Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

Unapokuwa na eneo lililojaa wahamiaji wengi sana tena controversial kama warundi na wanyarwanda halafu unataka kulitenga ulipe mamlaka ya kiuwakilishi kitaifa kama mkoa,what does that imply?!
Chato ibaki wilaya ya Geita na sura ya usukuma.It means a lot for national security.
 
Nitakuwa wa kwanza kukubaliana na hoja hii ya kuundwa kwa mkoa mpya wa CHATO kama:-
Chalinze nayo kwa sasa ni mkoa
Butiama nayo kwa sasa ni Mkoa
Lupaso nayo kwa sasa ni walau Wilaya

Otherwise ni ubinafsi wa sisi waafrica hakuna jingine.
 
Dadangu, kati ya makabila ninayoweza kuyaonea wivu au kuyachukia, wahaya lingekuwa la mwisho. mimi ni mwenyeji sana wa uhayani nawajua wahaya, nandio walinifundisha hata ile siku ya gulio..., you have nothing special in this country to stand above others. hamna chochote mnachoweza kuwaonea wivu. nikuulize mimi kama kabila mojawapo linaloonewa wivu, kama ni elimu, mmesoma kuliko wachaga? biashara hamjui, nashangaa hata mnavyong'ang'ana na ukabila wakati mnahitaji kusaidiwa na makabila mengine.
Wewe mama una matatizo makubwa,nani slikueleza kuwa wahaya wanashindana na makabila mengine kielimu?!!,,kama kusoma ni moja ya utamaduni na msisitizo kwa jamii za wahaya.
Kusema wahaya hawajui biashara sijui unamaanisha nini?!!labda biashara za wizi na kuua wenzao ndio hawawezi,ila kama ni biashara wahaya wanafanya biashara vizuri na kisomi zaidi,tena katika nyanja zote,kilimo,uvuvi,utalii,ujenzi,na hotels,usafirishaji,vyakula nk.
Tatizo nyie mkiona mtu yupo kariakoo anafanya biashara za uchuuzi ndio kipimo chenu cha kufanikiwa kibiashara.
 
Dadangu, kati ya makabila ninayoweza kuyaonea wivu au kuyachukia, wahaya lingekuwa la mwisho. mimi ni mwenyeji sana wa uhayani nawajua wahaya, nandio walinifundisha hata ile siku ya gulio..., you have nothing special in this country to stand above others. hamna chochote mnachoweza kuwaonea wivu. nikuulize mimi kama kabila mojawapo linaloonewa wivu, kama ni elimu, mmesoma kuliko wachaga? biashara hamjui, nashangaa hata mnavyong'ang'ana na ukabila wakati mnahitaji kusaidiwa na makabila mengine.
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?

Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?

Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tu!😁😁😁😁
 
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?

Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?

Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tusasa mb
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?

Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?

Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tu!😁😁😁😁
sasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke.
 
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?

Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?

Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tu!😁😁😁😁
sasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke. ndo maana nimesema mnafanana na ndizi tena ndizi matoke sijakosea. kama una akili ya aina hii?
 
sasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke. ndo maana nimesema mnafanana na ndizi tena ndizi matoke sijakosea. kama una akili ya aina hii?
Relatively kulinganisha na jamii nyingine wahaya wanajitosheleza
1. Wana chakula cha kutosha
2. Kila kaya ina shamba lake
3.Nyumba za bati zimetamalaki

Ni mkoa unaoongoza kwa idadi ya Maprofesa na Madoctor(PhD)

Nimekuuliza wewe kabila lako mna maprofesa wangapi tangu nchi hii ipate uhuru?

Au ndo unaleta habari za darasa la saba B kutukana watu walioenda shule?
 
Kuweka record sawa,Ngara na Bihalamuro sio maeneo ya Wahaya,Ngara kuna Waangaza na Biharamulo ni wasubi,mimi nasapoti hizo wilaya za Ngara na Bihalamuro zitoke Kagera ili mbaki wahaya peke yenu muwe mnapigana katerero vizuri🤣🤣🤣🤣
Naunga mkono, ila sio katerero, kwani mkoa mmoja yakipatikana makabila mawili au matatu ni kosa ???
 
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
mhh, hebu ongelea na jinsi wahaya wanavyobagua makabila mengine ya mkoa wa kagera eg wahangaza na washubi
 
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Itakuwa ni kituko cha mwaka yaani wanaacha Mikoa mikubwa kama Tanga,Tabora na Morogoro
 
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Biharamulo na Ngara hakuna Wahaya lakini hata kama wangekuwepo hamna shida kama lengo ni zuri
 
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Tukisema mkoa wa uundwe Chato ikiwemo na uitwe Biharamulo au mkoa wa Ngara au Chato wilaya ipelekwe Kagera utakataa bado ? Acha ukabila. ailikua Haipendi Kagera aliwaambia ? Nyinyi mlikua mnampenda sana? Hadi mkamnyima ubunge mara mbili.

