Kurudisha 25% ya mkopo HESLB

Kurudisha 25% ya mkopo HESLB

Kudisc sio tatizo bro ukwili n kuwa nilipelekwa st joseph kutokana na ufumo mbovu wa tcu
Nikaamua kuacha

ili kuwaje uliacha kijana?? tatzo nn st.joseph baada ya kupelekwa na TCU
 
Wanafunzi mnaosoma st Joseph zote Tanzania hasa ya arusha nawapa pole sana maana hamna tofauti na wafungwa nyinyi @fagix na wenzako ondokeni haraka hapo
 
Kama amesoma hkl je sio mnalaumu tu hajafanya bam a level mnadhani kila mtu kafanya bam pumbavu wote mlioponda hii thread
 
Umefanya la maana sana bora ukasome hata diploma ya afya au yeyote tofauti na education kuliko st Joseph

Ni kweli ndg ila kuna watu humu tukizungumzia matatizo ya st Joseph wanaihisi km cc tumeshinda kusoma au ni vilaza ila ukweli tunaujua cc tuliopitia pale st Joseph
 
mwanafunz wa chuo hujui 25% ya kiasi fulani, hesabu hii kondakta anaiweza...sasa ww ulifikaje chuo na kupewa kodi ya kondakta
 
Wale wote tuliopata matatizo ya kuacha chuo kutokana na sababu mbali mbali
Tukutane hapa tupeane ushauri na njia za kurudi chuo

Karibu nyote
 
Ni kweli ndg ila kuna watu humu tukizungumzia matatizo ya st Joseph wanaihisi km cc tumeshinda kusoma au ni vilaza ila ukweli tunaujua cc tuliopitia pale st Joseph
Kuna mshikaji wangu ana 2 ya 10 pale 3rd year alijaza ma pharmacy na medicine akaachwa kutokana na competition
Ila wanaosoma pale wengi wana ufaulu mzuri sema walijaza courses za competition hawakuchaguliwa inauma sana yani sijui Tanzania inaelekea wapi
 
Ujinga gani sasa na wewe yani Tanzania bwana mnaamini msomi anajua kila kitu kitu ambacho sio kweli hata kidogo
Hukuwa na haja ya kuwaita wachangiaji wengine wapumbavu. Ni hilo tu
 
Hukuwa na haja ya kuwaita wachangiaji wengine wapumbavu. Ni hilo tu
We unaona wapo sahihi mtu kauliza mjibu kama hujui kaa kimya watu wanatofautiana tumetoka katika mazingira tofauti sasa matusi yote ya nini rest in eternal peace Tanzania kwa ujinga huu
 
Kama amesoma hkl je sio mnalaumu tu hajafanya bam a level mnadhani kila mtu kafanya bam pumbavu wote mlioponda hii thread
Hesabu za darasa la tano nazo zinahitaji mtu kusoma BAM A'level...?
 
Kalipe 662,250 baada ya hapo system ya loan board itakusoma kama new applicant. Pia ndio utaruhusiwa kuomba upya. Na asilimia ya kupata ni kubwa sana kwakuwa umeonekana mwaminifu.
 
Back
Top Bottom