OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba mwenye PhD zake za uchumi amekubali kuondoa tozo kwenye sukari kwa 10%. Ni jambo jema lakini naomba nimkumbushe yafuatayo.
Sukari ina impat kwa bidhaa nyingine lakini impact kubwa na inayosafiri kwa haraka ni impact inayotokana na bei za mafuta. Ieleweke jambo moja kwamba mafuta ni bidhaa mama, au bidhaa inayobeba uzalishaji wa bidhaa nyingine ndio sababu impact yake husafiri kwa haraka kwa kuwa uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa nyingine huathirika kwa haraka mara baada ya mafuta kubadilika bei zake.
Pia ameshauri rais mambo bora kwa kuwa hivi karibuni Rais amerudisha tozo ya Tsh. 100 kwa kigezo kuwa ilikuwa kwenye bajeti na wakati huo akubali kuondoa 10% ya tozo. Je, hii sio kumuonesha rais kuwa anajipinga muda wote?
Mwigulu, Mchumi unatambua unachojaribu kukitibu ni kile ambacho kina impact padogo yaani ni sawa na kukomaa kucontrol core inflation wakati uhalisia wa watu uko kwenye headline inflation. Mafuta yapo kwenye headline inflation.
Tuanze na bei za mafuta.
Signed
OEDIPUS
Sukari ina impat kwa bidhaa nyingine lakini impact kubwa na inayosafiri kwa haraka ni impact inayotokana na bei za mafuta. Ieleweke jambo moja kwamba mafuta ni bidhaa mama, au bidhaa inayobeba uzalishaji wa bidhaa nyingine ndio sababu impact yake husafiri kwa haraka kwa kuwa uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa nyingine huathirika kwa haraka mara baada ya mafuta kubadilika bei zake.
Pia ameshauri rais mambo bora kwa kuwa hivi karibuni Rais amerudisha tozo ya Tsh. 100 kwa kigezo kuwa ilikuwa kwenye bajeti na wakati huo akubali kuondoa 10% ya tozo. Je, hii sio kumuonesha rais kuwa anajipinga muda wote?
Mwigulu, Mchumi unatambua unachojaribu kukitibu ni kile ambacho kina impact padogo yaani ni sawa na kukomaa kucontrol core inflation wakati uhalisia wa watu uko kwenye headline inflation. Mafuta yapo kwenye headline inflation.
Tuanze na bei za mafuta.
Signed
OEDIPUS