miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
duh wanawake tunakazi aiseeee
Wapo wake ambao ni baraka kwa familia na wapo ambao ni mkosi Kabisaa
Umeona eeehhh!duh wanawake tunakazi aiseeee
Kabla sijaliongelea hili na-declare interest kuwa mimi ni MKE (WIFE).
Kuna ambao watadhani kuwa huu ni utetezi kwa sababu (huenda) nami nikakumbwa na hiki kimbunga siku moja.
Kutoka ndani ya moyo wangu nachukia sana sentensi kama hizi. Mara nyingi familia zinapoingia kwenye migogoro basi mtu wa kwanza kutupiwa lawama huwa ni mke wa mmoja au zaidi walioingia katika familia hiyo. Na mbaya zaidi mama katika familia hiyo anaweza kuwa mstari wa mbele kushikilia hilo, anasahau kabisa kuwa naye alikuwa mke kwenye hiyo familia. Huwa inasikitisha sana na sijui kwa nini watu wanawaza hivyo.
Napenda niwaeleze ndugu wa waume zetu kuwa sisi (wake) tunatambua umuhimu wa familia za waume zetu kuwa na umoja. Msifikirie kuwa kila kibaya ambacho mume anachokifanya kwa familia basi shinikizo linatoka kwa mkewe. Kuna wake ambao ni Blessings katika familia za waume zao, tusiendelee kuwakwaza kwa maneno kama haya.
Nawatakia uvumilivu wake wenzangu pindi tunaposikia maneno kama haya. Mungu anaona nia zetu NJEMA.
Mubarikiwe sana
Rafiki, hao ambao unawaita ni baraka kwenye familia huwa mara nyingi wanaonekana ni mkosi kwenye familia zetu.
Umeongea very very trueTatizo lenu mnapenda kujitokeza mbele sana Kuonesha nguvu zenu kwa mume..stay low muache mume awe mbele
Amina.......
Tatizo mara nyingi zinapotokea changamoto huwa tunahukumu kabla hatujasikilizia kuona hizo hekima za watu wetu
msome SMULakini kwanini hii migogoro itokee baada tu ya mke kuingia kwenye hizi familia???Mara nyingi mtu akioa, wanamke anataka yeye tuu ndio apewe atension, kunakuwa na shinikizo la kukata mawasiliano yote hata na familia yake. Hapo ndipo wanawake wanapokosea.
Umeona eeehhh!
Tatizo lenu mnapenda kujitokeza mbele sana Kuonesha nguvu zenu kwa mume..stay low muache mume awe mbele
Binafsi sina chuki na mama mkwe wangu, tunaelewana vizuri sana, na kati ya nyumba za wanawe anazopenda kukaa sana ni kwangu.(kwenye red!), sijui ni kwa nini lakini wanawake wengi mna "chuki" (sipendi kulitumia hilo neno lakini nimekosa neno mbadala) na mama mkwe! wewe mwenyewe ni mwanamke, kwa lugha nyingine utakuwa mkwe wa mtu kwa wakati fulani! mara wifi, dont you have brothers?!! WANAWAKE MNA MATATIZO YENU.
Ukiwa low ndo kabisaaaaaa...................Tatizo lenu mnapenda kujitokeza mbele sana Kuonesha nguvu zenu kwa mume..stay low muache mume awe mbele
Wana ukoo wanamjua mtoto wao alivyokuwa kabla ya kuoa. Kwa hivyo ni rahisi ku-associate mabadiliko ya tabia ya mtoto wao na mke aliyemuoa. Yapo kwa kweli, lakini pia yapo yasio ya kweli kwenye suala hili. Kwa hivyo ni vigumu kufanya generalisation (for or against).
Lakini cha msingi ni kuwa binaadamu ni dynamic na hivyo kubadilika ni sehemu ya maisha ili kuendana na mazingira na wakati. Kutegemea mtu aendelee ku behave vile vile (kwenye mambo yote) kama ilivyokuwa kabla ya kuoa, naamini sio realistic.
Ndoa zina mambo mengi sana na majukumu yanabadilika/yanaongezeka kadri umri unavyoongezeka. Wengi wetu bado hatujaikubali sana dhana ya "kutoka" kwa wazazi wetu na "kuambatana" na wake zetu. Wengi wetu tumeshindwa "kutoka" au wanaukoo hawataki "tutoke" na ndiyo sababu migogoro na malalamiko kama haya (kati ya ndugu/wazazi na mke) inaendelea kuwepo.
Ukiwa low ndo kabisaaaaaa...................
trust me, mambo mengi huwa yanasababishwa na wanaume wenyewe, siyo kwa makusudi ila kwa kukosea tu kama binadamu wa kawaida, lakini lawama zooooteeeee kwa wake zao. Mi naona huwa wanatafuta mnyonge wao
Tatizo lenu mnapenda kujitokeza mbele sana Kuonesha nguvu zenu kwa mume..stay low muache mume awe mbele
Kwa kweli hapa umeongea jambo la busara. Mtu kubadilika baada ya kuoa ama kuolewa ni kitu cha kawaida, watu wako dynamic.
Mie mwenyewe nahisi naonekana janga kwa ukoo wa watu kwa sababu kuna vitu nimehakiki anabadilika ili kwendana na kasi ya utandawazi. Najua kwa sasa nawakwazaga sana, ila wataelewa baadae sana.
Ukiwa low ndo kabisaaaaaa...................
duh wanawake tunakazi aiseeee