Kurudisha 25% ya mkopo HESLB

Kurudisha 25% ya mkopo HESLB

Huo mkopo ulipata wa kuingia darasa la kwanza kutoka chekechea??....BRN shida sana...
 
nawashukuruni japo nimeelewa kwa fimbo na vibao vya kutosha toka kwenu.thanks teachers
 
usharudisha hela ya watu,fanya uwarudishie wauachie mkopo wako kama umepata..
 
Habara wakuu,

Mimi nna ndugu yangu aliacha chuo kwasababu ya mitaala mibovu chuo hapo.Sasa ili apate mkopo mwingine anatakiwa alipe 25%.

Swali langu,mwezi May ndo apllication zinaanza, je, anaweza kuapply hata kama atakuwa anadaiwa kiasi kidogo cha kumalizia malipo ya 25%?

Najua hataweza hufikisha kiasi chote anachodaiwa had huo mwezi ndo maana nauliza

Asanteni
 
Hv mtu kama amepostpond na mkopo amepata vp hapo anaweza kupata tenaa??
 
Hukuchukua muda gani kurekebisha mshahara kwa mwl anayejiendeleza?
 
Na neno 'bodi' ulivyoliandika!? Nawewe unahitaji mkopo ukamalizie topic zilizobaki
 
Thanks #akilikubwa ,
BENAI your not serious
Huji hata mwalimu wako aliki make typing error kwenye notes zake lakini ndo zilizo kufaulisha

Be serious ndg
 
Habara waKUU , mimi nna ndugu yangu aliacha chuo kwasababu ya mitaala mibovu chuo hapo.
Sasa ili apate mkopo mwingine anatakiwa alipe 25%.
Swali langu,mwezi MAY ndo apllication zinaanza,je,anaweza kuapply hata kama atakuwa anadaiwa kiasi kidogo cha kumalizia malipo ya 25%?

Najua hataweza hufikisha kiasi chote anachodaiwa had huo mwezi ndo maana nauliza

Asanteni

you must pay 25% for your loan to be sent to your university
 
Habara waKUU , mimi nna ndugu yangu aliacha chuo kwasababu ya mitaala mibovu chuo hapo.
Sasa ili apate mkopo mwingine anatakiwa alipe 25%.
Swali langu,mwezi MAY ndo apllication zinaanza,je,anaweza kuapply hata kama atakuwa anadaiwa kiasi kidogo cha kumalizia malipo ya 25%?

Najua hataweza hufikisha kiasi chote anachodaiwa had huo mwezi ndo maana nauliza

Asanteni

Da watu munapata mikopo then munaacha kwenda chuo niulize mimi kilichonipata.
 
Kupata mkopo sio tatzo bro tatizo ni future hatusomi ili nimesoma tunasoma kwaajili ya future
Km unataka mkopo nenda st joseph ya arusha utapata 100%
Ila jua chuo hakina curriculum inayoendana na chuo chochote tz,
Pia chuo hakina prospectus

Chuo haki university charter
Sasa sijui kilisajiliwa vipi hilo sijui
 
Kama mtu amepata mkopo na amepostpond mwaka anaweza kupata tena mkopo coz hajasaini mkopo means hajala hata mia ya mkopo
 
Hivi umeandika Kinyarwanda au Kirundi?mtoa post sio Mtanzania wewe...
Ngoja niwasiliane na BASATA..
 
Habara wakuu,

Mimi nna ndugu yangu aliacha chuo kwasababu ya mitaala mibovu chuo hapo.Sasa ili apate mkopo mwingine anatakiwa alipe 25%.

Swali langu,mwezi May ndo apllication zinaanza, je, anaweza kuapply hata kama atakuwa anadaiwa kiasi kidogo cha kumalizia malipo ya 25%?

Najua hataweza hufikisha kiasi chote anachodaiwa had huo mwezi ndo maana nauliza

Asanteni

kweli haku disco huyo!!??? mh haya kwa huu mfumo mpya wa serikali atapata tu
 
kweli haku disco huyo!!??? mh haya kwa huu mfumo mpya wa serikali atapata tu

Kudisc sio tatizo bro ukwili n kuwa nilipelekwa st joseph kutokana na ufumo mbovu wa tcu
Nikaamua kuacha
 
Back
Top Bottom