Kuunda Mkoa wa Chato ni kupoteza historia ya Wahaya, Mkoa wa Chato hauna maslahi kwa urithi wa utamaduni wa Mtanzania

kuunda mkoa wa chato ni muhimu sana ili kupunguza makali ya uhaya/ukabila.watz tunapaswa kuwa kitu kimoja na siyo kuwa na uhaya/unyamahanga.
Kuundwa mkoa wa chato hakuna negative effect yoyote kwa uhaya, tena ndo utapromote maana mkoa utabaki pure Wahaya
 
Mwendakuzimu alikua fala tu
Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.

Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.

Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?

Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.

Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?

Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.

Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.

Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
 
Wakati wa mkoloni tulikuwa na majimbo machache na maendeleo yalikuwepo. Magari ya serikali Land Rover kama lile la the gods must be crazy lakini wakuu walizunguka kila kona ya province na Kila district. Hivi Sasa kila wilaya in VX V8 lakini zinaishia mijini tu.
 
Wakati wa mkoloni tulikuwa na majimbo machache na maendeleo yalikuwepo. Magari ya serikali Land Rover kama lile la the gods must be crazy lakini wakuu walizunguka kila kona ya province na Kila district. Hivi Sasa kila wilaya in VX V8 lakini zinaishia mijini tu.
kwahiyo wakati wa mzungu tulikuwa na maendeleo kuliko sasa? au mbona sikuelewi.
 
Kwa hiyo magu alijaribu kujinasabisha na wahaya, na nyie watani zangu ninavyowajua mkamchukulia kama kikaragosi, ndo akaenda kwa wasukuma, nilikuwa najiuliza kama ni msukuma pure maana nawajua wasukuma kwa sura na hulka zao, nikadhani labda atakuwa mzinza maana wao siwajui vizuri....kwa namna ninavyowajua waitu kwa majigambo siwezi kushangaa kwamba aliwachukia kinyama.
Wewe ni mpumbavu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mikoa haiundwi kuhifadhi mipaka ya kikabila bali kusogeza huduma kwa watu. Kupasuliwa Kagera kwenda mkoa mwingine hakumfanyi Muhaya kuwa Mbondei..atabaki na uhaya wake.
akili za yule askofu muuza utu wake (Bagonza) anasema kuwa kwasababu yeye ni mhaya, kagera ikimegwa itakuwa imemega wahaya wenzake. sifuri kabisa.
 
Usiombe boss wako awe. Mhaya.
Mambo mengine msikie kwa jirani.

Hata mimi ukinipa nafasi ya kuji- distance na Hawa jamaa nafanya mara moja.

Hawa jamaa kwa unuaji ndo walio tuletea vita ya Iddi Amini eti wanapinga ujamaa. Nyerere hana hamu nao.
 
Wengi tu. Kwanza usijitoe ufahamu hiyo Kyamuyorwa na Karagwe tayari kwa sasa wasukuma wameishaingia, miaka ishirini ijayo Karagwe itakuwa usukumani tu.
Hizo ni dialect za wahaya tu na bado ni wachache populationwise

Umewahi kukutana na Wasubi au wahangaza wangapi Dar?
 
Wewe nawe sijui unaeleza vitu gani hapa. Lindi robo tatu ni pori tu na watu wachache ukaigawe ili iweje ? Hiyo Tabora eneo kubwa ni mapori tu na idadi ndogo ya watu. Labda Morogoro ndio ina vigezo vya kuigawa.
Labda kama kusaka 10% lkn hakuna tija kuunzisha mkoa hali nchi Ina shida nyingi kubwa,je kagera ni kubwa kuliko tabora,lindi, morogoro?.Hizo pesa za kuchezea kwann zisiende maliza tatizo la foleni tunduma kwa kuboresha miundo mbinu.Gari zinafunga foleni zaidi ya kilometa 20 ndipo ziweze kuvuka boda,
 
Kuhamia dodoma, kujenga ikulu mpya, kujenga Chato airport, kuanzisha mkoa mpya wa Chato ni matumizi mabaya Sana ya Kodi zetu havina tija kiuchumi labda tu kama matatizo yetu yangekuwa yamekwisha
Matatizo hayaishi mpaka tunaondoka duniani
 
Mmmmh hapana Wahaya lugha yao haiingiliana kabisa na wasubu au waangaza...tena ungeenda nje kidogo yaani Kihaya kinaingiliana sana na Kiganda na Kinyankore (Uganda) kuliko kisubi au kihangaza
Kisubi na kizinza ni kama kihaya tu kihangaza ndio hakifanani na kihaya
 
Bashiru siyo muhaya ?
Huyo alisikia zile taarifa za kwenye makaratasi kuwa serikali imechangia katika gharama za ukarabati wa shule ya Ihungo....hakuna kitu ambacho hakikujulikana....hayati alikuwa na chuki za waziwazi kwa Wahaya jamani msibishi sana ....na ile Meli kama ingekuwa haihudumii maeneo ya Mwanza pia isingekarabatiwa kamwe....
 
Tabora ilishamegwa mwaka 1974 ikaitoa Mpanda kuunda mkoa wa Rukwa.
Hadi Muleba itamegwa. Chezea malaika mkuu! Na mbaya zaidi jinamizi la huyu mtu lipo nyuma ya mama Samia.

Hatari sana. Mikoa ya kumegwa ni Tabora na Morogoro sio Geita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom