
Mar 13, 2023
34
82
IMG_20231223_180431.jpg
Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amfunga Scree yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi ukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza Maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake?? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake??? Huyu Mbunge aliwaza Nini??? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini??? Wananchi walimuomba??? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao??? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiamgalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
 
IMG_20231223_180431.jpg
Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amefunga Screen yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi hukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake? Huyu Mbunge aliwaza Nini? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini? Wananchi walimuomba? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiangalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
 
Siasa MTU huwa anawalenga watu Wa chini commoners na hao ndo huwa ndo huwa wanaudhuria mikutano ya siasa , na muda mwingi ni watu ambao hawajui wanahitaji nini katika hii dunia na hao ndo mtaji wa wanasiasa.


Hivyo usitegemee MTU makini ambaye yupo civilized na financial stable ukamkuta katika maeneo ya kama hayo .


Hivyo ushauri tu , ikiwa unahitaji kusonga mbele kuwa sehemu ya kuongoza Ila usiwe sehemu ya kuongozwa.
 
View attachment 2852975Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amfunga Scree yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi ukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza Maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake?? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake??? Huyu Mbunge aliwaza Nini??? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini??? Wananchi walimuomba??? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao??? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiamgalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
Wabunge wa Mkoa wa Kagera wana matatizo. Hata Ndaisaba mbunge wa jimbo la Ngara anagawa tv kwenye vijiwe kule Ngara
 
View attachment 2852975Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amfunga Scree yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi ukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza Maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake?? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake??? Huyu Mbunge aliwaza Nini??? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini??? Wananchi walimuomba??? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao??? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiamgalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
Kwa hili unamuonea bure tu huyo mbunge, binafsi sijaona kosa lake.
Mimi huwa ninapingana na CCM na huyo mbunge ni miongoni mwa watu wa ovyo kabisa lakini katika hilo la kuwaekea vituo vya bure vya TV sina sababu yoyote ya kumkosoa, hana kosa wala hatia. Kwanini?

Kazi ya mbunge ni kuwatetea wananchi wake bungeni na kuhimiza maendeleo ya watu wake, mengine ni mbwembwe tu na kujipendekeza.

Mbunge hawajibiki popote kuwajengea wananchi wake barabara wala Hospitali, hawajibiki kuwakopesha wananchi wake, kazi ya mbunge ni kuongea tu, kufuatilia, kushinikiza na kushauri kwa niaba ya wananchi wake.

Kwa haraka haraka, nadhani kujenga kituo kimoja cha Tv ya jamii huenda hakizidi milioni mbili, na gharama ya kukiendesha kwa mwaka huenda isizidi shilingi milioni moja. Hivyo kwa haraka haraka, kila kitu kimoja kitagharimu wastani wa shilingi 2milioni kuanzisha+1milioni kukiendesha, kwa miaka mitano jumla ni milioni 7, na kama vituo viko vitatu hiyo ni shilingi shilingi milioni 21. Huyo mbunge kaona bora kugawana pesa zake za wananchi wake kupitia matangazo ya Tv ya bure, na wananchi wa chini na wasio na kipato watapata burudani na kujiliwaza kwenye luninga kuliko kukesha vilabuni kuomba omba pombe nk. Kama mtu anaona hakimuhusu basi awaachie wenye kuhitaji.
 
Mbunge yupo smart sana kwenye hilo na binadamu huwa hawana shukurani
Umesema watu huwa wanaenda kuangalia nilitegemea usema hakuna anaye kwenda kuangalia
Mbona dar es salaam kuna vibanda umiza kibao kwani watu hawana tv makwao?
Suala la mikopo na huduma za afya ni jambo linalohitaji pesa nyingi pia
Lakini bado nafasi ya kufanya hayo ipo na bado hamtoridhika akiyafanya
 
View attachment 2852975Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amfunga Scree yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi ukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza Maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake?? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake??? Huyu Mbunge aliwaza Nini??? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini??? Wananchi walimuomba??? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao??? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiamgalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
Mbunge mpumbavu
 
View attachment 2852975Ukifika Mkoani Kagera, Jimbo la Bukoba Vijijini ambalo lipo chini ya Mbunge Jasson Rweikiza (CCM) utakuta TV (Screen na Vingamuzi vya DSTV na Azam tv) Vimefungwa kwenye mikusanyiko ya watu.

Mbunge huyo amefunga TV hizi na Vingamuzi hivi kila eneo ambalo lina mkusanyiko wa watu kwenye Jimbo lake, na taarifa nilizopewa na wenyeji ni kuwa Mbunge huyu kila mwezi analipia vifurushi pamoja na umeme.

Kila eneo Amfunga Scree yenye ukubwa wa Nch. 70 kama sikosei, (Sina uhakika sana kweye hili, lkn niliona eneo Moja pale Kemondo ni screen kubwa kweli.

