Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
- Thread starter
- #41
Huyo jaama hataki kusikia mafanikio ya chadema sasa akiangalia hii nyome hapo karatu lazima ashikwe na tumbo la kuhara kudadadeki zake...heri ya Krismass kwanza Mkuu!?,Eheee!!!!!! kivipi Mkuu hebu funguka kidogo,hapa nadhani kuna kitu cha maana.