Kutesa Kwa Zamu- Ikulu

there u go again.....unatia maneno mdomoni na kwenye fikra zangu. Mwkjj ni sniper in the open, nadhani umenipata hapo. Tatizo lako wewe ni "its about winning," basi umeshinda na endelea kufikiria unavyotaka.........kwi kwi kwi kwi hata Sumaye pia kasoma Harvard kwi kwi kwi!!! Post ya mwisho hii napost kulumbana na wewe. Otherwise, welcome to the city of champions.!! Je wajua kwamba Celtics ndio timu pekee ambayo haijafungwa so far kwenye NBA msimu huu?? Don't hate na punguza hasira, mungu pia hayupo fair, sometimes I think labda na yeye pia ni FISADI!!!. Eazy now, have a nice day.

Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!

Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.

Kuwa na nice day pia!
 
Hii mie niliistukia ni uzushi pale tu nilipoiona, watu hapa inabidi waache kuwa naive, its a dog eat dog world we'r living in.
Huruma, Hasara na maustaadhi wengine wawili majina kapuni si waaminifu. MWKJJ nae siku za karibuni amekuwa anashabikia sana upuuzi huu wa kuwapigisha watu kanyaboya, yeye anafikiri ni sifa kumbe ana jiharibia credibility yake(kama anayo). Prove ya tuhuma hizo juu ya MWKJJ....... ni wewe kuangalia juu ya thread hii, ile ya picha za JK na ile inayosema kwamba kanunuliwa, utaona maongezi yake na kama upo 'gado' mukichwa basi utaona ka-pattern flani hivi ka-kifisadi!!!.
Nyingi........sijui ninyi wenzangu lakini mie nikiona "kuku mgeni" kaja na "news mvunjiko" basi huwa nakuwa makini bin skeptical na si kujiunga tu na band wogan, ktk mtkasi wa kukidhi ile 'mentality' ya kuwa kwamba mie pia nilikuwapo, nilichangia au vyovyote, utajijua akilini mwako ulikuwa unafikiria nini wakati unachangia kwenye thread ya kizembe.
Mfano kuna thread hapa mpya imekuwa posted masaa machache yalopita, juu ya baraza la mawaziri kuvunjwa. Angalia ile thread vizuri.............mie naweza kusema alopost alikuwa analengesha, hana data na ni mzushi.
Siku za nyuma hapa nilisha sema kwamba wale walozoea kudeka/kudekezwa basi wakae wakijua kwamba "nanny" kachukua vacation......na ktk kila story kuna version mbili aidha zinakuwa binafsi au kwa pamoja. Nazo ni authentic news au kanjanja(bootyleg) news..........wasee, sio kila thread yenye kichwa cha habari kizuri basi ukategemea kupata your time wealthy materials. Wasanii wamekuwa wengi, ila tu watu hawa wakae wakijua kwamba tabia hii nayo ni UFISADI.
Nilikuwa natoa my two cents, Thanx.

YNIM, jiunge kwenye klabu ambayo tayari ina wanachama wengi... angalia posti yangu ya kwanza kuhusu "kutesa kwa zamu Ikulu" uone nilisema nini (nothing really). Angalia posti iliyohamishwa kuhusu baraza la mawaziri nilisema nini na the efforts I took to confirm it. Tatizo lako wewe (kama wengine kwa makosa) unafikiri suala la picha ni bluff. Nilichokosea ni kusema ninazo ningekaa kimya tu ingekuwa bora. Lakini ningekaa kimya uchafu wa viongozi wa kisiasa ungeendelea kumwaga hapa kama ujinga! Niliamua kuwaambia zipo na ningeziweka hapa kwa sababu watu wajue "ukijua hili wenzio wanajua lile". Ulisikia baada ya kile kilichotokea hapa watawala wetu wamesema nini.. wamekuja na suluhu, hata gazeti lao la Majira lililoandika upuuzi limeingia kwenye suluhu na sasa wanaelewa kuwa kuna nguvu katika mtandao wa mawasiliano. Ujumbe uliotumwa ulikuwa loud and clear, mimi nimeelewa, wao wameelewa na wachache hawataki kuelewa. Hivi umejiuliza mbona hujasikia mazungumzo ya uchafu kama huo kuendelea? unafikiri ni ajali tu. Tumeirudisha JF katika hadhi yake na hilo sisi sote lazima tuone fahari! I know we have to pay a very heavy price ya kufanya hivyo.

Unafikiri ni kwanini a day after Rais JK alitaka siasa za uchafu ziachwe? Ukirudi na kusoma maelezo ya zile picha utaona kuwa wale wanaojua uwepo wa picha hizo wameelewa description na wanaohusika wanaelewa I aint' bluffing. Kugoma kwangu kuziweka hadharani au kumtumia mtu mwingine yoyote ni uamuzi ambao nimeufikiria na hata baadhi ya watu wa karibu kabisa sijawapatia. Sasa mimi kutokufanya hivyo imekuwa ni "kujishushia hadhi" kwa vile sijawapa watu picha hizo hapa au kuzibandika hapa na hilo ni sawa na ufisadi, believe me I'm ready to pay that price! Ndio maana sijamwomba msamaha mtu yeyote na wala wasitegemee! Kwenye mambo ya kuomba msamaha mimi sina tatizo lolote lakini kwa hili I am more than on a solid ground..

Sasa wewe kama wengine mkitaka kutumia "mwanakjj" kama punching bag ya hoja zenu you are more than welcome, nimeshasema I can take any punch and i can give mine too, and a quite a few of them as a matter of fact.
 
Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!

Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.

Kuwa na nice day pia!


