kutoka uwanja wa Mbowe karatu

kutoka uwanja wa Mbowe karatu

vp jaman tayari wameshafika waheshmiwa hapo karatu? Cc hapa songea ndo 2po kumckiliza 2ndu lisu. Anaongea kwny mkutano hapa bombambili. Ntawajuza pia jaman.
 
nani kakwambia anasomaga mwandiko wako mbovu(michango ya kigambagamba na sio reality) hapa jamvini......jiheshimu basiii ....waswazi wengine bwana ...sijui njaaa

Hebu muone na huyu naye???!!!!!!hivi na wewe unaweza kuongea mbele ya wanaume????!! au na wewe umekuja kuchakachua mada?bora ungechangia kwanza ndio ukaweka madudu yako,wewe na yeye wote akili zenu sawa!!!unajua ID zote zilizojiandikisha humu tangu tarehe 18 DEC tunajua kazi zake na inavyoonekana wewe ni 100%.
 
Nakuona rais wangu dr. Slaa uko hewani ambaye hata mtu akinishakia bastora nibadirishe jina la rais wangu basi achukue tu roho yangu ...tunakwamini ...kiongozi mwenye msimamo mvuto ...wewe uliyemfanya mama yangu sumbawanga mwenye misimamo ya kiccm akala kiapo cha kutokuja kuitaja ccm kwa jambo lolote zuri...hila za ccm zimemfanya bibi yangu beatrice afe ajaiona serikali yako aliyokuwa anatamani kuiona ...mungu amrehemu ....shikamoo mh. Rais.....naamini utaitika mtukufu hapo ulipo...tawi la udom tuko imara
 
Ndiyo maana nimesema wewe unatafuta kujipendekeza ili uonekane na wewe CDM,yani kama ungekuwa CDM wewe usingekuwa kama ID yako inavyoonesha tangu umejiunga humu ndani,iangalie tu halafu ujihoji moyoni mwako,yani CDM bana wanafahamika na hasa ukizingatia kwamba kuna kaharufu kabaya kalitaka kupita hapo katikati,waliojaribu kupitisha hako kaarufu wamekiona cha moto,sasa wewe mada motomoto zote zimepita hizo wenzako wanajitetea na kuweka mambo sawa na hasa yale yaliyokuwa yanatka kupotoshwa wewe ulikuwa wapi?!!

Hizo post zako 63 wenzako wanaposti kwa saa moja kwa ajili ya kupigania chama na haki ili kuhakikisha kwamba wenye nia mbaya wanshindwa hivi kweli wewe ni CDM ninayoijua mimi ama ni CDM mgongo wa nyuma???!!!!jamani wekeni hii kitu mbali itawaharibia keshokutwa tu!!!!!!!!

mtu kama wewe ndio umesababisha leo natumia id hii nisubiri mwezi wa pili utaiona jina langu la kuzaliwa, nyie masalia mmesababisha vifungo vya watu wengi apa jf ila kamwe hatutorudi nyuma tutakikisha hampumui pamoja na tunguri zenu hazito wasaida,.
 
hebu muone na huyu naye???!!!!!!hivi na wewe unaweza kuongea mbele ya wanaume????!! Au na wewe umekuja kuchakachua mada?bora ungechangia kwanza ndio ukaweka madudu yako,wewe na yeye wote akili zenu sawa!!!unajua id zote zilizojiandikisha humu tangu tarehe 18 dec tunajua kazi zake na inavyoonekana wewe ni 100%.

nani kakudanganya kwamba tarehe hiyo inaonesha kuwa mtu ni wa juzi jamvini .....vyovyote utakavyotafsiri wewe ni gamba tu......tunakuscan vizuri...
 
mapito CDM inapitia! wafitini wanaitesa kila upande...ila Mungu yupo ambaye hapendi udhalimu wanaotendewa watanzania. katika wingi wa utajiri wao ni maskini. makamanda pigeni kazi...TUTASHINDA!

CHADEMA imevuka majabali na miamba ya majaribu makubwa, kuliko hata ya sasa. Issues za muhimu ni kuzingatia ukweli, haki na uwajibikaji katika masuala haya. Mbali ya kuongozwa na akili, hekima, busara, kuheshimu maamuzi ya vikao kwa mujibu wa katiba, kanuni, maadili, miongozo, taratibu na itifaki za chama ndiyo wajibu wa kila mwanachama na kiongozi ili kuzidi kusonga mbele kumkabili na kumshinda adui.
 
