Kutoka Bungeni-Star TV wamnyima coverage Mbunge Hines CHADEMA Ilemela

Ndiyo tunarudi kule kule kwamba tujiulize,je wamiliki wa vyombo vya habari hawana influence katika kile wanachoripoti vyombo vya habari? Anyaways,Jumapili asubuhi nimeitwa kwenye kipindi star TV sidhani kama watanikatili

Ningependa kutoa comments kidogo kuhusu mwaliko wako star tv,

Lakini kabla sijafanya hivyo, ningeomba kufahamu atakayeendesha kipindi siku hiyo, ni yahya mohamed, james range, baruanj muhuza au ni paul mabuga??
 
Binadamu bana kumzuia haiwezekani utamchelewesha tuu. Hii ya kuzuia watu wasipate haki yao ni mbaya sana tena sana.

Nikiwa Iringa form 2 nakumbuka kulikuwa na mechi ya kukata shoka kati ya Highlands sec na TOSAMAGANGA, Tosa wakapiga bao la kwanza jamaa wa tosa wakajaa uwanjani wanashangilia, kitendo hicho kikamuudhi refa akawaambia hakuna kushangilia kuingia uwanjani, mechi ikaendelea.

The TALENTED MARADONA akaandika bao la pili bana basi jamaa wa tosa wakashangilia kuelekea barabarani yaani wakielekea mbali na uwanja, kile kitendo kilitufurahisha sana hasa ikichukuliwa jamaa wa tosa walikuwa wakiupiga si mchezo, tukajawa na furaha sana. sasa hili la Star TV kutomwonesha mbunge wetu sasa hivi linatukera sana lkn nadhani 2015 tukipiga bao la pili tutajaa furaha tele!!!
 
Ningependa kutoa comments kidogo kuhusu mwaliko wako star tv,

Lakini kabla sijafanya hivyo, ningeomba kufahamu atakayeendesha kipindi siku hiyo, ni yahya mohamed, james range, baruanj muhuza au ni paul mabuga??

Hata mimi simjui, unaweza kutoa comments tu mkuu au hao watu watakuongoza katika mwelekeo wako wa comment?...i dont get yo point.
 
<font size="4"><font color="#0000cd">Utakuwa umechelewa sana kugundua hilo. Tangu bunge limeanza hajawahi kuonekana Star TV hata kwenye shughuli zinazofanyika Mwanza ama bungeni. Hilo ni agizo toka kwa bwana mkubwa DIALO mwenyewe kwa wafanyakazi wake na wameshaonywa kuwa akija kuonekana kwenye TV yake basi wewe uliyemuonyesha kibarua huna. Siasa na umiliki wa vyombo vya habari ndio matokeo yake haya</font></font>
<br />
<br />
Aah!Hii balaa,hawa watu bana hawana maana kabisa!
 
Kwenye kipindi chao cha jumapili asubuhi kwenye Medani za Siasa.......nasubiri mada!

Mkuu hebu kuwa makini kidogo, sasa umepata mwaliko wa kwenda kwenye kipindi bila kufahamishwa mada na wewe unakubali tu. Sasa utakwenda kuongea nini? hudhani kwamba ni muhimu kufahamu mada ili uweze kufanya maandalizi ya muhimu?

Hata mimi simjui, unaweza kutoa comments tu mkuu au hao watu watakuongoza katika mwelekeo wako wa comment?...i dont get yo point.

Nikimfahamu mwendesha kipindi basi nitajua nikushauri nini, maana hawa watu tuna uzoefu nao jinsi wanavyo behave wakiwa na wageni wa kutoka upande wa pili.

btw, ina maana wewe umealikwa bila kukfahamishwa mwenyeji wako?
 
Ndiyo tunarudi kule kule kwamba tujiulize,je wamiliki wa vyombo vya habari hawana influence katika kile wanachoripoti vyombo vya habari? Anyaways,Jumapili asubuhi nimeitwa kwenye kipindi star TV sidhani kama watanikatili
<br />
<br />
man i will watch you,
 
Kwa wanaotazama bunge,mbunge wa Ilemela amechangia wizara ya mambo ya ndani kwa tarikani dk 8 hivi lakini STAR TV inayomilikiwa na DIALO aliyengolewa na HINES amenyimwa coverage kwa muda wote huo.

Walikuwa wakionesha tu picha za wabunge wegine huku ikisikika tu SAUTI yake pekee

Je hili ni iagizo la DIALO kwa wafanyakazi wake
Hizo TV za Mafisadi mnazitakia nini? Tumeshasema siku nyingi kuwa cdm ianzisha vyombo vyake vya habari na sisi wapenzi tuko tayari kununua hisa ili kukuza mtaji wa vyombo husika.
 
Mkuu hebu kuwa makini kidogo, sasa umepata mwaliko wa kwenda kwenye kipindi bila kufahamishwa mada na wewe unakubali tu. Sasa utakwenda kuongea nini? hudhani kwamba ni muhimu kufahamu mada ili uweze kufanya maandalizi ya muhimu?



Nikimfahamu mwendesha kipindi basi nitajua nikushauri nini, maana hawa watu tuna uzoefu nao jinsi wanavyo behave wakiwa na wageni wa kutoka upande wa pili.

btw, ina maana wewe umealikwa bila kukfahamishwa mwenyeji wako?

Ndiyo mana nikasema nasubiri mada.....ina maana nimejiwekea deadline hadi ifike saa 10 jioni leo kama sitapewa mada.Nita-cancel hiyo Ratiba.

Kuhusu wanavyo-behave, itakuwa juu yangu ya ku-handle hiyo situation yoyote nitakayokutana nayo. Positive attitude or negative attitude yote itabidi kuangalia njia ya kupambana nayo but iam always optimistic
 
CDM hawana shukurani Star TV ndio TV ya Heche kila waki lazima wamuonyeshe!
 
Du! Hayo makubwa sasa asanteni wakuu na mimi nimefahamu hilo la star tv! Kumbe wanatabia chafu hivyo pole sana mzee dialo na hiyo star tv yako.
 
Kwa taarifa tu ni kwamba kuna wakati LOWASA alipigwa total ban pia Star TV tena wakati akiwa waziri mkuu na habari zake zilipigwa marufuku kutoka kwenye tv hiyo baada ya ule mtandao wao wa 2005 kuanza kumegeka, ilikuwa haina jinsi pale waziri mkuu alipokuwa anafunga bunge maana ilikuwa lazima wamuonyeshe ingawa si mara kwa mara, nimeifuatilia trend hii ya star tv kwa muda mrefu na nikabaini yote haya. Dialo ana chuki za aina yake kwa wanasiasa wenzakehasa wale wanaosigana kimtazamo na huwa anaitumia tv yake kama silaha ya kuwakomoa maana mtandao wa star ni mkubwa. maagizo yote hayo huwa wanapewa wafanyakazi na wanatakiwa kuyatekeleza kama wanapenda kazi yao, kama huipendi basi nenda kinyume uone shughuli yake

bibikuku anapiga pushap....guud
naona pushapu zako zna manufaa..kp t up
 
Katika TV inayoibeba CDM hapa nchi ni STAR TV kila Jumapili tuongee asubuhi lazima wanachama wa CDM wale wanafunzi wa SAUT, wanapewa nafasi wanamwaga pumba zao! Hata Pro-CDM- JF, nawo pia huwa wanabebwa na STAR TV katika michango yao kupitia JF,&lt;br /&gt;<br />
Leo eti STAR TV wamekuwa wabaya, bora umfadhili mbuzi kuliko binadamu
 
Star TV wajinga tunaweza tukawachachamalia wananchi wakafutwa kwenye TV zenye haki kuonyesha maatukio bungeni kwa sababu analipwa kwa kodi za wananchi wasitubabaishe bwana.

Kwanza siku hizi wameacha kuwa sauti ya umma,simu zikipigwa na wananchi wanazikatakata mbona ITV sema usikike na Baragumu Channel ten hawakati simu za wasikilizaji wanasikiliza na kuitolea maelezo haja ya mpiga simu
 
Katika TV inayoibeba CDM hapa nchi ni STAR TV kila Jumapili tuongee asubuhi lazima wanachama wa CDM wale wanafunzi wa SAUT, wanapewa nafasi wanamwaga pumba zao! Hata Pro-CDM- JF, nawo pia huwa wanabebwa na STAR TV katika michango yao kupitia JF,&lt;br /&gt;<br />
Leo eti STAR TV wamekuwa wabaya, bora umfadhili mbuzi kuliko binadamu

Kuna ka ukweli fulani lakini kama ujuavyo silka ya binadamu ni kujipenda kuliko kawaida
 
Ndiyo tunarudi kule kule kwamba tujiulize,je wamiliki wa vyombo vya habari hawana influence katika kile wanachoripoti vyombo vya habari? Anyaways,Jumapili asubuhi nimeitwa kwenye kipindi star TV sidhani kama watanikatili

Ndani ya Migwanda tushirikisheni mada basi mukiambiwa ili tuchangie hapa jamvini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom