STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
baraza lina wafuatao:
Lowasa mambo ya nje
Sita mambo ya ndani
Ngeleja madini
Tibaijuka Ardhi na maendeleo ya makazi
Nahodha- Masuala ya muungano
hizo ndo nimeweza kudodosa!!
Tupeni source.
baraza lina wafuatao:
Lowasa mambo ya nje
Sita mambo ya ndani
Ngeleja madini
Tibaijuka Ardhi na maendeleo ya makazi
Nahodha- Masuala ya muungano
hizo ndo nimeweza kudodosa!!
Shukuru K. ujenzi wa Vichochoro
Zakia. Mtunza hifadhi
Tupeni source.
Shukuru K - ujenzi wa matundu ya choo
mambo mengi yepi kama si haya ya kutumikia nchi yake!?kufuatia mambo mengi aliyo nayo jk, ameahirisha utangazaji wa baraza la mawaziri mpka hapo kesho saa 4 asubuhi.
Mkuu Vp kwani? Mkwere alidondosha Karatasi na umeiokota wewe nini? Ndo maana anashindwa kutangaza.baraza lina wafuatao:
Lowasa mambo ya nje
Sita mambo ya ndani
Ngeleja madini
Tibaijuka Ardhi na maendeleo ya makazi
Nahodha- Masuala ya muungano
hizo ndo nimeweza kudodosa!!
Wanahabari wako Ikulu tangu saa 4:00 asubuhi hii, rais anamalizia kujiangalia kwenye TBC ndipo atoke nje kuja kuitangaza listi yake.
Huyu Mheshimiwa toka enzi ya mwalimu anazunguka kutoka shirika moja kwenda jingine na wizara hivyo hivyo.Nitajie hayo maendeleo aliyoyaleta ktk kila sehemu aliyowahi kufanya kazi ktk utumishi wa uma kuanzia Mkurugenzi wa CDA,Kituo cha uwekezaji na hata hiyo wizara inayosadikika amepewa alishawahi kuiongoza,(hizo ni sehemu chache tu)ktk kipindi zaidi ya miaka 20 kwenye nafasi za juu?Uwezo wa kujenga hoja ni kweli anao lkn kwenye hilo baraza unategemea alete hoja ya katiba mpya wakati akiwa spika hakuona hata umuhimu wa hilo kwa kuruhusu hata hoja ya upinzani ijadiliwe.Hawa wazee inafika wakati wapumzike na wawachie watu wengine wenye mawazo mapya si Kwa Sitta na wengine wote ambao wamekaa muda mrefu kwenye nafasi za juu na bila athari chanya za utendaji wao ukilinganishwa na miaka ya utendaji wao ktk utumishi wa uma.Kwenye Bunge ndiyo alijitahidi kwa kuuma na kupulizia na hiyo ilikuwa mara nyingine ni kwa maslahi yake.Angalia ubadhirifu aliyoufanya wa kujenga ofisi ya spika jimboni na uspika ukaota mbawa?Je hayo ndiyo maendeleo hicho kiasi kingeingizwa kwenye huduma za kimaendeleo ya jamii na wananchi wengi wakafaidika si ingekuwa jambo la busara zaidi?Kama tunaamua kuchagua mabadiliko basi tupige vita hizi recycle type of leadership.......!Kaka hapo unakosea watu hubadirika Sitta sasa ktk CCM ndiye tunamwona wadilifu na anafuata nyayo za baba wa Taifa hivyo ni bora tuombe mungu tetesi hizi ziwe za kweli kwakuwa Sitta anauwezo wa kujenga hoja ya kubadili katiba na mambo mengi yaliyopitwa na wakati kurekebishwa ila sidhani kama CCM inaweza fanya kosa hilo la kumpa sitta wizara hiyo kwakuwa hata NEC anaweza kuiboresha
Sitta ni mwadilifu na mpenda maendeleo ya nchi yetu na watu wake pia ni mjamaa wa kweli mimi nampenda sitta kuendelea kuwa kiongozi wa kitaifa bila kujali anapitia chama gani kwakuwa Sitta ni Mzalendo na mawazo na matakwa yake yako juu ya hila za chama chake chenye mlengo wa kizandiki
Wanahabari wako Ikulu tangu saa 4:00 asubuhi hii, rais anamalizia kujiangalia kwenye TBC ndipo atoke nje kuja kuitangaza listi yake.
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya
Redio na tv sasa ziko live from ikulu but jamaa mkwere hajatokea