Naangalia mpira ligi ya UK Sunderland v/s Tottenham.
Unaangalia mpira lakini upo Karatu kwa kufatilia hii thread.
Usiniambie umeoteshwa kuwa ktk thread hii wamekuulizia ha ha ha!
 
vp jaman tayari wameshafika waheshmiwa hapo karatu? Cc hapa songea ndo 2po kumckiliza 2ndu lisu. Anaongea kwny mkutano hapa bombambili. Ntawajuza pia jaman.
Mkuu hujui kusoma na picha pia huji kutazama..
 
Ule mkutano mkubwa ulio kuwa unasubiliwa kwa hamu na watanzania hasa wana karatu unategemea kuanza mida ya saa kumi lakini mpaka sasa watu ni wengi sana kwenye uwanja wa Mbowe hapa karatu pamoja na mvua kuendelea kunyesha. Viongozi tunao watazamia hii leo ni viongozi mbalimbali wa mkoa na kitaifa Arusha katibu Amani, Menyekiti(Mwigamba), Nasari, Benson Kigaila na kamanda wa anga Freeman Mbowe..
Nitaendelea kuwa letea dondoo za mkutano huu pamoja na picha za baadhi ya matukio, mlioko hapa kwenye mkutano tushirikiane kuwa juza wana JF..
======
pics
View attachment 77312
Mbunge wa Arumeru mashariki kamanda Joshua Nasari
View attachment 77313
Mbunge wa viti maalumu Pareso

View attachment 77323
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe akihutubia wananchi wa karatu kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77324
Kamanda Natse
View attachment 77325
Umati wa wananchi wilaya ya karatu waliojitokeza kisikiliza sera za chama cha Demkrasia na Maendeleo kwenye uwanja wa Mbowe
View attachment 77326Pareso

e bwana c mchezo naona photo hizo.kimenukaaa na ccm hawana pa kukimbilia.
 
mtu kama wewe ndio umesababisha leo natumia id hii nisubiri mwezi wa pili utaiona jina langu la kuzaliwa, nyie masalia mmesababisha vifungo vya watu wengi apa jf ila kamwe hatutorudi nyuma tutakikisha hampumui pamoja na tunguri zenu hazito wasaida,.

Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
Inaonekana ni tabia yako ya kumbe kuwatukana watueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!
WELL!!!!1Nashukuru Mungu kwamba umejiweka wazi na Mods wamekuona ENDELEA NA MIMI KWA SABABU NIMEKUGUNDUA HUNIONI TENA ENDELEA NA MATUSI YAKO MKUBWA WA JF!!!!!
 
safi sana makamanda
na mkitoka huko njoni huku tuwawashie moto wa gesi mtwara
 
nani kakudanganya kwamba tarehe hiyo inaonesha kuwa mtu ni wa juzi jamvini .....vyovyote utakavyotafsiri wewe ni gamba tu......tunakuscan vizuri...

kaka usiangaike nae huyu yawezekana ikawa sio saizi yako ni mtu mdogo sana, we niachie mi nimalizane nae,. Nimemwambia kua mtu kama yeye ndio waliosababisha tue na id hizi mpya kwa uchafu wao tulio ugundua tar18/12/2012
 
Mkuu hujui kusoma na picha pia huji kutazama..

Mkuu jikite kwenye kazi achana nae huyo mwenye macho hambiwi tazama,we piga kazi mkuu,hapo ulipo una kazi nzito na ngumu,usikilize,upige,utujulishe kinachoendelea halafu bado mtu anataka umfundishe namna ya kusoma na kuangalia picha???!!!,fanya kazi moja tu ya maana kwa wengi.
 
Huko kibaha Magamba wamekosa watu kwenye mkutano wao. VIVA CHADEMA tuia picha

Mkuu mi nafikiri muhimu watu waelewe somo watanzania wengi wanajazana kwenye mikutano ya chadema lakini wakati wa kupiga kupiga kura utafikiri sijui huwa kichwani wanajazwa madudu gani....watanzania inabidi watambue sasa mda wa ccm kuendelea kutawala umeisha akili zao zimeshafika ukutani sasa tunahitaji viongozi wa kuongoza Taifa hili na c kutawala kama ccm hawa jamaa akili zao zimegonga ukuta hawawezi kututoa watanzania hapa tulipo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom