Kutoka Dodoma!

yaani chenge kutokana na uwepo wake siku nyingi ndani ya bunge alikuwa hajui kama kuna camera ? au alikuwa anazibipu kama zinafanya kazi ??

halafu kama kweli tungeshikilia mkazo lile suala la mbowe kuhojiwa jinsi viongozi wanavyouliwa PENGINE haya yasingetokea ! Lakini its too late!
 
LoL,

Interesting. KadaMpinzani... Now you're talking. Penye maslahi ya taifa nafurahi kuona tuko pamoja.

Kuna umuhimu wa kushikamana dhidi ya mambo haya. Yamezidi kiwango na sasa tunataka hatua kali zichukuliwe.

Sio kuwa hawakuwa wanajua kuna camera, walijua bado itakuwa siri ama ndio ujasiri wa kifisadi wenyewe! Watu wanajiamini kupitiliza mkuu...

Not late... It's time for action. Taratibu watajiumbua wengi
 
Field Marshall ES, bora ukapumzike ili utuletee habari nyingine kesho, sasa hivi huo ni kama mgodi wa madini, kalale mkuu. Usiku wema
 
...juzi usiku muungwana likuwa anafoka kama kifutu kuwa JF tunapata wapi hizi nyeti.........kwamba Kenya wamesoma bajeti yetu kabla haijatangazwa? Ikulu kuliwaka moto!.......

Kuna watu wenye uchungu na nchi na hawapendezwi na kile wanachokiona.
Mtandao umekuwa njia mbadala wa upashanaji habari badala ya magazeti, ingawa wenye kupata access ya mtandao ni wachache.
 


samahani kidooogo mkuu naomba unifafanulie hayo maneno niliyoyawekea rangi yake special maana nimeelewa ndivyo sivyo halafu inakua ngumu kuamini kidogo
 
samahani kidooogo mkuu naomba unifafanulie hayo maneno niliyoyawekea rangi yake special maana nimeelewa ndivyo sivyo halafu inakua ngumu kuamini kidogo

Mtaalam rudia kusoma tena na tena utaelewa anasemaje .
 
Mtaalam rudia kusoma tena na tena utaelewa anasemaje .

nimesharudia na kurudia na kujaribu kupata maana nyingi as sentensi tata ila koote nabakia na maana moja tu ambayo ndo hiyo nashindwa iamini maana hao wabunge kina mama wa umri wa kina chifupa mbona wako wachache tu ndani ya bunge letu wengie ni wale kina rita mlaki,na kadhaa wa kadhaa ambao kwa fikra zangu umri umewapiga mkono kwa mambo hayo ndio maana nikataka mkuu anijibu tu wat was de meaning hapo nsije nikawa dat much wrong
 
anyways mambo ya siasa mie kusema ukweli nilisha ya giv up siku mingiiii maana ol in ol asilimia kubwa naona hao wakuu woote huko juu wako kwa manufaa ya matumbo yao na once given nafasi wanasahau sie wananchi tuliowapa nafasi!!!

loh kama tz imefikia huku then ni balaaa!!
 
Umri si hoja. Utashangaa mambo watu wanafanya pamoja na umri kuwa mkubwa

loooh halafu wakitoka humo kina sie ndio tuwaite WAHESHIMIWAAA???!!!
uheshimiwa my foot!!!!!
 
..naona Leo Pale Uwanjani ..its Seems Jk Ali Jet Moja Kwa Moja Kutoka Dom ..kuja Kuangalia Mpira ..he Looked Tense....na Alisindikizwa Na Mpambe Wake Wa Karibu.....bennard Membe..ambaye Bado Alikuwa Amevalia Shati La Ccm....ni Wazi Baada Ya Mpira Moja Kwa Moja Wamerudi Dom....maana Wengi Tulijua Leo Asingeweza Kuja!
 

Ni nani hao wamtafutaye Mchungaji? Kwa nini wanamtafuta Mchungaji? awasaidie nini?
 
Wanasema habari ndio hiyo!


Dah! kila wiki na skendeli jipya...

Richmond, EPA, Kiwira, Kifo cha Bro Ditto, Rama mla vichwa, Chenge na vijisenti, Kifo cha Balali, Mwakyembe augua ghafla, Uchawi Bungeni...what next?

...kama hii ni spin, nawavulia kofia spin doctors wa Tanzania, hali ikiendelea hivi hivi, wallahi wonder-wheel halitakalika tena hili!

...Hivi hata hao wabunge wanakumbuka wataongelea nini kweli, au kila mtu 'roho mkononi!'?

mwe!

mpaka Kizunguzungu wallah!
 
yaani chenge kutokana na uwepo wake siku nyingi ndani ya bunge alikuwa hajui kama kuna camera ? au alikuwa anazibipu kama zinafanya kazi ??
...

kama nimeelewa vizuri nadhani mheshimiwa alikosea timing tuu.
inasemekana kamera za usalama zilikuwa zimezimwa na ni kamera
moja tu ya vyombo vya habari ndio ilikuwa on tena kwa ajili ya testing.

sasa najiuliza je inawezekana mheshimiwa alinong'onezwa na mtu wa
uwt kwamba mambo ni safi kwani kamera zimezimwa bila ya huyo
mtu wa uwt kujua kwamba ipo moja "on" kwa ajili ya majaribio. na kama
haya ndio yaliyotokea basi taifa letu lina hali mbaya kuliko.
 

yep it seems ni vitu they have been doin for a long tym ila wakaja bugi step ama ndio sie tuseme arobaini ikawafikia wao waseme siku ya kufa nyani miti yooote huteleza maana kila mahala mambo kwao ni moto hayashikiki wala kutamanika!!!no wonder why mtalii akajionelea aende mara moja kumuona etoo kwa japo dakika arobaini na tano!!
 

You're such a dumb with childish questions, no wonder you call yourself hollo, you must have a HOLLOW BRAIN.
 

mwee mie ningekua ndio mmojawao ningekua naingia na kistuli kangu bungeni kikao kikiisha mwanawane kistuli begani narudi kwangu kama mambo yenyewe ndo haya walllahi hata kupeana mkono nje ya bunge ingekau mwisho!!!if chenge kafikia stage ya kudo this ntawaaminije wengineo sasa????
 

Jamani mimi nimeachwa tingax2 ni nani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…