Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #81
Pamoja rafiki
Mdogo wangu asante sana.....
kama wifi nimefaulu, tena kwa kiwango cha juuuuuuu saaaanaaaaaaa. kwetu mimi huwa ni kimbilio la mawifi.....
Namwomba Mungu anisaidie niwe hivyo kwa wakamwana, lol!
Tukomae tu mdogo wangu, ndo dunia ilivyo
Haka kasentensi kamwisho haaaaaka,nimeskia kamesindikizwa na echo ya mama K's voice.
Haya Dada!
Ha haaa haaaaa, mama K mwenyewe. Hukumbuki mimi ndo msaidizi wake?
Yaaaaani!
Nimebaki dah !nilitaka kubiiiiiisha hapa ilahako kasentensi kamenipa ile mama's petying mgongoni af huyooo chumbani kwake kujianzia novena.huku we kakuacha na hako kasentensi.
ha haaa, kinachoniudhi kati ya yote ni kunisingizia.....upande wa mume tunapaswa kuwaheshimu sana
ila mazoea ndio tusiruhusu !!kama wana hila zao zinaishia kwa ndugu yao,na huyo
ndugu hatothubutu kukueleza chochote mradi unaheshimu ndoa
upande wa wenzetu wakikuozoea ni noumer wana choko2 balaa!!
duh pole mwaya,wala usiwachukieha haaa, kinachoniudhi kati ya yote ni kunisingizia.....
bado hayajanikuta sana, ila watu wangu wa karibu sana wamekumbwa na hayo ya kuzushiwa na wakwe zao, huwa inaniumiza sanaduh pole mwaya,wala usiwachukie
cheka nao ila mazoooo yasiwepo
kama walikuzoea,badilika, kua busy na mambo yako
washindwe pa kukuanzia,unakua serious mpaka wakuogope!!
bado hayajanikuta sana, ila watu wangu wa karibu sana wamekumbwa na hayo ya kuzushiwa na wakwe zao, huwa inaniumiza sana
Ni kweli my dear, ila kwa neema ya Mungu tutafika tundoa zina changamoto jamani!!
mungu pekee anatuwezesha
kusonga mbele!!
ha haaaa, wewe mdau wa Serikali 1, 2, au 3?Utanganyika na Uzanzibari.... asante kwa mada .... mi nipo njiani nimekutana nayo bila utashi wangu. Imekaa kijamii na kimapokeo zaidi.
ha haaaa, wewe mdau wa Serikali 1, 2, au 3?
hapo kwenye serikali moja, we are on the same page.1 tuu. Ila na Tanganyika yangu itambuliwe na kuheshimiwa.
hapo kwenye serikali moja, we are on the same page.
Sina uhakika kama naitaka Tanganyika, sijawahi kuiona, lol!
kwa sababu naamini kuna Tanzania, siamini kama kuna Tanganyika wala nchi ya Zanzibar, najua kuna mkoa wa Zanzibar. natamani sana yule wanayemuita Rais kule angejulikana kama mkuu wa mkoaIla una amini ipo na imepotezwa kihuni
Khe kumbe umeoa........... too bad for me lol
Kuwa tough ni one thing, hiyo haizuii kumsingizia mkeo kuwa chanzo cha mgogoro, hata kama utamtetea baadae