Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
brother karne hiyo ishapita sasa hivi muziki biashhara ndicho mnachoshindwa kutofautisha Diamond au Kiba hakuna hata mmoja hivi sasa anayetoa muziki mzuri,hiyo nyimbo ya Kiba baada ya mwezi utaona ya kawaida tuu hutakua interested kama leo kuisikiliza.kinachomshinda alikiba hawezi biashara wakati diamond ndo uwanja wake,na hapo ndipo utaonA diamond ni best kuliko kiba.Bro, labda wewe hujui.
Kuna kitu kinaitwa muziki bora na kingine kinaitwa bora muziki.
Unajua kwanini nyimbo za Celine Dion, west life na wengine wa nje nyimbo zao ukizikiliza leo huwezi kuzichoka?
Jiulize kwanini nyimbo za Mr nice hazipo na watu hawawezi kuzikiliza japo kwa wakati ule zilionekana bora kwa ujanja unoona bora kwako???
Nimekupa home work
hata huko mbele hakuna wa kumfananisha na celine dion alikuja Adele wakadhani ndo mrithi wake lakini wapi hamna kitu,kumbe muziki huu wa sasa sio ule wa kipindi hiko unaimba kwa passion hiki ni kipindi cha kuimba kibiashara watu/soko linataka nini,hapo ndipo Diamond anampiga chini Alikiba kila siku.


Aseee me ni mtu wa bakulutu ila Zilipedwa hatari saaaa