kutoka uwanja wa Mbowe karatu

kutoka uwanja wa Mbowe karatu

Tanzania yetu ni moja, ukombozi ni wetu sote, CHADEMA ni mkombozi wetu pamoja, hakuna sababu ya kugombana. Tukosoane kwa amani tu ndugu zangu. TUNAELEKEA KWENYE TANZANIA HURU AMBAYO KILA MTU ANATHAMANI NA MCHANGO WAKE KATIKA UJENZI WA NCHI HII UTATHAMINIWA BILA UBAGUZI!.

KWA AMANI NA MAENDELEO = SUPPORT CHADEMA.

PIPOZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
tanzania yetu ni moja, ukombozi ni wetu sote, chadema ni mkombozi wetu pamoja, hakuna sababu ya kugombana. Tukosoane kwa amani tu ndugu zangu. Tunaelekea kwenye tanzania huru ambayo kila mtu anathamani na mchango wake katika ujenzi wa nchi hii utathaminiwa bila ubaguzi!.

Kwa amani na maendeleo = support chadema.

Pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Masali ni wewe unayejipendekeza ka hao unaowaona wanakufaa kwa sababu huna uwezo wa kujisimamia,ndiyo maan unajihami kwa hayo mabandiko yako ukiamini kuna wakubwa zako watakuja kukupa LIKE ili upate kula,endelea kujiremba sasa itakula kwako.wala siasa haiitaji huo mkao wako ina mkao wake na wala CHADEMA haiitaji watu wa kujipendekeza kama wewe inahitaji watu wenye uwezo wa kujisimamia na wenye weledi,kafie mbali na mdomo wako mchafu.

WABHEJASANA , wadau wanaomba malizeni bifu yenu , hakuna haja ya kupigana madongo , Maana imeandikwa wagombanao ndiyo wapatanao .
 
Kweli nimeamini kuwa wananchi wameamua kuingia ulimwengu wa Digital na kuachana na Analog.kulingana na hali kama hii pamoja na kutumia pesa nyingi kuvuruga mambo basi Chadema ni Digital na CCM imebaki kwenye ulimwengu iliopita wa Analog(Naomba wadau kuanzia leo jina la CCM tulibadili kuwa ANALOG).
 
View attachment 77336Wataletaje update kwa umati unaouona hapo juu..hii ni aibu lakini utashangaa kesho hizi picha wata zi edit mpka utashangaa umati utakavyokuwa kumbuka picha za uwanja wa sheikh Amri Abeid walipokuja na yule jangiri hawakuwa na watu lakini kesho yake kwenye magazeti kulikuwa ni nyome nikabaki nashangaa wakati nilifatilia mwanzo mwisho mkutano wao...
mimi huwa nawashangaa magamba mkutano wao huwa hawaleti updates kutwa kushinda kwenye thread za CDM Nafikiri hawana mapenzi na Hilo chama lao la ccm wanataka kupiga hela tuu
 
hali ulivue ilo gamba na kuacha tumikia wachawi ndio utaeleweka, cdm haiwezi tetereshwa na wapiga ramli angalia dada njaaitakupeleka pabaya mwenzako yuda alishia kujitundika kwa usaliti sasa we sjui utaishia wapi,. Mi situmikii mtu natumikia chama changu na sitaji hata mia kwenye chama ila mi ndio nakichangia chama na sijuani na mtu yeyote kama we unalamba viatu vya prezzoo

Mdogo wangu Ndikwega tumeomba kwamba hakuna haja ya kugombana , ubwite bwa fiki gwa kukaja ?
 
hivi kumbe ndo mwenye hii id kazi atakuwa nayo.........................tunaanzia kijijini kwao
 
waelimisheni kuhusu kuhama kutoka analogia na kuingia digitali wajiandae
 
Hii ndiyo Chadema inayowanyima CCM usingizi,hakina wanahaki ya kukosa usingizi maana inatisha!
 
Makamanda mmeuteka moyo wangu,mwanangu nae anapagawa ati kuona izi picha
 
Unaangalia mpira lakini upo Karatu kwa kufatilia hii thread.
Usiniambie umeoteshwa kuwa ktk thread hii wamekuulizia ha ha ha!

Umempa za uso jamaa. Anaigiza kuwa anaangalia mpira ligi ya England, wakati yuko JF, tena jukwaa la siasa, hususan kwenye thread ya mkutano wa hadhara wa CHADEMA Karatu.

Tumtakie mkutano mwema maana anaonekana kuwa ni mshirika sema tu bado hajajitambua sawasawa. Ndiyo raha ya pipooooooooz, utaipenda tu ndani ya moyo, matokeo yake unaweza kushindwa kuficha.
 
Back
Top Bottom