This guy needs psychotherapy urgently! Maybe we can create a rehab corner somewhere here in JF to help people like this guy.
 
Mwanakijiji, some things are better left unsaid. Maybe you should have just kept quite. I don't know...that's just what I think.
But can you really take a punch...has your chin really been tested by someone who can punch...or you're just bluffing again..? Someone told me you punch like a woman...Lol
 
Just take some times kusoma posts zako uone ulivyodevelop hate na obsession kwa Mkjj and now kwa JF. Inaonekana unahitaji some kinda treatment toka kwa Ngabu or SteveD!

Otherwise, ninaona vitu vyenu kwa Pats, Red Sox na Celtics. Take it cool, punguza hasira na chuki dhidi ya Mwanakijiji na uone vile life yako itakuwa very ize. Punguza pia kupondea JF na life yako itakuwa smooth hadi ushangae.

Kuwa na nice day pia!

Hahahaha...Mwafrika what's up? Yeah..I think dude needs some of that prescription strength psychoactive medication...Let me see how I can help him...
 
Mwanakijiji, some things are better left unsaid. Maybe you should have just kept quite. I don't know...that's just what I think.
But can you really take a punch...has your chin really been tested by someone who can punch...or you're just bluffing again..? Someone told me you punch like a woman...Lol

yeah.. nisitambe kupunch kwani one time nilipokuwa boarding school nikajifanya nataka kujiunga timu ya ndoni ya shule. Tukapewa gloves, rafiki yangu si akanishtukiza "Pu!" usoni nikaanguka chini nikaanza kuona nyota na ndege wakiruka ruka. Nilipozinduka nikavua gloves na kwenda kujiunga na timu ya Soka!! Lakini nikaapa, I'll never let a person even dish me you do that I punch you!! LoL.. sitaki kuwa kwenye floor huku nahesabu mienge!
 
Kitila Mkumbo said:
This guy needs psychotherapy urgently! Maybe we can create a rehab corner somewhere here in JF to help people like this guy.

Yes Kitila, so far tuna madaktari bingwa kabisa hapa JF ambao wanafanya hiyo kazi kwa mafanikio kabisa - Ngabu na SteveD.

Soma hii ya the legendary Ngabu:

Hahahaha...Mwafrika what's up? Yeah..I think dude needs some of that prescription strength psychoactive medication...Let me see how I can help him...

Unajua YNIM sometimes anachukulia life so serious hadi sasa inabidi awekwe kwenye dozi kwa lazima... ha ha haha ha
 
mwafrika mbona hukutuambia binti yetu kawa mshindi wa tatu.. you know tulipiga debe na ni kwa juhudi zako ameweza kutesa.. yaani wabongo tunatesa kuanzia Afrika Kusini, sasa America na mwezi ujao Sanya!!!!
 
mwafrika mbona hukutuambia binti yetu kawa mshindi wa tatu.. you know tulipiga debe na ni kwa juhudi zako ameweza kutesa.. yaani wabongo tunatesa kuanzia Afrika Kusini, sasa America na mwezi ujao Sanya!!!!

Acha tu,

yaani mi nikajitolea kumpigia debe mwanaccm hapa kwa nguvu zote na kuonyesha utaifa wangu lakini watu wakanishikia bonge la bango na waka-whine kama hawana huruma vile!

Nimeona nijikalie kimya tu maana naona ninavutiwa na siasa zaidi kuliko hayo mengine!

Thanks kwa kuonyesha hili pia!
 
....i see classes in this JF house, jamani content matters na si vinginevyo, yaani hi thread inapoelekea ni pure joke and dont get me wrong it started well!! dont deviate from the main point guyz!! NI MTAZAMO TU MSICHUKIE!!
 
Moderators hii thread sasa inatakiwa ipotee kiaina kama ilivyopotea ile fake breaking news kuhusu JK kuvunja cabinet. Hii nayo ni fake kabisa na inatupotezea muda tu. Madamu Huruma amepotea na mikwara yake itoeni tafadhali.

PS: Hii tabia ya kudanganya ilianza na yale mambo ya picha na naona sasa inazidi kuota mizizi. MKJJ: You opened a pandora's box and this bad habit may never end soon, you owe us a huge apology once again!
 
This guy needs psychotherapy urgently! Maybe we can create a rehab corner somewhere here in JF to help people like this guy.

Psychotherapy!!!!? sijui hata kama unajua jinsi inavyofanywa. Well, sipo hapa kukubaliana na wewe kwani ni dhahiri hatuongei lugha moja...........tatizo lako unapenda kukimbilia personals!!. Ati I need psychotherapy, what a cheap argument to make ktk online forum?? Haya bwana, nakutakia siku njema. Kasome tena Segmund Freud!!!! ni ushauri.
 
Moderators hii thread sasa inatakiwa ipotee kiaina kama ilivyopotea ile fake breaking news kuhusu JK kuvunja cabinet. Hii nayo ni fake kabisa na inatupotezea muda tu. Madamu Huruma amepotea na mikwara yake itoeni tafadhali.

PS: Hii tabia ya kudanganya ilianza na yale mambo ya picha na naona sasa inazidi kuota mizizi. MKJJ: You opened a pandora's box and this bad habit may never end soon, you owe us a huge apology once again!


mzee mwenzangu nisaidie tu niombe radhi kwa lipi?
 
Ooh, hivi sikuweka "kidding" mbele, pole na samahani sana. it's 100% a joke!

Mr. Kitila if u wanna make jokes you are welcome to join the circus, this is a bit serious, for instance mi nipo hapa nimetoa macho nusura nikupe Thankx.Wrong timing for the jokes bro!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom