Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Hata hesabu kama hiyo unaomba msaada haahahha
Wanafunzi mnaosoma st Joseph zote Tanzania hasa ya arusha nawapa pole sana maana hamna tofauti na wafungwa nyinyi @fagix na wenzako ondokeni haraka hapo
Engineering wapo vizr ila faculty nyingineMkuu vp St. Joseph Dar? Mbona nasikia ndio Chuo bora kinachotoa kozi za Engineering hasa katika masomo ya Computer?
Na mfumo wao wa ufundishaji ni wa hali ya juu?
Pia ukikuta Lecturer ameingia class hurusiwi kuingia na ukikosa vipindi vitatu katika somo lolote hurusiwi kufanya Mtihani wa somo hilo?
Kutokana na mazingira ya ufundishaji wa Chuo hicho imefikia hatua wanakiita Seminari kwani kwa Wanafunzi wanaopenda Luxury hua wanapakimbia.
St Joseph ipi unaizungumzia?.Ni kweli ndg ila kuna watu humu tukizungumzia matatizo ya st Joseph wanaihisi km cc tumeshinda kusoma au ni vilaza ila ukweli tunaujua cc tuliopitia pale st Joseph
Watu wanaponda hicho chuo niwatu ambao tulio shindwa kulipa ada.Tunatafuta sababu ambazo hazina msingi.st Joseph wapo vizur sana academically ...maswala ya pesa tu ndi huwa yanaleta utata mkubwa
Kama huna pesa yakulipia bora ukafanye hayo unayoyasema.Umefanya la maana sana bora ukasome hata diploma ya afya au yeyote tofauti na education kuliko st Joseph
St Joseph ya dar wapo vizuri sana engineering kwa kweli ila courses nyingine zoote zinazotolewa na st Joseph ni majanga kwanza hawana mitaala pili ada kubwa kitu kinachowafanya wanafunzi wengi kuacha ila ya dar ki academic ina nafuu maana ndo main campus ila hizo branch zao nyingine zoote ni uozo tu na utapeli wale jamaa kama kiuMkuu vp St. Joseph Dar? Mbona nasikia ndio Chuo bora kinachotoa kozi za Engineering hasa katika masomo ya Computer?
Na mfumo wao wa ufundishaji ni wa hali ya juu?
Pia ukikuta Lecturer ameingia class hurusiwi kuingia na ukikosa vipindi vitatu katika somo lolote hurusiwi kufanya Mtihani wa somo hilo?
Kutokana na mazingira ya ufundishaji wa Chuo hicho imefikia hatua wanakiita Seminari kwani kwa Wanafunzi wanaopenda Luxury hua wanapakimbia.
Mkuu wahindi ni wanyanyasaji sana maisha wanayoishi wanafunzi wa st Joseph hayana tofauti na chekechea aisee ni taabu na shida yaniKama huna pesa yakulipia bora ukafanye hayo unayoyasema.
Kama ni St joseph ya dar inayotoa course za engineering,huo utakuwa uongo.
Wengine ada ilitushinda ndio tukaona tukikimbie hicho chuo.
Ingawa some how wahindi niwanyanyasaji lakini wanawajenga wanafunzi vema.Mkuu wahindi ni wanyanyasaji sana maisha wanayoishi wanafunzi wa st Joseph hayana tofauti na chekechea aisee ni taabu na shida yani
ni kweli ada na michango ya pale ndo tatizo...lakin ukiwa unakimbia ukumbuke 'the cheap are expensive'Kama huna pesa yakulipia bora ukafanye hayo unayoyasema.
Kama ni St joseph ya dar inayotoa course za engineering,huo utakuwa uongo.
Wengine ada ilitushinda ndio tukaona tukikimbie hicho chuo.
Samahani kama nimekutia aibu.Huoni Hata aibu kuuliza swali hilo,hizo ni hesabu za darasa la nne,kama umeshindwa mtafute mwanafunzi wa la NNE akusaidie,Mambo ya aibu,ajabu unasomea nn usijue Haya hesabu za kutafuta asilimia,kwa kweli kwa hili,nitashangaa milele
St Joseph ya dar wapo vizuri sana engineering kwa kweli ila courses nyingine zoote zinazotolewa na st Joseph ni majanga kwanza hawana mitaala pili ada kubwa kitu kinachowafanya wanafunzi wengi kuacha ila ya dar ki academic ina nafuu maana ndo main campus ila hizo branch zao nyingine zoote ni uozo tu na utapeli wale jamaa kama kiu
Sijui nana anavisajilo hivi vyuo?? Maana ni aibu
Ingawa some how wahindi niwanyanyasaji lakini wanawajenga wanafunzi vema.
Maisha anayoishi mwanafunzi wa st joe awapo chuoni.Ni sawa na maisha ambayo huishi wafanyakazi walioajiriwa katika sekta binafsi.
Kama unataka elimu nzuri ya engineering nenda St Joseph,lakini kama ni mwezangu na mimi ada huiwezi basi kaa kwenye chuo ambacho unahisi utakiumudu gharama zake.
Na nini tena mkuu?.
Na nini tena mkuu?.