Kutoka Ikulu: Baraza la Mawaziri kutangazwa J'tano (kesho)

Status
Not open for further replies.

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,873
Press-Release.jpg
 
Ila inaonekana mheshimiwa ana kigugumizi sana kutangaza!
 
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya

Mkuu Invisible, hii ni ndoto kwa CCM kuruhusu foreign impurities kuingia kwenye mtandao wao!!! Hakuna jipya, sana sana ataongeza idadi ya wanawake na kujisifia.

Anyways, tusubiri.
 
Kwani kuna jipya gani ktk hilo baraza,weka wazi tujue,ama kunamiiiiiiiba? Haya yetu macho twasubiri tuone kifuatacho ikulu

mapinduziiiiiiiiii daimaaaaaaaa
 
Inavyo onekana hali ni tete kwa sababu haiwezi kuwa muda mrefu hivi.
 
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya

bado una-count CUF na NCCR-Mageuzi+Zitto Kabwe kuwa ni kambi ya upinzani?
 
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya

Sitashangaa kusikia Zitto kateuliwa na JK kuwa waziri, amekuwa akitumika vizuri kuleta msuguano ndani ya Chama cha upinzani. Mnakumbuka yaliyotokea alipoteuliwa na JK katika kamati ya madini?
 
Uwezekano wa jipya kuwepo ni mkubwa... Najua wengine mtashtuka ikitokea mtu wa kambi ya upinzani ataingia katika baraza jipya

Mkuu hii kikatiba imekaaje? inawezekana kwa Rais akamchagua mbunge kutoka upinzani na kuwa waziri?
 
Atafanya hivyo kwa msukumo upi mkubwa (kuteua wapinzani), kwa sasa anapata presha kubwa kutoka pande zilizojeruhiwa tangu uchaguzi ulipopita na mafisadi upande wa pili na waliomsaidia kupata 61% kwa upande wa tatu na masilahi ya wananchi kwa upande wa nne. So opposition they have no chance in his thinking.
 
huu yetu macho na masikio??
mhh hata wakiwa wa upinzani sio Chadema lol..
CCM B+ CUF
CCM B- NCCR
CCM B plain TLP
 
Mkuu hii kikatiba imekaaje? inawezekana kwa Rais akamchagua mbunge kutoka upinzani na kuwa waziri?
Mkuu,

Kwani kuna kifungu cha katiba kinachomzuia rais kutowachagua viongozi katika kambi ya upinzani kuwa mawaziri? Ningependa kukipata kifungu hicho
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom