Hapana, ni Ashk Majnun ndio zinawapelekesha.Nao wamekuwa as if wamepiga FARU JOHN kama mheshimiwa alopata ajari a.k.a PIERE LIQUID
Hoja yako ni nzuri sana,ila uandishi ndio tatizo.
. Taalifa...Taarifa
Nashahuli...Nashauri
.Kusubili...Kusubiri
.Maarumu...Maalum
.Kisaikorojia...Kisaikolojia
Kwa hiyo kuonekana Mpaka saa sita usiku ni ticket ya Kushambuliwa ?" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Ushauri mzuri lakini tujifunze kuheshimu taaluma. Kwamba hujaona au kuoneshwa Polisi kwenye tukio, kama ni kweli, aina maana ushahidi utavurugwa.
Mbona kashasema Mkuu kwamba Mwamba alipelekwa Hospitali mishale ya saa 8 kwenda saa 9 na alikua matingasi kinoma.
Inasemekana hakuvamiwa baoi konyagi kubwa ilikua imekaa pahala pake na yeye kuteleza kwenye ngazi na aliyempeleka Hospitali ni kigudulia flani amazing alichokua anaenda kukitafuna.
Hakuna cha kuvamiwa hapo,mwambieni apunguze mitungi na michepuko amezidisha mno.Hata afya yake imetetereka mno,apunguze stress za kuwazia chama chake
Kwani Ndugai alikuwa kaombwa kutoa maelezo kwenye swala hili?
Mbona anazidi kujishusha daraja?
Umehitimisha hoja yako na mistari ya mwisho nimehisi wewe ni KisaraweWashambuliaji wote huwa wanafanya ambush yaani kuzuia au kuingulf uwezo wako wa kureact Mara zote wataanza kupora ufahamu wako kwa kukupotezea uwezo wako wa kureact kwao
Hili shambulio LA mbowe lililosababisha Tarsal metatarsal na ankle joint dislocation litakuwa shambulio la karne yaani ww wakati umepigwa ulikuwa wapi didn't you even react?
Na hata kama haukuwa na silaha hukurusha hata ngumi? Na hata kama ulirusha ngumi kwa nn hujaumia mkono?
Hii inanipa uhakika kuwa Mheshimiwa ni binadamu kulewa ni kawaida ya binadamu yawezakuwa umepata stress baada ya LISU Kutoa hotuba juzi ndio maana ukaenda kupunguza stress kwa konyagi
Lakini swali kwa wabunge vijana wa Chadema mlio na future kwa nn mufanye siasa za uongo na utapeli mlitakiwa mkiri tu kuwa Mwenyekiti wetu naye ni binadamu kulewa na kuwa na michepuko ndio uanaume lkn kwa nn hamusomi alama za nyakati kuwa serikali hii haifanyi maigizo? Hamjui kwamba Rais si dhaifu?
Ukipenda kupindukia huwezi kuona tatizoMbona mimi sijaona tatizo hapo
Kama ni mpango basi sawa na magaidi ambao hujilipua . Ni ujasiri wa hali ya juu mtu kupanga uvunjwe miguu kisa kutafuta nafasi ya uongozi . Hebu wewe tukuahidi ukatwe kidole komoja tu cha mkono halafu upewe kuitawala duniaHuu mpango utakuwa umesukwa ndani ya Chadema,kutafta sympathy kwenye uchaguzi,ila wajinga utasikia wanaropoka tu.
Nashauri fedha ambazo zitatengwa kufanyia uchunguzi zielekezwe kukabiliana na janga la corona kwani Mheshimiwa spika alikwisha kamilisha uchunguzi kwa kuwatuma madaktari wake ambao walimthibitishia kuwa Mh Mbowe alikuwa amelewa chakari akateleza kwenye ngazi na kuteguka kidogo kwenye kifundo cha mguu . Maelezo haya yako kwenye answered za bungeKwa mawazo yangu sina uhakika kama jeshi la police limemhoji mheshimiwa Mbowe kabla ya kwenda Dar es salaam kwa kuwa mpaka sasa sijaona taarifa yoyote ikionyesha uwepo wa police pale hospitali.
Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, kwa kuwa Mr Mbowe alikuwa anajitambua hivyo kwa umakini wa police ingekuwa vema wakamhoji ili kujua alirudishwa nyumbani na nani?
Alivamiwa muda gani toka waliomrudisha kuondoka?
Hiyo ingesaidia kulinganisha na upelelezi mwingine watakaoupata kwani kama ni kitu cha kutengeneza lazima taalifa zitapishana kwani mtengeneza muvi anakuwa hajajipanga vizuri.
Ila kwa sasa wanweza jipanga kwani wanaona michango ya watu kwenye mitandao nao wanasahihisha makosa kabla ya kuhojiwa
Nashauli police wawe wanafanya maojiano mapema mtu anapopata tazito ili wapate mwanzo wa tukio
Kuliko. kusubili mtu anajipanga namna ya kudanganya.
Wakati wa tukio la Tundu lisu yule dereva alitakiwa awe amehojiwa kabla ya kuondoka, na ndio.maana kwa kutumia udhaifu wa police wakamtorosha mpaka sasa hajahojiwa.
Watengeneze kitengo ambacho kitapata mafunzo maarumu hata kwa wale wanokuwa na tatizo la kisaikorojia.
Taarifa za mwanzo ni muhimu sana.
Answered za bunge ndo kitu gani kiazi kipya?Nashauri fedha ambazo zitatengwa kufanyia uchunguzi zielekezwe kukabiliana na janga la corona kwani Mheshimiwa spika alikwisha kamilisha uchunguzi kwa kuwatuma madaktari wake ambao walimthibitishia kuwa Mh Mbowe alikuwa amelewa chakari akateleza kwenye ngazi na kuteguka kidogo kwenye kifundo cha mguu . Maelezo haya yako kwenye answered za bunge