leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,405
- 1,815
Nyimbo za kucopy idea?WCB wametoa nyimbo kibao tuu wakati Alikiba akiwa kimya akifanya tour zake, huu ni mwendelezo tuu wa WCB kutoa single zake ilizonazo tusichukulie sana katika fikra za kushindana shindana japo ushindani upo...
na WCB wanaonyesha kuwa bado wanahifadhi kubwa ya nyimbo ndani ya kapu lao la kuweza kutoa muda wowote fans wao wakitaka watoe...
Tulieni dawa iwaingie....alikiba kachapa bakora na imewaingia sawasawaVipi tena ile ya kusema vita haichagui silaha imeishia wapi?!
By the way nyimbo zote mbili ni kali sana
Sio kwel. Simba Mara baada ya kuskia kuna ngima inakuja (KIPUSA) Akashtuka that's why akamdiss TEMBO . tatizo anatafuta pakutokea baada ya chokochoko lake kumtokea puani... Jikumbushe kipindi KIBA na OMMY walivyoitambulisha nyimbo yao alaf WCB wakafanyaje Siku chache baadae?Kipusaaa hafikii hata robo ya zilipendwaaa...!! Mtu mpaka uchanwee ndo utoee nyimboo... Afuu kipusa kimojaaaa...dadekiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ni sanaa brother.....wape kitu watu wanapenda tupo tuliopenda nyimbo tunaburudika [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
Unaburudika kwa kuwa unawapenda wcb sikatai. Hata mm naburudika nao. Ila sio wa kuufananisha na wimbo wa mtu aliyeumiza kichwa.hii ni sanaa brother.....wape kitu watu wanapenda tupo tuliopenda nyimbo tunaburudika [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
sawa ndugu umesikika [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] nyimbo ya timbulo sio inafanana kidogo yule alikopi almost kila kitu......Unaburudika kwa kuwa unawapenda wcb sikatai. Hata mm naburudika nao. Ila sio wa kuufananisha na wimbo wa mtu aliyeumiza kichwa.
Nitakupa mfano wa nyimbo ya timbulo ambayo iliingia kwenye kuahindania tuzo.
Jamaa alikosa tuzo kwakua tu, nyimbo inafanana kidogo na nyimbo ya msanii wa nje.
Kama wameitoa tuisikilize gheto, haina shaka. Ila kama wameitoa ili tuone wanaumiza vichwa, kwangu hapana.
Nataka kusikiliza maudhui tofauti na niliyowahi kuyasikia. Hivyo ndivyo sanaa inavyokua
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu. Ila zilipendwa ni copy ya matonya. Asingeweza kuimba kila kitu sawa. Huo ndio unaoitwa ujanja ujanjasawa ndugu umesikika [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] nyimbo ya timbulo sio inafanana kidogo yule alikopi almost kila kitu......
unaweza ukasema hivyoo ila nyimbo kibao tuu zinafanana siku hizi kwangu sioni ajabu na muziki wa sasa kama sio mjanja huwezi kutoka kwahiyo kama WCB wajanja pongezi kwao ndomana wanatusua zaidi ya Alikiba...Poa mkuu. Ila zilipendwa ni copy ya matonya. Asingeweza kuimba kila kitu sawa. Huo ndio unaoitwa ujanja ujanja