Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #61
upo sahihi kabisa rafiki,...umeongea jambo la maana sana,
ni jukumu letu wanaume 'kumlinda' mke na hao ndugu.
Wakati huo huo, ni jukumu letu pia kulinda hadhi ya familia kwa huyo mke,
sio mwanaume unakuwa haujitambui,...unapelekeshwa tu kama bendera fata upepo!
Kwenye ndoa hakuna classes kusema ati mama mzazi ndio 1st Class, 2nd Class mawifi, na 3rd Class Mkeo
au Vice Versa...! Kwenye ndoa kila mtu ana mipaka yake, na hiyo mipaka izingatiwe na kuheshimiwa hata ikibidi
kwa 'kununiana!'
hako kapicha kameniacha hoi....... hapo sijui pande ipi itaelemewa, na nani?
Waume mna kazi kweli. Ukijitambua na kujua majukumu yako mambo yako yatakuwa bomba, ila ukifwata upepo basi hali ndo inakuwa kama hivi.