Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

Kwa hiyo ukienda kagera napo utashindwa kula?...maana vyakula vilivyopo kagera na Uganda ni hivyohivyo
 
Samaki na nyama yoyote mimi sili nina allergy!
Afrika imezungukwa na maharage na mboga za majani kila sehemu mkuu nilikua Mozambique hapo Tete na Nyamapanda border ya kuingia Zimbabwe nikaomba wanitengenezee mboga ya majani na vitunguu nikapewa na ugali wa mtama na maharage yao nikala nikaendelea na safari mwezi uliopita sikutaka vitu vya mafuta nikiwa safari baada ya kufika Harare pale ndio nikala vyakula kama nipo home..
 
Back
Top Bottom