Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,499
- 51,092
- Thread starter
- #41
Unaweza kukarabati shule bila kutukana watu au kula rambirambiIle shule iliyokarabatiwa kwa mabilioni ya shilingi na yenyewe ni sehemu ya chuki na kejeli.
By the way kukarabati shule ni jukumu la serikali siyo hisani, maana serikali inakusanaya kodi hata kutoka mkoani Kagera pia