SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Du hii sasa kali imeniacha hoi. Mheshimiwa Highness Kiwia amesema hataacha maandamano kwani ndo yamemleta hapo Mjengoni- Kwahiyo kuacha maandamano ni sawa na mtu kumtukana baba na mama- Hinyo maandamano ni kama Baba na Mama kwa mh. Highness.Utakuwa umechelewa sana kugundua hilo. Tangu bunge limeanza hajawahi kuonekana Star TV hata kwenye shughuli zinazofanyika Mwanza ama bungeni. Hilo ni agizo toka kwa bwana mkubwa DIALO mwenyewe kwa wafanyakazi wake na wameshaonywa kuwa akija kuonekana kwenye TV yake basi wewe uliyemuonyesha kibarua huna. Siasa na umiliki wa vyombo vya habari ndio matokeo yake haya