Kutoka ndani ya moyo wangu

Kutoka ndani ya moyo wangu

mmmmh, umsingizie then ndo umtetee? hata yeye mwenyewe atakushangaa. mke wangu anapenda atambuliwe, aheshimiwe mbele za ndugu zangu na ndugu watambue kuwa mke wako ndo kila kitu. mfano huwa nawaambia wazazi wangu wampigie pia mke wangu kushukuru wakati nimewapa kitu au pesa. wasinishukuru mimi tu na pia wife wanhu, hiyo inawajengea kumheshimu mke wangu. Tena ndugu zangu wakiniomba kitu huwa nawaambia ili ukipate faster ongeeni na shemeji yenu. sio kwamba siwezi kukutoa mimi binafsi ila tu ni kumpa mke wako respect kwa ndugu zako nao watatambua kuwa kwa JICHO TAI ili upate kitu mwambie mke wake!!
Hii tabia siipendi nyumbani kwangu, hata kidogo.
Akiombwa kitu na nduguze napenda yeye awe mwamuzi na ikiwezekana awape jibu papo kwa papo.
Unajua kwa kufanya hivyo unamweka mkeo kwenye wakati mgumu sana. na pia inamwongezea chuki toka kwa nduguzo. Kwa vitu ambavyo mnaweza kuwapa inakuwa haina tatizo, lakini kama hicho walichoomba hakitekelezeki, na wewe umeshawaambia wamwambie wife, wife akisema hili haliwezekani inakuwa balaa, "kaka angenipa ila lile limke lake limekataa", hapo sasa........
 
Hii tabia siipendi nyumbani kwangu, hata kidogo.
Akiombwa kitu na nduguze napenda yeye awe mwamuzi na ikiwezekana awape jibu papo kwa papo.
Unajua kwa kufanya hivyo unamweka mkeo kwenye wakati mgumu sana. na pia inamwongezea chuki toka kwa nduguzo. Kwa vitu ambavyo mnaweza kuwapa inakuwa haina tatizo, lakini kama hicho walichoomba hakitekelezeki, na wewe umeshawaambia wamwambie wife, wife akisema hili haliwezekani inakuwa balaa, "kaka angenipa ila lile limke lake limekataa", hapo sasa........
Fixed Point

Tabia hii unayoikataa ina hasara na faida zake

Na inafaa kama una ndugu wanaomdharau mkeo
Kuna ndugu ambao mke wa kaka yao wanamuona kama mdudu si mtu
Hawamjumuishi wala kumhesabia kama ndugu hata msiba ukitokea kama kaka yao hayupo umeumia huambiwi

Unakuta wifi hadi hela ya pedi anamuomba kaka badala ya wigi (mfano kama unaishi nao)

Hata vikao vya familia mke hausishwi ila ataketewa tu utekelezaji bila kuangalia kama lipo ndani ya uwezo wake au la....
 
Last edited by a moderator:
Fixed Point

Tabia hii unayoikataa ina hasara na faida zake

Na inafaa kama una ndugu wanaomdharau mkeo
Kuna ndugu ambao mke wa kaka yao wanamuona kama mdudu si mtu
Hawamjumuishi wala kumhesabia kama ndugu hata msiba ukitokea kama kaka yao hayupo umeumia huambiwi

Unakuta wifi hadi hela ya pedi anamuomba kaka badala ya wigi (mfano kama unaishi nao)

Hata vikao vya familia mke hausishwi ila ataketewa tu utekelezaji bila kuangalia kama lipo ndani ya uwezo wake au la....
Kuheshimiwa/kudharauliwa kwa mke kunasababishwa na mume.
Siyo lazima ndugu wajue kuwa una say katika familia ili wakuheshimu.
Sipati picha kitu kinatokea kwenye familia ya mume huna hata mmoja wa kukuambia, hata binamu yake shangazi! basi hiyo itakuwa kubwa kuliko.
Mume anayechukua jukumu la nduguze na kulileta kwenu wakati anajua kabisa haliwezi kutekelezeka basi ana matatizo ya akili. Mimi nadhani atakubali kusaidia yale yaliyo ndani ya uwezo wetu, hilo hta kama mimi sijashirikishwa sitakuwa na pingamizi.
Ninachochukia ni kile wanakuambia tunaomba utununulie sabuni, anawaambia ngoja nikamwambie mke wangu, lol!
 
ukweli na uongo at the same time.

Kuna baadhi ya wanawake wakiingia kwenye familia, inakuwa kama wamaeingia member alfu wa boko haramu. Sijui ni kwa kujua ama kutojua, wanachonganisha familia nzima. Hapa suluhisho huwa ni mume liyemleta boko haramu huyo, kama anajielewa ama anaweza kum-manage mkewe, mambo huwa nafuu. Ila kama ni mume -----, kasheshe, suluhisho la haraka huwa ni kkumtafutia mahali wakaishi na mkewe mbali na nyumbani, kidogo hupunguza mitafaruku. Kuna kaya jirani, waligombanishwa na wakamwana dah! Na hivi watoto wa kiume walikuwa 5, na wakamwana 5, walikuwa wanaishi jirani jirani tu. Sijui ikawaje hadi mama yao akatimuliwa sababu ya mkamwana, mjane yule akaenda kukaa kwa kijana wake mdogo wa kiume wa 6, ambaye hata hajaoa. Ila walikuwa na wifi yao aliyekuwa anaishi jirani, anauwezo wa kusutana na Dar nzima.

Na kuja shem wangu mmoja, mkewe ni kama alshaba, anagombana na mama mkwe wa miaka 80+, sijui hata anagombana naye nini. Kamfanya mumewe haelewani na mtu hata mmoja, ila mume naye ni bu sho ke tu nadhani. Basi unabaki kumhurumia tu lakini yeye anajiona mbabe wa ukoo.

Hapo kuna wanawake, ambao huwa kama baraka na chanzo cha busara kwa mume. Hata pale palipoonekana kuwa na mtafaruku, unakuta mke anafunika weakness za mmewe, labda kwa kuonyesha ushirikiano na nduguze zaidi. Hapa mfano ni wifi yangu, yale mambo ambayo braza hashiriki kabisa, kama ya kusalimia au kuuguza wagonjwa, wifi ndio mstari wa mbele, so ana cover sana hiyo weakness yake. Kiasi kwamba wao wakiwa tunashiriki kwao sababu ya wifi.

Kwa hiyo, kuna baadhi ya wake wanaleta amani, wengine kwa kweli ni hatari tupu.

Explanation yako imenishawishi sana.kiasi cha kushindwa hata kuongeza neno..mfano mzuri tena wwnye uhai kabisa..mnakundi yote mawilk huwa yapo
 
Siku zote muolewaji hana jema,hata kama mume ndio asiyeeleweka lawama atabebeshwa mke tu!!
Wake Nai kuna wema ambao ni baraka kwenye familia ila wengine akiingia kwenye familia mtajuta!!!!!
 
Mwanaume ukishaoa tambua kuwa mwanamke anakuja na utaratibu wake wa maisha kwa jinsi alivyokuwa aki-imagine kabla hajaolewa.Ukweli ni kwamba unakuwa umesimika utawala mpya.Sasa si lazima kila mtu afurahishwe na utaratibu mpya wa utawala mpya.
Shida huanzia hapo
 
Hii tabia siipendi nyumbani kwangu, hata kidogo.
Akiombwa kitu na nduguze napenda yeye awe mwamuzi na ikiwezekana awape jibu papo kwa papo.
Unajua kwa kufanya hivyo unamweka mkeo kwenye wakati mgumu sana. na pia inamwongezea chuki toka kwa nduguzo. Kwa vitu ambavyo mnaweza kuwapa inakuwa haina tatizo, lakini kama hicho walichoomba hakitekelezeki, na wewe umeshawaambia wamwambie wife, wife akisema hili haliwezekani inakuwa balaa, "kaka angenipa ila lile limke lake limekataa", hapo sasa........

sina maana kuwa kile ninachomwambia wife awape hakitekelezeki. kiukweli shida nyingi unakuta ni pesa tu na huwa najua tunaweza au hatuwezi kuwapa ila huwa nachannel tu kwa wife wajue uwepo wake na umuhimu wake. kumbe wewe mkuu hutaki kuachiwa maamuzi hayo magumu?
 
