Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Naangalia mpira ligi ya UK Sunderland v/s Tottenham.
duh! Pole sana. Uripota toka Arusha umekushinda?
Naangalia mpira ligi ya UK Sunderland v/s Tottenham.
Mchumi daraja la kwanza yupo guest na wake za watu mkutano umemshindaMkuu najaribu ku compare picha za karatu na kibaha anakohutubia mchumi daraja la kwanza failure!dah haina ubishi kua 2015 kama watu hasa sisi vijana tukijitokeza kupiga kura kwa hudi na uvumba,majambazi ya magamba lazima yakae tu,tena na kilio juu!
masalia bwana acheni vituko na ninarudia teha we dada tumestuka kua mnatumia tunguri kwa hiyo hamtusumbui tena, unafiki wenu tushaijua njaa zenu tushazijua si mlituma kuleta migogoro feki chadema na kwa nguvu za Mungu mmeshindwa na mkiendelea mtateketea kabisa,. Cdm mbele kwa mbele nyuma mwiko.. Weka tunguri zako pembeni ndio ujiunge na makamanda bado unamdaa sana kijana achakutumikia wachawi
'ndio ulichotumwa na magamba kuja fungia id za makamanda,? Pole sana utasubiri mno
Mchumi daraja la kwanza yupo guest na wake za watu mkutano umemshinda
nani kakwambia anasomaga mwandiko wako mbovu(michango ya kigambagamba na sio reality) hapa jamvini......jiheshimu basiii ....waswazi wengine bwana ...sijui njaaasikiliza mkuu jaribu kujiheshimu,sioni kama uko sawa kwanza kwa kauli zako hizo,acha mdomo mchafu,humu ni jamvini eneo la wazi ambapo kila mmoja ana uhuru wa kuweka maoni yake,sio lazima usome maoni yangu na kuyajibu unaweza kusoma na kama yamekuudhi ukaacha lakini sio kuropoka kama unavyofanya,narudia acha mdomo mchafu na inavyoonekana unataka kuchakachua thread,nadhani tumia akili zaidi za kichwani usiongozwe na hisia zako.
Mkuu Crashwise Kama hujui WABHEJASANA ni gamba la kufa mtu acha kamanda amchane
Huko kibaha Magamba wamekosa watu kwenye mkutano wao. VIVA CHADEMA tuia picha
Mkuu Crashwise Kama hujui WABHEJASANA ni gamba la kufa mtu acha kamanda amchane
mkuu crashwise kama hujui wabhejasana ni gamba la kufa mtu acha kamanda amchane
Mkuu crash nadhani ulilenga kusema benson kigaila na si nelson kigaila ambaye mkurugenzi wa mafunzo na ufundi makao makuu....kama ndivyo hakuna kinachoharibika kamanda tuko pamoja nai ktk kuweka rekodi sawa
Masali ni wewe unayejipendekeza ka hao unaowaona wanakufaa kwa sababu huna uwezo wa kujisimamia,ndiyo maan unajihami kwa hayo mabandiko yako ukiamini kuna wakubwa zako watakuja kukupa LIKE ili upate kula,endelea kujiremba sasa itakula kwako.wala siasa haiitaji huo mkao wako ina mkao wake na wala CHADEMA haiitaji watu wa kujipendekeza kama wewe inahitaji watu wenye uwezo wa kujisimamia na wenye weledi,kafie mbali na mdomo wako mchafu.
hamjui kua ni zile id20 ebu mwambie kua hili ni gamba lililo azima gwanda leo baada ya kuona cdm karatu wanagongesha glass, wabejasana hatudanganyiki cdm
Tangu Lema aliporudi kutoka mapumzikoni uyo Ngongo amepatwa na ugonjwa wa kuhara, uwanjani hawezi kwenda labda avae pumpers.