Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
there u go again.....unatia maneno mdomoni na kwenye fikra zangu. Mwkjj ni sniper in the open, nadhani umenipata hapo. Tatizo lako wewe ni "its about winning," basi umeshinda na endelea kufikiria unavyotaka.........kwi kwi kwi kwi hata Sumaye pia kasoma Harvard kwi kwi kwi!!! Post ya mwisho hii napost kulumbana na wewe. Otherwise, welcome to the city of champions.!! Je wajua kwamba Celtics ndio timu pekee ambayo haijafungwa so far kwenye NBA msimu huu?? Don't hate na punguza hasira, mungu pia hayupo fair, sometimes I think labda na yeye pia ni FISADI!!!. Eazy now, have a nice day.
Hii mie niliistukia ni uzushi pale tu nilipoiona, watu hapa inabidi waache kuwa naive, its a dog eat dog world we'r living in.
Huruma, Hasara na maustaadhi wengine wawili majina kapuni si waaminifu. MWKJJ nae siku za karibuni amekuwa anashabikia sana upuuzi huu wa kuwapigisha watu kanyaboya, yeye anafikiri ni sifa kumbe ana jiharibia credibility yake(kama anayo). Prove ya tuhuma hizo juu ya MWKJJ....... ni wewe kuangalia juu ya thread hii, ile ya picha za JK na ile inayosema kwamba kanunuliwa, utaona maongezi yake na kama upo 'gado' mukichwa basi utaona ka-pattern flani hivi ka-kifisadi!!!.
Nyingi........sijui ninyi wenzangu lakini mie nikiona "kuku mgeni" kaja na "news mvunjiko" basi huwa nakuwa makini bin skeptical na si kujiunga tu na band wogan, ktk mtkasi wa kukidhi ile 'mentality' ya kuwa kwamba mie pia nilikuwapo, nilichangia au vyovyote, utajijua akilini mwako ulikuwa unafikiria nini wakati unachangia kwenye thread ya kizembe.
Mfano kuna thread hapa mpya imekuwa posted masaa machache yalopita, juu ya baraza la mawaziri kuvunjwa. Angalia ile thread vizuri.............mie naweza kusema alopost alikuwa analengesha, hana data na ni mzushi.
Siku za nyuma hapa nilisha sema kwamba wale walozoea kudeka/kudekezwa basi wakae wakijua kwamba "nanny" kachukua vacation......na ktk kila story kuna version mbili aidha zinakuwa binafsi au kwa pamoja. Nazo ni authentic news au kanjanja(bootyleg) news..........wasee, sio kila thread yenye kichwa cha habari kizuri basi ukategemea kupata your time wealthy materials. Wasanii wamekuwa wengi, ila tu watu hawa wakae wakijua kwamba tabia hii nayo ni UFISADI.
Nilikuwa natoa my two cents, Thanx.
Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!
Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.
Kuwa na nice day pia!
Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!
Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.
Kuwa na nice day pia!
Mwanakijiji, some things are better left unsaid. Maybe you should have just kept quite. I don't know...that's just what I think.
But can you really take a punch...has your chin really been tested by someone who can punch...or you're just bluffing again..? Someone told me you punch like a woman...Lol
Takbiru Ala Walibalu
I LOVE JUMBOFORUMS!
SteveD.
Kitila Mkumbo said:This guy needs psychotherapy urgently! Maybe we can create a rehab corner somewhere here in JF to help people like this guy.
Hahahaha...Mwafrika what's up? Yeah..I think dude needs some of that prescription strength psychoactive medication...Let me see how I can help him...
mwafrika mbona hukutuambia binti yetu kawa mshindi wa tatu.. you know tulipiga debe na ni kwa juhudi zako ameweza kutesa.. yaani wabongo tunatesa kuanzia Afrika Kusini, sasa America na mwezi ujao Sanya!!!!
This guy needs psychotherapy urgently! Maybe we can create a rehab corner somewhere here in JF to help people like this guy.
Moderators hii thread sasa inatakiwa ipotee kiaina kama ilivyopotea ile fake breaking news kuhusu JK kuvunja cabinet. Hii nayo ni fake kabisa na inatupotezea muda tu. Madamu Huruma amepotea na mikwara yake itoeni tafadhali.
PS: Hii tabia ya kudanganya ilianza na yale mambo ya picha na naona sasa inazidi kuota mizizi. MKJJ: You opened a pandora's box and this bad habit may never end soon, you owe us a huge apology once again!
mzee mwenzangu nisaidie tu niombe radhi kwa lipi?
sawa mzee.. nimekupata kabisa
Ooh, hivi sikuweka "kidding" mbele, pole na samahani sana. it's 100% a joke!