Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 54,357
- 101,492
Akiwasili ughaibuni awe anapenda kuzurula kidogo ajifunze vitu mbalimbali.Mbona vyakula vya uganda 85% ni kama sisi?
labda kama umezaliwa mjini hivyo unajua chakula ni wali & ugali
Akiwasili ughaibuni awe anapenda kuzurula kidogo ajifunze vitu mbalimbali.Mbona vyakula vya uganda 85% ni kama sisi?
labda kama umezaliwa mjini hivyo unajua chakula ni wali & ugali
Calulu,Mfete na mwamba..vingi wanatengeza kwa kusaga na mafuta palm oil iwe kuku au ng'ombe anasagwa..Vyakula vyao vikuu ni vipi hivyo?
Kwahiyo Uganda iko ndani ya Tanzania?Sasa Uganda napo ni nje ya nchi?
Haya basi ni ndani ya NCHISasa Uganda napo ni nje ya nchi?
Mimi situmii nyama hata kidogo!Kula restaurants kama KFC, Pizza Hut nk.
Sawa kabisa kiongozi 👍🏻Kula.utavyovipenda.usivyopenda kadha yake viache.
Kariri vyakula utavyopenda.
Kuna vyakula vyao vya kiganda, sikukariri majina na madude ya kizungu daah... halafu mimi situmii nyama!Chakula gani cha kigeni kipo Uganda?
Nitajie majina kwa kiingereza ili nikifika huko nisihangaike... pia visiwe na mchanganyiko wa nyama!Ulaya na Amerca kuna vyakula vingi tu unavyokula hapa Tz.
Vyakula kama wali vipo lakini kwa hotel ambazo hadi wazungu wanalia hapo inakua shida kidogo kupata... ni full marojorojo tu na maudwambo!MKUU kwa hukuonako wali huko?
😂😂😂😂😂 nje ya nchi ni nje ya nchi tu hata kama unaona ni duniSasa Uganda napo ni nje ya nchi?
Nyama situmii, supu sipendelei... naoenda vyakula vigumu na vizito....Uganda ulikosa supu n ndizi? Au ulienda ugnda ipi? Hakuna hata nyamachoma?
Sasa je... hata mimi hiyo ni moja ya sababu zinazonifanya nishindwe kula misosi yao....😁Nadhan ameshindwa kuelezea tu ila nadhan shida kubwa ni namna ya UPIKAJI.Niliwahi kashindwa Kula wali KAMPALA kisa wali Una mchuzi (Boko).
Samaki na nyama yoyote mimi sili nina allergy!Ukiona mtu anauliza chakula hakuna Msafiri hapo mkuu kama kaenda Uganda hapo wana samaki na kuku kama Songea tu akienda Angola si atashinda na njaa..
Afrika imezungukwa na maharage na mboga za majani kila sehemu mkuu nilikua Mozambique hapo Tete na Nyamapanda border ya kuingia Zimbabwe nikaomba wanitengenezee mboga ya majani na vitunguu nikapewa na ugali wa mtama na maharage yao nikala nikaendelea na safari mwezi uliopita sikutaka vitu vya mafuta nikiwa safari baada ya kufika Harare pale ndio nikala vyakula kama nipo home..Samaki na nyama yoyote mimi sili nina allergy!
Nami nimeshangaa, kama Uganda ni nje ya nchi basi hata Tanzania ni nje ya nchi pia.Sasa Uganda napo ni nje ya nchi?
Yaani ni huzuni 😀😀Sasa je... hata mimi hiyo ni moja ya sababu zinazonifanya nishindwe kula misosi yao....😁