Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,507
Mkuu Crashwise nimepata na hamasa kubwa mno kuona umati mkubwa wa watu oo thank God kwa kweli ukombozi utakuja soon. Nachokiona ni kwamba uongozi wa juu wa CDM haporomoki kabisa ni huyu mmoja tuu ZZk ila kwa ujumla uongozi uko imara na makini twende kazi makamanda. Wanaosema karatu kuna mgogoro sijui wakiona huu umati watasema nini?