Kama una mtaji angalau milioni 2 njoo tupambane na ufundi simu na electronic na kuuza accessories mbalimbali

Mr simple M

JF-Expert Member
Sep 18, 2020
2,071
4,294
Heshima kwenu wakuu,

Mimi kijana mwenye umri wa miaka 24, ni fundi simu mzoefu kwa zaidi ya miaka miwili, nina uwezo mzuri wa kutengeneza simu aina zote kwa software na hardware.

Nahitaji mtu mwenye mtaji tupambane kwenye hii tasnia ya ufundi simu na uuzaji wa phone accessories mchongo unaolipa kweli kweli mpaka faida ya mpaka aslimia 60 ni kawaida sana wakuu kama kuna mtu anaweza kuwekeza mtaji tukafungua ofisi tukawa tunagawana percentage huku akijifunza ufundi pia itakua poa sana.

Au kwa wale wenye mitaji wako bize tunaweza ongea pia tukapiga pesa

Faida za kuwekeza kwenye mchongo huu

1. Faida kubwa mpaka mara mbili ya mtaji

2. Ngumu kufiliska kwani tunapiga pes a za ufundi pia

3. Rahisi kusimamia ata Kama uko bize

4. Utajifunza ufundi mbalimbali wa electronics kupitia Mimi

lazima utawaza kuhusu usalama wa pesa yako kwa huyu kijana usie mjua tena katika zama hizi za utapeli usijari kunao utaratibu mzuri tutaweka

Usiwe na hofu sana taking risk is inevitable
Even life itself it's a risk

Lakin watu wema na waaminifu bado wapo

Karibu Sana PM kwa walio serious na interested kwenye biashara hii isiyo na stress.
 
Safi sana, ingekuw sijabanwa na shughul zangu tungejoin force maan nipo certified na TCRA nafkir kama ww ni fundi simu mzoefu unaelewa ile process ya kuwa certified unatakiw upitie wapi na wapi.

Hiyo kazi ni nzuri sana na ni pana pia.

Je ww umebase ktk pande ipi?

Mtaalam wa Vioo?
Mtaalam wa Software
Mtaalam wa Hardware (unaweza choma circuit vzr?) Maswala ya cold and hot test yanapanda vzr?

Nilikuwa na suggest pia uweke strength zako ili yule fundi utakayejoin force nae aone pia yeye atafit wapi..

Mfano ww unaeza kuwa mbobezi wa Software then mwenzio akawa mtaalam wa Hardware na Vioo (nafkir nikisema utaalam wa vioo unanielewa kama fundi).

Hapo mkiwa wataalam wabobez ktk sehem tofauti mtapiga mwingi sana sana.....
 
Hakuna kitu Kibaya kwenye biashara kama kuwekeza kwenye biashara ambayo huijui, yaani unategemea mtubaki akuendeshee ofisi
Watanzania wengi ndipo tunapofeli hapo kushindwa kuwaamini wengine kutuendeshiwa biashara, hebu wacheki kina Mo, Bakhresa, Gsm, wamewekeza viwanda, mashamba, makampuni kibao hawana hata idea ya kinachofanyika.

Edit: ila umeandika point, biashara ambayo huijui ukitaka kuwekeza basi inabidi kuwe na watu maalum wa kuisimamia wanaojua wanachokifanya, hizi biashara ndogo ndogo zinazohitaji uwepo wako ni muhimu uijue biashara, uwe na ujuzi wa kinachofanyika
 
Kwa karne kushare biashara kuna ugumu utakutan nao mbelen
Nilitakag kufany hv kipind fulani japo nilikuw ba mtaji wangu but baadae baada ya kuanza mwenyew hiyo bsness ndo nikafaham kwann mungu alizuia ile patnershp
So point ni komaa usimame ww km ww
 
Safi sana, ingekuw sijabanwa na shughul zangu tungejoin force maan nipo certified na TCRA nafkir kama ww ni fundi simu mzoefu unaelewa ile process ya kuwa certified unatakiw upitie wapi na wapi.

Hiyo kazi ni nzuri sana na ni pana pia.

Je ww umebase ktk pande ipi?

Mtaalam wa Vioo?
Mtaalam wa Software
Mtaalam wa Hardware (unaweza choma circuit vzr?) Maswala ya cold and hot test yanapanda vzr?

Nilikuwa na suggest pia uweke strength zako ili yule fundi utakayejoin force nae aone pia yeye atafit wapi..