Watu wamekuwa wakikusanyika kwenye Tv hizo kuangalia michezo mbalimbali hasa ya mpira, Ligi kuu na Ligi za Ulaya, lkn pia hata taarifa za Habari na wanaangalia bure maana zimewekwa katika eneo la wazi.

Kwa siku ambazo zimefanikiwa kukaa Bukoba na kushuhudia huduma hii, watu wamekuwa wakijitokeza kwa kiasi Fulani kuangalia, hasa wakati wa mpira wengi ukusanyika na kuangalia.

Nilijiuliza Maswali kadhaa, Je hili lilikuwa hitaji la wananchi wa jimbo lake?? Je ni Moja ya ilani kwenye Chama chake??? Huyu Mbunge aliwaza Nini??? Ilikuwa Moja ya ahadi yake wakati wa Kampeini??? Wananchi walimuomba??? Aliona wananchi wa Bukoba au kwenye jimbo lake hawana TV majumbani kwao??? Nini alikilenga.

Baadhi ya wananchi ambao niliongea nao, wanasema hawakuwahi kumuomba huduma hiyo kwenye maeneo yao, na wala siyo hitaji lao kwenye maeneo yao, lakini wanasema aliamua yeye mwenyewe na wasema tv hizo zilifungwa kwa sherehe kubwa.

Wengine wanasema ni kama wamedharauliwa sana na Mbunge huyo, " Ametuona sisi kama maskini sana, yaani hatuna tv majumbani kwetu, hatujawahi kuomba hii huduma, hatujui alituwazia nini, ni kama alitudharau watu wa Bukoba.

Nilienda mbali zaidi kuangalia hali ya huduma za kijamii kwenye hayo maeneo ambako amefunga tv hizo na maeneo mengine ambayo hajafunga.

Ni Kama inachekesha lakini inaumiza, unawaza huyu Mbunge aliwaza hitaji la wananchi wake, au anatafuta Nini? Mbunge kabisa unaona eneo Fulani hakuna Barabara, na kazi ipo haipitiki, hakuna zahanati, hakuna maji, akina mama hawana mitaji, vijana hawana mitaji, alafu unakwenda kufunga tv.

Maeneo ambayo amefunga huduma hizo, hakuna huduma Muhimu za kijamii, utakuta sehemu nyingine Barabara hazipitiki, hawana maji, hawana huduma ya Afya, hawana huduma za mawasiliano, wanawake wanalia kupata mitaji na vijana pia.

"Ukiamgalia pesa alizotumia kufunga hizi huduma na anazotumia kulipia umeme na vifurushi, angeliweza kabisa kutupatia mikopo sisi wanawake tukaendeleza biashara zetu hizi ndogo, sisi wanawake tunaangaika sana kupata mitaji, Leo Mbunge unasikia kafunga tv na analipa vifurushi kila mwezi na umeme.

Nilichogundua huyu Mbunge hakuwaza kabisa Maendeleo ya watu, bali aliwaza yeye mwenyewe maisha yake, na inawezekana baadaye akaja kuomba kura kupitia huduma hii.

Unaweza vipi tv, kulipa Vingamuzi kila mwezi na umeme, wakati mama mjamzito anatembea kilometa 20, kufuata huduma ya Afya, mtoto anatembea kilometa 20 kufuata Shule, Vijana, wanawake wako mtaani hawana mitaji????

Nimeweka hapa hii Hoja, Je huyu Mbunge aliwaza Nini kuweka hii huduma kwa wananchi wake?????????
Rimoti anakaa nayo nani?
 
Wewe ni mpuuzi tu, kwahiyo unadhani Bk wote ni hao uliowahoji tu?. Mbunge kujitolea watu wapata habaru na burudani ya mpira ni kosa?, Lini Nchi hii kazi ya mbunge nikutoa mikopo au kuleta maendeleo kwa wananchi wake?. Serikali imeshindwa kutengeneza unafuu wa kila raia kumiliki tv nyumbani kwake, mbunge kaamua kuwasaidia wananchi wake afu unakuja na hoja za kipuuzi.
Mwenye wajibu wakutoa mikopo, kuboresha maisha ya raia ni serikali Wala sio kazi ya mbunge.
 
Wewe uliywshindwa hata kumuwekea mama yako kitv Cha 30k unawezaje kulingana naye?, Serikali inayoshindwa kutoa huduma hata ya Panadol 5 kwa raia unawezaje kuwa sawa na yeye. Hopeless.
Sasa tv ya 30k ni Tv? Washamba nyie ndo mnawekewa TV mnaona ni jambo la maana. Wenye akili wangesema anunue dawa hizo panadol akatoe msaada hospital au zahanati. Anaenda wanunua TV nanyi kwa ushamba wenu mnaona TV ndo hitaji lenu kubwa? Kweli wanasiasa hufaidika na upumbavu wa wapiga kura
 
Back
Top Bottom