Check kwenye page ya LATRAMim ni mgeni wa jiji la Dar es salaam, nataka nijue nauli ya kutoka Stendi ya Magufuli mpaka Kariakoo ni kiasi gani? Mnaojua nifahamisheni maana saizi nipo njiani.
Unakodi mgambo wanakulinda..Vip vibaka niwakwepeje mkuu?
Bajaj buku mpaka Manzese kisha unamalizia jero kwa daladala mpaka KariakooMim ni mgeni wa jiji la Dar es salaam, nataka nijue nauli ya kutoka Stendi ya Magufuli mpaka Kariakoo ni kiasi gani? Mnaojua nifahamisheni maana saizi nipo njiani.
Hamna vibaka ni stori tuVip vibaka niwakwepeje mkuu?
Bajaj buku mpaka Manzese kisha unamalizia jero kwa daladala mpaka KariakooMim ni mgeni wa jiji la Dar es salaam, nataka nijue nauli ya kutoka Stendi ya Magufuli mpaka Kariakoo ni kiasi gani? Mnaojua nifahamisheni maana saizi nipo njiani.
Ukishuka tu kwenye basi usipoteze muda ndani ya kituo , we toka nje kabisa utakuta gari za mwendokasi ,bodaboda, bajaji, n.kVip vibaka niwakwepeje mkuu?
Mim ni mgeni wa jiji la Dar es salaam, nataka nijue nauli ya kutoka Stendi ya Magufuli mpaka Kariakoo ni kiasi gani? Mnaojua nifahamisheni maana saizi nipo njiani.
Vip vibaka niwakwepeje mkuu?