Mfano ww unaeza kuwa mbobezi wa Software then mwenzio akawa mtaalam wa Hardware na Vioo (nafkir nikisema utaalam wa vioo unanielewa kama fundi).

Hapo mkiwa wataalam wabobez ktk sehem tofauti mtapiga mwingi sana sana.....
Point.
 
Heshima kwenu wakuu, mimi kijana mwenye umri wa miaka 24, ni fundi simu mzoefu kwa zaidi ya miaka miwili, nina uwezo mzuri wa kutengeneza simu aina zote kwa software na hardware.

Nahitaji mtu mwenye mtaji tupambane kwenye hii tasnia ya ufundi simu na uuzaji wa phone accessories mchongo unaolipa kweli kweli mpaka faida ya mpaka aslimia 60 ni kawaida sana wakuu kama kuna mtu anaweza kuwekeza mtaji tukafungua ofisi tukawa tunagawana percentage huku akijifunza ufundi pia itakua poa Sana

Au kwa wale wenye mitaji wako bize tunaweza ongea pia tukapiga pesa

Faida za kuwekeza kwenye mchongo huu

1.faida kubwa mpaka mara mbili ya mtaji

2.ngumu kufiliska kwani tunapiga pes a za ufundi pia

3.rahisi kusimamia ata Kama uko bize

4. Utajifunza ufundi mbalimbali wa electronics kupitia Mimi

Karibu Sana PM kwa walio serious na interested kwenye biashara hii isiyo na stress .
Hongera Sana Kwa kutoa dili Kwa wengine... Nakutakia mafanikio mema
 
Kijana, ungeelezea zaidi location ya biashara, una uzoefu nayo vipi biashara, mrejesho kwa siku makadirio n.k
Kuhusu location tunaweza research iliyo karibu nawe ili kupata urahisi

Uzoefu ni miaka miwili Kama fundi na kuuza accessories

Mauzo mara nyingi hutegemea na location ila
Kwa uzoefu ilikua ni Kati ya elfu 80 mpaka 150k kwa siku zingatia hapo faida ni almost asilimia 50% ya mauzo

Na mtaji ulikua wa kichovu tu
 
Safi sana, ingekuw sijabanwa na shughul zangu tungejoin force maan nipo certified na TCRA nafkir kama ww ni fundi simu mzoefu unaelewa ile process ya kuwa certified unatakiw upitie wapi na wapi.

Hiyo kazi ni nzuri sana na ni pana pia.

Je ww umebase ktk pande ipi?

Mtaalam wa Vioo?
Mtaalam wa Software
Mtaalam wa Hardware (unaweza choma circuit vzr?) Maswala ya cold and hot test yanapanda vzr?

Nilikuwa na suggest pia uweke strength zako ili yule fundi utakayejoin force nae aone pia yeye atafit wapi..

Mfano ww unaeza kuwa mbobezi wa Software then mwenzio akawa mtaalam wa Hardware na Vioo (nafkir nikisema utaalam wa vioo unanielewa kama fundi).

Hapo mkiwa wataalam wabobez ktk sehem tofauti mtapiga mwingi sana sana.....
Nimeeleza tayari kwenye uzi ila kwa kukazia
naweza deal na software, hardware na hivyo vioo Niko vizuri

Ila ni mbaya zaidi kwenye hardware.
 
Watanzania wengi ndipo tunapofeli hapo kushindwa kuwaamini wengine kutuendeshiwa biashara, hebu wacheki kina Mo, Bakhresa, Gsm, wamewekeza viwanda, mashamba, makampuni kibao hawana hata idea ya kinachofanyika.

Edit: ila umeandika point, biashara ambayo huijui ukitaka kuwekeza basi inabidi kuwe na watu maalum wa kuisimamia wanaojua wanachokifanya, hizi biashara ndogo ndogo zinazohitaji uwepo wako ni muhimu uijue biashara, uwe na ujuzi wa kinachofanyika
Sahihi kabisa suala ni umakini tu na taarifa sahihi

Watu hawakwepeki
 
Kwa karne kushare biashara kuna ugumu utakutan nao mbelen
Nilitakag kufany hv kipind fulani japo nilikuw ba mtaji wangu but baadae baada ya kuanza mwenyew hiyo bsness ndo nikafaham kwann mungu alizuia ile patnershp
So point ni komaa usimame ww km ww
Uko sahihi anything can happen anyway, anytime

Suala ni uelewa na trust kati ya hao partner

Remember even our son can harm us
ni umakini tu and the rest it's God's plan
 
Back
Top Bottom