Wakuu, redio yao yaani Radio Free Africa huwa wanajiunga na matangazo ya sauti ya Ujerumani na BBC Idhaa za kiswahili.
Sasa kama hamku note wakati ule wa sakata la kukamatwa kwa Mbowe, kila idhaa hizo zilipokuwa zinaripoti kuhusu sakata hilo RFA walikuwa wanakata matangazo! Tangu hapo idhaa za nje nazitafuta kupitia vituo tofauti vya redio.
By the way ben nimesubiri kipindi lakini naona kitu tofauti.Angelo mwaleka yupo na akina meena wanajadili juu ya uandishi wa habari za siasa na uchumi.Hujatujulisha kama ulicancell ben!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.