Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia

Hatuwezi kuzuia chaguzi kufanyika bila kujiridhisha mazingira? Hata hatuwezi kuwa infiltrate mbona Odinga aliwahi jiunga KANU?

Si ni wa kusikiliza tu, hewala bwana?
Ndio tujaribu kipindi hiki. Shida upinzani hawana umoja wengine watashiriki.
 
Nimekusoma nikajikuta nacheka kama mazuri, kila siku kulia lia kama tuliambiwa CCM ni charity organisation!

Umeniamsha usingizini, kumbe huu wimbo wa CCM wameiba kura unatakiwa kufa automatically, kama CCM kuiba kunawawezesha wao kufikia malengo yao ni wazi wataendelea kuiba no matter what!.

Kama wakiendelea kuiba, nasi tukiendelea kulia wanaiba, kumbe CCM ndio wenye faida kwa sababu wanakuwa tayari wameshayafikia malengo yao, huku sisi wakulia lia ndio tunaendelea kutwanga maji kwenye kinu kila siku!.

Hapa tukubaliane tu ukweli mchungu, kama hatuwezi kuwazuia CCM kutuibia kwa vitendo, na sio kwa kulia lia kama ilivyozoeleka, bora tuwaache waendelee kututawala wapendavyo.
Haya ndo mambo ya kujadili na kuweka mkakati.
Hii kulialia kila uchao eti oooh CCM wezi, sijui wameuza bandari, wameuza nchi, mara wanaiba uchaguzi, kama hatuna mkakati wa kuifanya CCM ifike mwisho wa dhuluma hz ni bora kuungana nao tu nasi tufaidi mema yao japo ya haramu
 
Tufike mahali tuelezane ukweli. Chama hata tovuti zake hakuna updates, hata vi online TV bora vya kina AYO. Macho sasa yapo kwenye ubunge 2024/25 kwa Katiba hii hii. Nini tofauti na kina Bulaya?
Dah we jamaa leo vp!
Mbona unawachana sana watu...
 
Walisema penye nia pana njia. Tunashindwa vipi kuweka mikakati ya ushindi tukashinda? Kwa hakika si Kwa kulia lia. Tufike mahali tukubaliane kuibiwa na kukwiba ni sehemu ya mchezo. Kulia lia iwe marufuku!
Hata kwenye football kucheza rafu ni mbinu ya ushindi pia.
Kweli nimekuelewa mno...
 
Mikakati ya ushindi mara zote huwekwa, bahati mbaya hatuna uvumilivu wa kuisimamia mpaka matunda yaonekane.

Unapokuwa na mipango ya hakuna uchaguzi mpaka Katiba Mpya ipatikane, halafu ghafla wengine miongoni mwenu wanaanza kusema 2025 lazima nitamtoa fulani jimbo fulani, hayo kwangu ndio maandalizi ya vilio vya nimeibiwa kura...
Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.
Mi nna uhakika huyu mama hatokuwa na kifua cha kuvumilia hiyo hali kwa sababu anapenda sana kuonekana yeye ni Mwanademokrasia mbele ya wazungu
 
makuwadi na guruwe wa warabu nenden dubai mabwege na mabwabwa yasiyoweza kushinndana kwa haki yakitegemea mbwa waliojivika mavaz ya kulinda raia na mali zao ifikapo 2025 mamayenu atakimbilia Dubai huku makuwadi ya dpworld mkichagua either kubaki mkione cha mtemakuni au mkimbilie Burundi.
Kwa aina hii ya kwako, tusahau kuitoa CCM
 
Ndio tujaribu kipindi hiki. Shida upinzani hawana umoja wengine watashiriki.

Mambo hufanikiwa Kwa mikakati. Mikakati yote overt na covert kwenye medani ya vita ni muhimu.

Hata bila kuungana kama dhamira ilikuwapo chama chochote kiliweza kuleta mabadiliko:

IMG_20220927_190940_421.jpg
 
Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.
Mi nna uhakika huyu mama hatokuwa na kifua cha kuvumilia hiyo hali kwa sababu anapenda sana kuonekana yeye ni Mwanademokrasia mbele ya wazungu

Hata wafanya biashara wa Kariakoo wakilianzisha mbona mambo yao hunyooka?

Hata kama uchaguzi haususwi tunaweza jipanga kuwashinda hawa ndugu. Mbona Seif aliweza kuja na kura za maruhani?

Tunaweza wa infiltrate tukagombea hata kama wanachama wao. Shida iko wapi?
 
Hata wafanya biashara wa Kariakoo wakilianzisha mbona mambo yao hunyooka?

Hata kama uchaguzi haususwi tunaweza jipanga kuwashinda hawa ndugu. Mbona Seif aliweza kuja na kura za maruhani?

Tunaweza wa infiltrate tukagombea hata kama wanachama wao. Shida iko wapi?
Hatuaminiani. Kila mmoja anajiona yeye ndo mpinzani na wenzake ni mamluki.
 
Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.
Mi nna uhakika huyu mama hatokuwa na kifua cha kuvumilia hiyo hali kwa sababu anapenda sana kuonekana yeye ni Mwanademokrasia mbele ya wazungu
Kumbe kuna wakati bwana mdogo zinachaji vizuri tu!

Kwa hiyo bandari milele kwa mwarabu pale ndio umejitoa akili makusudi?!
 
Hatuaminiani. Kila mmoja anajiona yeye ndo mpinzani na wenzake ni mamluki.

Kushindwa kujua Kwenye siasa hawapo adui wala marafiki wa kudumu bali agenda ni kitambulisho halisi cha mapoyoyo yatakavyo endelea kuwa masingiziaji.
 
Back
Top Bottom