palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
Thanks crashwise kwa pics. God bless u and the family
nani kakwambia anasomaga mwandiko wako mbovu(michango ya kigambagamba na sio reality) hapa jamvini......jiheshimu basiii ....waswazi wengine bwana ...sijui njaaa
Ndiyo maana nimesema wewe unatafuta kujipendekeza ili uonekane na wewe CDM,yani kama ungekuwa CDM wewe usingekuwa kama ID yako inavyoonesha tangu umejiunga humu ndani,iangalie tu halafu ujihoji moyoni mwako,yani CDM bana wanafahamika na hasa ukizingatia kwamba kuna kaharufu kabaya kalitaka kupita hapo katikati,waliojaribu kupitisha hako kaarufu wamekiona cha moto,sasa wewe mada motomoto zote zimepita hizo wenzako wanajitetea na kuweka mambo sawa na hasa yale yaliyokuwa yanatka kupotoshwa wewe ulikuwa wapi?!!
Hizo post zako 63 wenzako wanaposti kwa saa moja kwa ajili ya kupigania chama na haki ili kuhakikisha kwamba wenye nia mbaya wanshindwa hivi kweli wewe ni CDM ninayoijua mimi ama ni CDM mgongo wa nyuma???!!!!jamani wekeni hii kitu mbali itawaharibia keshokutwa tu!!!!!!!!
hebu muone na huyu naye???!!!!!!hivi na wewe unaweza kuongea mbele ya wanaume????!! Au na wewe umekuja kuchakachua mada?bora ungechangia kwanza ndio ukaweka madudu yako,wewe na yeye wote akili zenu sawa!!!unajua id zote zilizojiandikisha humu tangu tarehe 18 dec tunajua kazi zake na inavyoonekana wewe ni 100%.
mapito CDM inapitia! wafitini wanaitesa kila upande...ila Mungu yupo ambaye hapendi udhalimu wanaotendewa watanzania. katika wingi wa utajiri wao ni maskini. makamanda pigeni kazi...TUTASHINDA!
Unaangalia mpira lakini upo Karatu kwa kufatilia hii thread.Naangalia mpira ligi ya UK Sunderland v/s Tottenham.
Ule mkutano mkubwa ulio kuwa unasubiliwa kwa hamu na watanzania hasa wana karatu unategemea kuanza mida ya saa kumi lakini mpaka sasa watu ni wengi sana kwenye uwanja wa Mbowe hapa karatu pamoja na mvua kuendelea kunyesha. Viongozi tunao watazamia hii leo ni viongozi mbalimbali wa mkoa na kitaifa Arusha katibu Amani, Menyekiti(Mwigamba), Nasari, Benson Kigaila na kamanda wa anga Freeman Mbowe..
Nitaendelea kuwa letea dondoo za mkutano huu pamoja na picha za baadhi ya matukio, mlioko hapa kwenye mkutano tushirikiane kuwa juza wana JF..
======
pics
View attachment 77312
Mbunge wa Arumeru mashariki kamanda Joshua Nasari
View attachment 77313
Mbunge wa viti maalumu Pareso
View attachment 77323
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe akihutubia wananchi wa karatu kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77324
Kamanda Natse
View attachment 77325
Umati wa wananchi wilaya ya karatu waliojitokeza kisikiliza sera za chama cha Demkrasia na Maendeleo kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77326Pareso
mtu kama wewe ndio umesababisha leo natumia id hii nisubiri mwezi wa pili utaiona jina langu la kuzaliwa, nyie masalia mmesababisha vifungo vya watu wengi apa jf ila kamwe hatutorudi nyuma tutakikisha hampumui pamoja na tunguri zenu hazito wasaida,.
wanaanza na dua kwanza
nani kakudanganya kwamba tarehe hiyo inaonesha kuwa mtu ni wa juzi jamvini .....vyovyote utakavyotafsiri wewe ni gamba tu......tunakuscan vizuri...
Mkuu hujui kusoma na picha pia huji kutazama..
tumsifu yesu kristo, bwana yesu asifiwe aaimen....
Huko kibaha Magamba wamekosa watu kwenye mkutano wao. VIVA CHADEMA tuia picha
Tumsifu yesu kristo............aimeeeeeeeeeeeeeeeen, wana karatu peopleeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzz