Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 46
Asha hao walikuwa wanachangia as Chadema au Serikali kivuli ya Wapinzani?....
Kama nimekukera na UCCM wako kameze chupa! Wasemaji wa upinzani wanasema kupitia hotuba. Michango hiyo ya kina Dr Slaa, Zitto, Cheyo nk wamezungumza kama wabunge wakiwakilisha majimbo yao ya uchaguzi kwa tiketi ya vyama vyao. Lakini soma hitimisho langu, nimesema wapinzani endeleeni kukandamiza kibara mpaka kieleweke. Hii sasa ni kwa ujumla wao!
Asha