kaka usiangaike nae huyu yawezekana ikawa sio saizi yako ni mtu mdogo sana, we niachie mi nimalizane nae,. Nimemwambia kua mtu kama yeye ndio waliosababisha tue na id hizi mpya kwa uchafu wao tulio ugundua tar18/12/2012
nashukuru kaka kakanyage hako kasisimizi.....
Mbona nyie wapuuzi! Mbona picha ya mtu inatokea mara mbilimbili? Angalia hapo anapohutubia Brother Mbowe na Nassar. Acheni uchakachuzi wa picha, tunataka taswira halisi. Na Vipi mbona BABU wa Nape simuoni? Thati iz pat sakos.
Picha nitaweka usiongope matunguri
nishasuluhishwa na wakuu nimeambiwa niachane nae, hata hivyo amepotea tiyari chezea nguvu ya umma wewe
WABHEJASANA , wadau wanaomba malizeni bifu yenu , hakuna haja ya kupigana madongo , Maana imeandikwa wagombanao ndiyo wapatanao .
wanaanza na dua kwanza
View attachment 77335waangalie walivyo vuna aibu na wabunge wao 7 kutoka chadema...hahahaha
Ule mkutano mkubwa ulio kuwa unasubiliwa kwa hamu na watanzania hasa wana karatu unategemea kuanza mida ya saa kumi lakini mpaka sasa watu ni wengi sana kwenye uwanja wa Mbowe hapa karatu pamoja na mvua kuendelea kunyesha. Viongozi tunao watazamia hii leo ni viongozi mbalimbali wa mkoa na kitaifa Arusha katibu Amani, Menyekiti(Mwigamba), Nasari, Benson Kigaila na kamanda wa anga Freeman Mbowe..
Nitaendelea kuwa letea dondoo za mkutano huu pamoja na picha za baadhi ya matukio, mlioko hapa kwenye mkutano tushirikiane kuwa juza wana JF..
======
pics
View attachment 77312
Mbunge wa Arumeru mashariki kamanda Joshua Nasari
View attachment 77313
Mbunge wa viti maalumu Pareso
View attachment 77323
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe akihutubia wananchi wa karatu kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77324
Kamanda Natse
View attachment 77325
Umati wa wananchi wilaya ya karatu waliojitokeza kisikiliza sera za chama cha Demkrasia na Maendeleo kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77326Pareso
Nimegundua wewe na mwenzio ni majeruhi kwa hiyo hakuna haja ya kushindandana na nyie kwa sababu ukishindana na M....n...a na wewe unaweza kuwa hivyo,kwa hiyo kama nilivyofanya kwa mwenzio na wewe vivyo hivyo.
Siku hizi anasingizia yuko bize na soka :cheer2:Tangu Lema aliporudi kutoka mapumzikoni uyo Ngongo amepatwa na ugonjwa wa kuhara, uwanjani hawezi kwenda labda avae pumpers.
Viva CHADEMA!!!!! Napata furaha Mimi!