Unapokuwa na eneo lililojaa wahamiaji wengi sana tena controversial kama warundi na wanyarwanda halafu unataka kulitenga ulipe mamlaka ya kiuwakilishi kitaifa kama mkoa,what does that imply?!
Chato ibaki wilaya ya Geita na sura ya usukuma.It means a lot for national security.
Chato ibaki wilaya ya Geita na sura ya usukuma.It means a lot for national security.