Culture heritage huwa haipotezwi na cultural integration. Ndio maana Dar ni ya wazaramo na washwahil lakin imejaa kila aina ya makabila na bado ipo tu na inaendelea
 
Tukisema mkoa wa uundwe Chato ikiwemo na uitwe Biharamulo au mkoa wa Ngara au Chato wilaya ipelekwe Kagera utakataa bado ? Acha ukabila. ailikua Haipendi Kagera aliwaambia ? Nyinyi mlikua mnampenda sana? Hadi mkamnyima ubunge mara mbili.

Culture heritage huwa haipotezwi na cultural integration. Ndio maana Dar ni ya wazaramo na washwahil lakin imejaa kila aina ya makabila na bado ipo tu na inaendelea
kwanza hizo cultural heritage ndizo hatuzihitaji kabisa hapa Tanzania, tunahitaji Tanzanian heritage. wahaya mkitaka kuwa wakabila sana undeni nchi yenu muiite katerero na sura zenu zinafanana na ndizi.
 
Magufuli alikuwa anachukia Wahaya kwa sababu tangu ujanani walikuwa wakimuita "Mushuti" - Yaani Mrundi

Alikuwa na chuki na Uhaya, tangu alipofanya figisu kuichomoa Chato kutoka katika mkoa wa Kagera ni muendelezo wake wa kutaka kujidistance kutoka katika influence na cultural dominance ya wahaya katika hiyo region.

Na chuki yake mliishuhudia baada ya tetemeko.

Samia aachane na idea hii ya Mkoa wa Chato, haina mantiki
Ubaguzi nyinyi ndio mnauplay role vizuri. Hata viongozi wa kutoka pahala pengine huwa hamuwataki mnawaita wahamiaji same played kwa wabunge na madiwani hadi wakiwa wengi wakiwameza ndio huwa mnarudi mezani. Sasa kama kumbe mlikua mnambagua na kumuita mrundi mlitegemea awapende tu wakati hammpendi na mlikua hammhitaji
 
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
kuunda mkoa wa chato ni muhimu sana ili kupunguza makali ya uhaya/ukabila.watz tunapaswa kuwa kitu kimoja na siyo kuwa na uhaya/unyamahanga.
 
kwanza hizo cultural heritage ndizo hatuzihitaji kabisa hapa Tanzania, tunahitaji Tanzanian heritage. wahaya mkitaka kuwa wakabila sana undeni nchi yenu muiite katerero na sura zenu zinafanana na ndizi.
Na hawa jamaa uchief chief zones wao walitakaga kujiundia ka kingdom kao then kanchi. Na wao ndio ilikuaga moja ya sababu Nyerere kufuta Uchief na akawasideline kwenye serikali kwa muda....,wakaja kudanganywa na Idd Amin Dada kuwa awasogeze then awapatie Haya Kingdom kama zilivojaa Uganda.

Ile Vita ya Kagera fuatilia wahaya wengi walikua wanaisupport wajikate Tanzania wapelekwe Uganda then wajitawale bila kujua kuwa walikuwa wanahadaiwa. Waliposoma soma na kwenda Ulaya huko ndio wakawa wanakuja na mawazo Butu.
 
Na hawa jamaa uchief chief zones wao walitakaga kujiundia ka kingdom kao then kanchi. Na wao ndio ilikuaga moja ya sababu Nyerere kufuta Uchief na akawasideline kwenye serikali kwa muda....,wakaja kudanganywa na Idd Amin Dada kuwa awasogeze then awapatie Haya Kingdom kama zilivojaa Uganda.

Ile Vita ya Kagera fuatilia wahaya wengi walikua wanaisupport wajikate Tanzania wapelekwe Uganda then wajitawale bila kujua kuwa walikuwa wanahadaiwa. Waliposoma soma na kwenda Ulaya huko ndio wakawa wanakuja na mawazo Butu.
si bora wamebaki huku tumewafundisha na kukata magovi,
 
kuunda mkoa wa chato ni muhimu sana ili kupunguza makali ya uhaya/ukabila.watz tunapaswa kuwa kitu kimoja na siyo kuwa na uhaya/unyamahanga.
Kwa maoni yangu hapa suala la msingi sio kupoteza historia ya wahaya, wahaya ni watu wanaojipambanua kwa usomi na uchapakazi wao ila kikubwa tutazame manufaa yapi yatapatikana kutokana na kuundwa kwa mkoa wa chato mambo mengine ni masuala madogo sana ukizingatia watanzania kwa sasa tumeshakuwa watu wenye mwingiliano mkubwa sana katika nyanja mbalimbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom