Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Ndiyo tunarudi kule kule kwamba tujiulize,je wamiliki wa vyombo vya habari hawana influence katika kile wanachoripoti vyombo vya habari? Anyaways,Jumapili asubuhi nimeitwa kwenye kipindi star TV sidhani kama watanikatili
Ningependa kutoa comments kidogo kuhusu mwaliko wako star tv,
Lakini kabla sijafanya hivyo, ningeomba kufahamu atakayeendesha kipindi siku hiyo, ni yahya mohamed, james range, baruanj muhuza au ni paul mabuga??