sina maana kuwa kile ninachomwambia wife awape hakitekelezeki. kiukweli shida nyingi unakuta ni pesa tu na huwa najua tunaweza au hatuwezi kuwapa ila huwa nachannel tu kwa wife wajue uwepo wake na umuhimu wake. kumbe wewe mkuu hutaki kuachiwa maamuzi hayo magumu?
Nafanya sana maamuzi magumu, lakini sitaki niwe mlaumiwa namba moja.
Kama nduguyo anakuomba kitu, unamwambia amwombe wife wako, ni dhahiri kuwa anajua inawezekana ila lazima wife ndo aseme. sasa ikitokea mkaja kuliongea wawili na mkagundua hamna uwezo wa kutekeleza ombi lake nduguyo ataamini kabisa wewe ungempa isipokuwa mkeo ndo kazibia. hii badala ya nduguzo kuona uwepo na umuhimu wa mkeo positively, wanamwona ndo mzibaji wa rizki zao, huko ni kumjengea chuki kati yake na nduguzo.
Kwani kuna shida gani kumkubalia nduguyo ombi lake bila kumwambia amwambie wife, kama unaona hilo ombi linatekelezeka? Mimi kama mke naona cha maana tu ni kwamba mume aje anishirikishe na asifanye kwa siri. Kwa upande wangu nadhani anayetakiwa kujua uwepo na umuhimu wangu kwenye familia ni mume wangu.
 
sina maana kuwa kile ninachomwambia wife awape hakitekelezeki. kiukweli shida nyingi unakuta ni pesa tu na huwa najua tunaweza au hatuwezi kuwapa ila huwa nachannel tu kwa wife wajue uwepo wake na umuhimu wake. kumbe wewe mkuu hutaki kuachiwa maamuzi hayo magumu?
Huo ni ubwanyenye mwanaume kwenye nyumba ndio mwenye maamuzi ya mwisho sasa kama wewe kwako huna maamuzi yaani ni tabu,ukiombwa kitu,kipo kipo unapata,si nenda kwa wife,wife anapewa taarifa tu,kuna hili na hili nimefanya hivi!hizi nyumba bhana
 
Huo ni ubwanyenye mwanaume kwenye nyumba ndio mwenye maamuzi ya mwisho sasa kama wewe kwako huna maamuzi yaani ni tabu,ukiombwa kitu,kipo kipo unapata,si nenda kwa wife,wife anapewa taarifa tu,kuna hili na hili nimefanya hivi!hizi nyumba bhana
hii sasa kali.......
 
Nafanya sana maamuzi magumu, lakini sitaki niwe mlaumiwa namba moja.
Kama nduguyo anakuomba kitu, unamwambia amwombe wife wako, ni dhahiri kuwa anajua inawezekana ila lazima wife ndo aseme. sasa ikitokea mkaja kuliongea wawili na mkagundua hamna uwezo wa kutekeleza ombi lake nduguyo ataamini kabisa wewe ungempa isipokuwa mkeo ndo kazibia. hii badala ya nduguzo kuona uwepo na umuhimu wa mkeo positively, wanamwona ndo mzibaji wa rizki zao, huko ni kumjengea chuki kati yake na nduguzo.
Kwani kuna shida gani kumkubalia nduguyo ombi lake bila kumwambia amwambie wife, kama unaona hilo ombi linatekelezeka? Mimi kama mke naona cha maana tu ni kwamba mume aje anishirikishe na asifanye kwa siri. Kwa upande wangu nadhani anayetakiwa kujua uwepo na umuhimu wangu kwenye familia ni mume wangu.

bolded words. Mkuu hilo ndo jibu umesema maana kweye ndoa humu kero zake kama za muungano kuna zinazotekelezeka na nyingine hapana.
 
Huo ni ubwanyenye mwanaume kwenye nyumba ndio mwenye maamuzi ya mwisho sasa kama wewe kwako huna maamuzi yaani ni tabu,ukiombwa kitu,kipo kipo unapata,si nenda kwa wife,wife anapewa taarifa tu,kuna hili na hili nimefanya hivi!hizi nyumba bhana

wewe hujui ulisemalo, nyie ndo madikiteta kwenye ndoa. mimi naishi ndoa sawa na mapenzi ya Mungu. kuwa kichwa haina maana I can not assume my responsibilities! shida watu humu jf hamsemagi ukweli wenu mnaoishi mnataka kuonekana much know, usije kuta mtu kama wewe mke kakukalia kichwani ila maneno meeegi
 
bolded words. Mkuu hilo ndo jibu umesema maana kweye ndoa humu kero zake kama za muungano kuna zinazotekelezeka na nyingine hapana.
[/B]
ha haaaa, kero za Muungano naona tukiamua zinatekelezeka ila za kwenye ndoa ni kizungumkuti, lol!
watu kila siku wanalia na mengine, yaani wanakatisha tamaa
 
ukweli na uongo at the same time.

Kuna baadhi ya wanawake wakiingia kwenye familia, inakuwa kama wamaeingia member alfu wa boko haramu. Sijui ni kwa kujua ama kutojua, wanachonganisha familia nzima. Hapa suluhisho huwa ni mume liyemleta boko haramu huyo, kama anajielewa ama anaweza kum-manage mkewe, mambo huwa nafuu. Ila kama ni mume -----, kasheshe, suluhisho la haraka huwa ni kkumtafutia mahali wakaishi na mkewe mbali na nyumbani, kidogo hupunguza mitafaruku. Kuna kaya jirani, waligombanishwa na wakamwana dah! Na hivi watoto wa kiume walikuwa 5, na wakamwana 5, walikuwa wanaishi jirani jirani tu. Sijui ikawaje hadi mama yao akatimuliwa sababu ya mkamwana, mjane yule akaenda kukaa kwa kijana wake mdogo wa kiume wa 6, ambaye hata hajaoa. Ila walikuwa na wifi yao aliyekuwa anaishi jirani, anauwezo wa kusutana na Dar nzima.

Na kuja shem wangu mmoja, mkewe ni kama alshaba, anagombana na mama mkwe wa miaka 80+, sijui hata anagombana naye nini. Kamfanya mumewe haelewani na mtu hata mmoja, ila mume naye ni bu sho ke tu nadhani. Basi unabaki kumhurumia tu lakini yeye anajiona mbabe wa ukoo.

Hapo kuna wanawake, ambao huwa kama baraka na chanzo cha busara kwa mume. Hata pale palipoonekana kuwa na mtafaruku, unakuta mke anafunika weakness za mmewe, labda kwa kuonyesha ushirikiano na nduguze zaidi. Hapa mfano ni wifi yangu, yale mambo ambayo braza hashiriki kabisa, kama ya kusalimia au kuuguza wagonjwa, wifi ndio mstari wa mbele, so ana cover sana hiyo weakness yake. Kiasi kwamba wao wakiwa tunashiriki kwao sababu ya wifi.

Kwa hiyo, kuna baadhi ya wake wanaleta amani, wengine kwa kweli ni hatari tupu.

Halafu wewe Kongosho.........!
Umesema yotem sina cha kuongeza kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
ukweli na uongo at the same time.

Kuna baadhi ya wanawake wakiingia kwenye familia, inakuwa kama wamaeingia member alfu wa boko haramu. Sijui ni kwa kujua ama kutojua, wanachonganisha familia nzima. Hapa suluhisho huwa ni mume liyemleta boko haramu huyo, kama anajielewa ama anaweza kum-manage mkewe, mambo huwa nafuu. Ila kama ni mume -----, kasheshe, suluhisho la haraka huwa ni kkumtafutia mahali wakaishi na mkewe mbali na nyumbani, kidogo hupunguza mitafaruku. Kuna kaya jirani, waligombanishwa na wakamwana dah! Na hivi watoto wa kiume walikuwa 5, na wakamwana 5, walikuwa wanaishi jirani jirani tu. Sijui ikawaje hadi mama yao akatimuliwa sababu ya mkamwana, mjane yule akaenda kukaa kwa kijana wake mdogo wa kiume wa 6, ambaye hata hajaoa. Ila walikuwa na wifi yao aliyekuwa anaishi jirani, anauwezo wa kusutana na Dar nzima.

Na kuja shem wangu mmoja, mkewe ni kama alshaba, anagombana na mama mkwe wa miaka 80+, sijui hata anagombana naye nini. Kamfanya mumewe haelewani na mtu hata mmoja, ila mume naye ni bu sho ke tu nadhani. Basi unabaki kumhurumia tu lakini yeye anajiona mbabe wa ukoo.

Hapo kuna wanawake, ambao huwa kama baraka na chanzo cha busara kwa mume. Hata pale palipoonekana kuwa na mtafaruku, unakuta mke anafunika weakness za mmewe, labda kwa kuonyesha ushirikiano na nduguze zaidi. Hapa mfano ni wifi yangu, yale mambo ambayo braza hashiriki kabisa, kama ya kusalimia au kuuguza wagonjwa, wifi ndio mstari wa mbele, so ana cover sana hiyo weakness yake. Kiasi kwamba wao wakiwa tunashiriki kwao sababu ya wifi.

Kwa hiyo, kuna baadhi ya wake wanaleta amani, wengine kwa kweli ni hatari tupu.

Kumbe wewe wa kike!
 
Back
Top Bottom