Sipendi Masihara
Member
- Sep 3, 2026
- 11
- 5
Habari za jioni wakuu?
Mimi nina changamoto moja, nilikwenda Uganda lakini nikakutana na changamoto ya misosi migeni kwangu ambayo sijawahi kula hata kwenye kinywa ilikuwa haipiti kabisa, nikaishia vinywaji, matunda na biskuti tu!
Point yangu ni hii naombeni ushauri kwamba nikifika nje ya nchi mfano Ulaya na Amerika na vyakula vya huko nifanyeje? Kuuliza si ujinga viongozi...
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mimi nina changamoto moja, nilikwenda Uganda lakini nikakutana na changamoto ya misosi migeni kwangu ambayo sijawahi kula hata kwenye kinywa ilikuwa haipiti kabisa, nikaishia vinywaji, matunda na biskuti tu!
Point yangu ni hii naombeni ushauri kwamba nikifika nje ya nchi mfano Ulaya na Amerika na vyakula vya huko nifanyeje? Kuuliza si ujinga viongozi...
🙏🏻🙏🏻🙏🏻