Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
there u go again.....unatia maneno mdomoni na kwenye fikra zangu. Mwkjj ni sniper in the open, nadhani umenipata hapo. Tatizo lako wewe ni "its about winning," basi umeshinda na endelea kufikiria unavyotaka.........kwi kwi kwi kwi hata Sumaye pia kasoma Harvard kwi kwi kwi!!! Post ya mwisho hii napost kulumbana na wewe. Otherwise, welcome to the city of champions.!! Je wajua kwamba Celtics ndio timu pekee ambayo haijafungwa so far kwenye NBA msimu huu?? Don't hate na punguza hasira, mungu pia hayupo fair, sometimes I think labda na yeye pia ni FISADI!!!. Eazy now, have a nice day.
Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!
Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.
Kuwa na nice day pia!